Sisi Kwetu Tunaita Teremka Tukaze Kwenu Inaitwa Jina Gani?
wewe, kila siku asubuhi kinatolewa nje, kinaanikwa juani na kamba zinakazwa upya. Labda mvua inyeshe, ni maisha mzuri yasiyo na bills wa pressure ya umeme kukatika.Sasa Usiombe Hapo Kati Kamba Zilegee Utakuta Unalala Mgongo Unagusa chini.
Huku Kwetu Hizo Kamba Zinakumbana na Changa Moto za Watoto Vikojozi Utakuta Miezi Kadhaa tu Zinaoza.wewe, kila siku asubuhi kinatolewa nje, kinaanikwa juani na kamba zinakazwa upya. Labda mvua inyeshe, ni maisha mzuri yasiyo na bills wa pressure ya umeme kukatika.
Mimi Gheto Nilifungiaga Kamba Juu ya Miti ya Dari ikawa Nikilala Naning`inia Kama Nipo Kwenye Bembea Hapo Mzee Usingizi Nalala Fofofo.Sisi Kwetu Tunaita Teremka Tukaze Kwenu Inaitwa Jina Gani?
Hahahaah Yani Vidole Ukipachika Kwenye Hizo Kamba Inakua Kama Umepiga Nanga.