kichoroba89
Senior Member
- Oct 3, 2019
- 197
- 57
Watanzania tumejisahau sana kuhusu vifo,kabla ya Corona watu walikuwa wanakufa kama kawaida,kuna watu walikuwa mahututi tayari Mahospitalini lakini kwasasa wakifa wote tunawajumuisha katika idadi ya Vifo vinavyotokana na Virus vya Corona. Tunajipa taharuki kubwa wenyewe badala ya kuchukuwa Tahadhari tunabaki kuwa na Hofu ambayo ni hatari hata kuliko hofu ya Ugonjwa wenyewe.
Tukumbuke kuwa, wapo watu wanaoumwa Presha,pumu,kisukari na hata Malaria Kitakwimu
zinaongoza kwa Vifo Duniani.
TUPUNGUZE UZUSHI,TUCHUKUWE TAHADHARI DHIDI YA CORONA
Tukumbuke kuwa, wapo watu wanaoumwa Presha,pumu,kisukari na hata Malaria Kitakwimu
zinaongoza kwa Vifo Duniani.
TUPUNGUZE UZUSHI,TUCHUKUWE TAHADHARI DHIDI YA CORONA