Siyo kwamba Rais Magufuli hamuelewi Tundu Lissu, isipokuwa ni analinda maslahi yake kisiasa

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Siyo kwamba Rais Magufuli hamuelewi Tundu Lissu, isipokuwa ni analinda maslahi yake kisiasa. Anayoyasema Mhe. Lissu yana manufaa kwa nchi kuliko hata anayoyasimamia Magufuli mwenyewe, na Mhe. Lissu ameonesha uzalendo wa hali ya juu kuliko kawaida, Ila kwa kuwa Magufuli anatetea maslahi yake kisiasa, anatumia nguvu kubwa kumkandamiza Mhe. Lissu asiuzungumze ukweli au asieleweke na kuungwa mkono na watanzania, lakini watanzania wa sasa wametambua na wametoka kwenye ujinga, wanafahamu kuwa nchi hii ni nchi ya watanzania, sio ya Magufuli wala ya kundi la wachache CCM, wala vinginevyo.. watanzania wanahitaji viongozi wa aina ya Mhe. Lissu na si vinginevyo, wanahitaji kuambiwa ukweli na si blah blah, wanahitaji maendeleo ya kweli na sio vitisho, hawahitaji ukali, matamko wala kauli za ajabu ajabu za ubaguzi na ukandamizaji wa haki.
 
Woga wa kushindwa ndio unamsumbua mtukufu
Kushindwa kutawala kwa ufanisi
Kushindwa uchaguzi ujao
Kushindwa agenda zake
Mtu mwenye such irrational fear is prone to reckless and irrational decisions
 
Afadhali angekaa kimya kuliko hatuna hii aliyochukua sasa agenda ya Lissu ndiyo maongezi ya jioni majumbani kuanzia watoto, house boy, house girl wote wanaifahamu
 
Bei ya sukari imepanda kimya kila mtu anamuogopa mtukufu, mpaka Media zimeufyata mkia hakuna anayethubutu kuongea. Ahadi hazitekelezeki watu kimya. Ukabila na ukanda unaonekana wazi wazi kusini kaskazin tulie tu kwa hii miaka mitano. Wanahitajika mashujaa kama Lisu ambao wanaweza wkapaza Sauti
 
Siyo kwamba Rais Magufuli hamuelewi Tundu Lissu, isipokuwa ni analinda maslahi yake kisiasa. Anayoyasema Mhe. Lissu yana manufaa kwa nchi kuliko hata anayoyasimamia Magufuli mwenyewe, na Mhe. Lissu ameonesha uzalendo wa hali ya juu kuliko kawaida, Ila kwa kuwa Magufuli anatetea maslahi yake kisiasa, anatumia nguvu kubwa kumkandamiza Mhe. Lissu asiuzungumze ukweli au asieleweke na kuungwa mkono na watanzania, lakini watanzania wa sasa wametambua na wametoka kwenye ujinga, wanafahamu kuwa nchi hii ni nchi ya watanzania, sio ya Magufuli wala ya kundi la wachache CCM, wala vinginevyo.. watanzania wanahitaji viongozi wa aina ya Mhe. Lissu na si vinginevyo, wanahitaji kuambiwa ukweli na si blah blah, wanahitaji maendeleo ya kweli na sio vitisho, hawahitaji ukali, matamko wala kauli za ajabu ajabu za ubaguzi na ukandamizaji wa haki.
Mimi na watanzania tulio wengi si miongoni ya mnaoomuunga mkono Lissu. Naomba usigenerize haya mambo. Lissu ni kichaa.

Havome
 
Mimi na watanzania tulio wengi si miongoni ya mnaoomuunga mkono Lissu. Naomba usigenerize haya mambo. Lissu ni kichaa.

Havome
Watu wenye akili timamu ndo wanatakiwa kumuunga mkono Tundu Lissu katika kupinga udikteta uchwara kwenye nchi yetu..
 
Bei ya sukari imepanda kimya kila mtu anamuogopa mtukufu, mpaka Media zimeufyata mkia hakuna anayethubutu kuongea. Ahadi hazitekelezeki watu kimya. Ukabila na ukanda unaonekana wazi wazi kusini kaskazin tulie tu kwa hii miaka mitano. Wanahitajika mashujaa kama Lisu ambao wanaweza wkapaza Sauti
Kusini kaskazini ni wapangaji hatuna say
 
Mimi na watanzania tulio wengi si miongoni ya mnaoomuunga mkono Lissu. Naomba usigenerize haya mambo. Lissu ni kichaa.

Havome
Watu wengine sijui shule mlienda wapi. Unamwambia mwenzako asigeneralise (kama kwa kusema generise ulimaanisha kugeneralise) wakati wewe tayari unageneralise. Mimi na watanzania tulio wengi what do you mean? Utawajua tu waliopanic.
 
Back
Top Bottom