Siyo sahihi kiongozi wa Serikali kuwaita foreigners 'wazungu'

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Kwa mara nyingine tena nawajia tena na mada ndogo ndogo.

Nimesikia mara kwa mara siku za hivi karibuni viongozi kadhaa wakiwaita foreigners kama 'wazungu'. Hii lugha sikumbuki kuisikia miaka ya nyuma. Sikumbuki kumsikia Nyerere akitumia neno hilo.

Mzungu ni nani? Kwa ufahamu wangu, mzungu ni mtu mweupe au Caucasian au 'white person'. Lakini zaidi ya utambulisho ni jina la kibaguzi na la kijinga kwa sababu mtamkaji huwa ana nia siyo ya kumtambulisha bali kumpandisha au kumshusha mhusika/wahusika huku akitumia rangi yake kufanya hivyo.

Narudia ni jina la kibaguzi na la kijinga na linastahili kubaki huku mitaani kwa sisi masela na lisitamkwe na hao wanaojiita waheshimiwa.

Hiyo ndiyo mada yangu ndogo ndogo ya leo.
 
Kwa mara nyingine tena nawajia tena na mada ndogo ndogo.

Nimesikia mara kwa mara siku za hivi karibuni viongozi kadhaa wakiwaita foreigners kama 'wazungu'. Hii lugha sikumbuki kuisikia miaka ya nyuma. Sikumbuki kumsikia Nyerere akitumia neno hilo.

Mzungu ni nani? Kwa ufahamu wangu, mzungu ni mtu mweupe au Caucasian au 'white person'. Lakini zaidi ya utambulisho ni jina la kibaguzi na la kijinga kwa sababu mtamkaji huwa ana nia siyo ya kumtambulisha bali kumpandisha au kumshusha mhusika/wahusika huku akitumia rangi yake kufanya hivyo.

Narudia ni jina la kibaguzi na la kijinga na linastahili kubaki huku mitaani kwa sisi masela na lisitamkwe na hao wanaojiita waheshimiwa.

Hiyo ndiyo mada yangu ndogo ndogo ya leo.
Sawa mzungu tumekusikia
 
Wazungu ni foreigners kweli sema tusiwatukane kwa vile wanatusaidia ila kimsingi ni wageni kwa huku kwetu sio wazawa
 
Ni kweli nadhani ni uelewa mdogo lakini wewe mwenye uwelewa usikate tamaa ya kuwaelimisha watanzania inawezekana wengi wetu exposure ya haya maswala ni madogo. Mimi pia kuna jambo jingine ambalo nililiona kuwa linahitaji kuwaelimisha kwamba neno Raisi ni title kubwa na haiwezi fananishwa au kuwa chini ya title nyingine. Raisi kama atakuwa na title nyingine kama Dr au Professor hizo hazitatumika tena anapokuwa na cheo cha urais wa nchi. Lakini nimeshuhudia watu wengi wanatumia dr au profeesor kwa mtu aliechaguliwa kuwa raisi wa nchi.
 
Kwa mara nyingine tena nawajia tena na mada ndogo ndogo.

Nimesikia mara kwa mara siku za hivi karibuni viongozi kadhaa wakiwaita foreigners kama 'wazungu'. Hii lugha sikumbuki kuisikia miaka ya nyuma. Sikumbuki kumsikia Nyerere akitumia neno hilo.

Mzungu ni nani? Kwa ufahamu wangu, mzungu ni mtu mweupe au Caucasian au 'white person'. Lakini zaidi ya utambulisho ni jina la kibaguzi na la kijinga kwa sababu mtamkaji huwa ana nia siyo ya kumtambulisha bali kumpandisha au kumshusha mhusika/wahusika huku akitumia rangi yake kufanya hivyo.

Narudia ni jina la kibaguzi na la kijinga na linastahili kubaki huku mitaani kwa sisi masela na lisitamkwe na hao wanaojiita waheshimiwa.

Hiyo ndiyo mada yangu ndogo ndogo ya leo.
Umelewa
 
Wewe ni mjinga wa hali ya juu walahi
Hilo jina WAZUNGU WALIJIITA WENYWE NA MAANA YAKE ANGALIA KWENYE KAMUSI!
Jiongeze kidogo na acha kubwabwaja walahi
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom