abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habari wadau nasema toka Moyoni kuanzia leo sito kuja kumuamini kiongozi yeyote wa CCM kweli leo nimeamini kuwa kuipa Dhamana CCM ni Sawa na kujiweka kitanzi
Kwa miaka Mingi nimekuwa nikijipa Matumain kuwa huenda ipo siku tutapata viongozi wazuri na wenye maono ya kulifikisha Taifa Mbali
Akaja kutokea Magufuli kila mmoja alimsifia hasa katika serikali na watu tukamuone ni shujaa wa Taifa letu ili bahati mbaya Mzee kafa pia ni bahati nzuri sababu tumeweza kujua walio kuwa wanatuambia mzee ni kiongozi bora leo hao hao wanatuambia Mzee alikua Mwizi
Miradi ambayo tuliaminishwa kuwa si mizuri kwa taifa letu hasa ule wa Bandari ya Bagamoyo leo wale wale walio pinga Mwanzo leo wanauitaji How Tanzania?
CCM ni Mashetani tunao ishi nao Dunian najutia Muda niliomaliza Kwan Nina Iman Nchi hii Bado inaliwa na kila anae kula akimaliza kula anakuja mpya na kumwita wa Zaman mwizi kama vile Hayat alivyo fanya kwa JK na pia Mama Anavyo fanya kwa MK
Usalama wa taifa naomba mlilinde Taifa Mama Samia Please wewe ni Muislam usikubali kuwa Mnafki
Kuanzia Leo Mimi na CCM Basi Tena Mana nimechezewa akili vya kutosha na siku nchi itakua Sawa tawashtaki kwa kutu danganya
Najiuliza hivi hawa watu sasa hivi wanaweza hata kuwaangalia Familia ya Magufuli usoni? Hata kama Alikua ni Mwizi hatakiwi kumsaliti kiasi ichi ni Bora mngewaachia Baadhi ya watu wa Pemben
Kwa miaka Mingi nimekuwa nikijipa Matumain kuwa huenda ipo siku tutapata viongozi wazuri na wenye maono ya kulifikisha Taifa Mbali
Akaja kutokea Magufuli kila mmoja alimsifia hasa katika serikali na watu tukamuone ni shujaa wa Taifa letu ili bahati mbaya Mzee kafa pia ni bahati nzuri sababu tumeweza kujua walio kuwa wanatuambia mzee ni kiongozi bora leo hao hao wanatuambia Mzee alikua Mwizi
Miradi ambayo tuliaminishwa kuwa si mizuri kwa taifa letu hasa ule wa Bandari ya Bagamoyo leo wale wale walio pinga Mwanzo leo wanauitaji How Tanzania?
CCM ni Mashetani tunao ishi nao Dunian najutia Muda niliomaliza Kwan Nina Iman Nchi hii Bado inaliwa na kila anae kula akimaliza kula anakuja mpya na kumwita wa Zaman mwizi kama vile Hayat alivyo fanya kwa JK na pia Mama Anavyo fanya kwa MK
Usalama wa taifa naomba mlilinde Taifa Mama Samia Please wewe ni Muislam usikubali kuwa Mnafki
Kuanzia Leo Mimi na CCM Basi Tena Mana nimechezewa akili vya kutosha na siku nchi itakua Sawa tawashtaki kwa kutu danganya
Najiuliza hivi hawa watu sasa hivi wanaweza hata kuwaangalia Familia ya Magufuli usoni? Hata kama Alikua ni Mwizi hatakiwi kumsaliti kiasi ichi ni Bora mngewaachia Baadhi ya watu wa Pemben