Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Ati nimesikia kelele kabla ya kelele zenyewe! Eti Rais Samia katuogopa ndio maana karuhusu mikutano ni kwa sababu tumemchimba mkwara! Acheni kufukia vichwa kwenye michanga kama mbuni, mmeteseka miaka mingapi? Hiyo katiba iliwasaidia?
Wapinzani wangapi walikuwa jela ninani kawatoa? Leo mnaacha kupongeza hata kwa hatua hii mnaendeleza unaaa? Huyu Rais ni Mungu kamleta kutibu vidonda na majeraha, mwacheni afanye kadiri Mungu anavyomjalia, viva Samia Suluhu Hassan! Viva Tanzanie!
Wapinzani wangapi walikuwa jela ninani kawatoa? Leo mnaacha kupongeza hata kwa hatua hii mnaendeleza unaaa? Huyu Rais ni Mungu kamleta kutibu vidonda na majeraha, mwacheni afanye kadiri Mungu anavyomjalia, viva Samia Suluhu Hassan! Viva Tanzanie!