EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,518
- Thread starter
- #21
Sinai ilirudi kwa makubaliano baada ya vita kuisha na waarabu wakachapika mara ya pili UN ndio walifanikisha MKATABA WA AMANI kati ya Israel na MisriHapa ndio maana kila upande unadai ushindi, vita ile 1967 israel alichukua Sinai, halafu 1973 Misri kairudisha Sinai , sasa Israel anakuwaje mshindi? Labda aliwashinda Syria maana hao hakuna walichokomboa
cheki mziki wa 73 waarabu walivyogaragazwa