Siwezi kuwa kiongozi Tanzania!! I'm sorry

Boeing

Senior Member
Apr 16, 2017
151
421
Mimi ni mtumishi katika serikali hii ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Nimeitumikia serikali kwa miaka 5 sasa na kadiri muda unavyozidi kwenda ndivyo ninavyotambua maeneo ya ndani, miradi mbalimbali ya serikali(iliyokamilika na isiyokamilika). Kwa moyo wa dhati niipongeze serikali kwa miradi iliyokwisha kamilika. Ni nia njema kwa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na kuwapunguzia umaskini.

Kuna mambo mengi ndani ya serikali hayapo sawa, ila viongozi wetu hawayasemei katika mamlaka walipo. Serikali imepata hasara kubwa sana kwa miradi mingi kuanzishwa na kutokamilika.

Najiuliza hivi serikali haikuwa na malengo wakati inaanzisha hii miradi? Jibu ni hapana( hakukuwa na usimamizi nzuri na waliosimamia walikuwa wazembe). Kwa nini hawakuwajibishwa???he haikuwa na hela?? Jibu no hapana!!!

Hivi kweli kuna serikali hapa tz??? Ianzishe mradi wa milioni 200 ikose milioni 5 za kumalizia na kuacha hiyo milioni 200 ikioza kwa mradi ambao hautumiki??? Nooo!! Nimeumia sana. Miradi ya milions (summing billions and trilions) haijakamilika,imeachwa inaoza na haitumiki. Wadau nimejikuta nalia kwa kushuhudia miradi useless.

Ningekuwa raisi ningetafuta aliesababisha huu uzembe hata kama ni miaka 20 iliyopita nimnyonge hadharani. Tunaibiwa sana! Angejitokeza magufuli nimtembeze kwenye miradi mitano tu angelia.

Tatizo tulilo nalo watz wengi ni unafiki. Kuna wapinzani wanazungumza ukweli juu ya hili ila wana ccm wenzangu bungeni mnaniangusha sana. Msaidieni raisi anyooshe hii nchi kwa haki. Ningekuwa magufuli nione unanipongeza kinafiki nakuua!


Tunapaswa kumsaidia raisi kutenda haki katika kunyoosha tanzania na sio kutete akoseapo ili ionekane tunampenda!! Naumia sana kwa hii nchi. Tunafanya miradi mingi sana hewa.
 
Tatizo letu Taasisi Muhimu hapa Tanzania zilisha kufa zote zinawatumikia Wanasiasa, Taasisi vyeti zimegeuka kuwa vitengo vya CCM!
tatizo lingine ni Fikra, ni Tanzania pekee Prof hana tofauti na mtoto wa darasa la pili ukiwahoji.... vyote zinasababishwa na siasa za kale
 
  • Thanks
Reactions: BAK
punguza munkari bado saana hujapata kuyajua mengi maovu ya serikali ya ccm, miaka mi 5 ni michache saana kujua hata nyumba za serikali na namna gani huyo unaedhani ndio wa kutufikisha nchi ya ahadi alihusika katika kuziuza mpaka kwa watu wake wa karibu, miaka mi5 ni michache saana kujua namna gani nyanza road walivyochakachua barabara inayoanzia kona ya bwiru, kiloleli, nyansaka mpaka nyakato na bado wanapewa miradi mikubwa, miaka mi 5 ni michache kujua ni kampuni ya akina nani iliopewa tenda ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kisasa huko chato na jengo la mamlaka ya mapato.
miaka mi5 ni michache saaana kujua ya namna gani bombardier zilivyonunuliwa kwa cash bila kufuata taratibu za manunuzi ya kiserikali na baraka za bunge.

kanywe gongo au konyagi kisha lala na kesho nayo ni siku.
 
Bado CAG tu lakini anawindwa usiku na mchana ili amtumbue, na huyu akitumbuliwa tu basi CAG itakuwa kitengo kingine cha MACCM chama cha wahuni na mafisadi.

Tatizo letu Taasisi Muhimu hapa Tanzania zilisha kufa zote zinawatumikia Wanasiasa, Taasisi vyeti zimegeuka kuwa vitengo vya CCM
 
Bado CAG tu lakini anawindwa usiku na mchana ili amtumbue, na huyu akitumbuliwa tu basi CAG itakuwa kitengo kingine cha MACCM chama cha wahuni na mafisadi.


Huyu mbaba tuliyechagua sasa hivi ni contol freak.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tatizo letu Taasisi Muhimu hapa tanzania zilisha kufa zote zinawatumikia Wanasiasa, Taasisi vyeti zimegeuka kuwa vitengo vya CCM
Wabunge wa kuisaidia nchi ni wa ccm kutokana na kwamba ni wengi. Ila mnazingua hapo bungeni. Msaidieni Mh Raisi. Ningekuwa Magu nikaona unapongeza ninapokosea nakufuta duniani. Unafiki umetufanya maskini miaka mingi sana
 
Wabunge wa kuisaidia nchi ni wa ccm kutokana na kwamba ni wengi. Ila mnazingua hapo bungeni. Msaidieni Mh Raisi. Ningekuwa Magu nikaona unapongeza ninapokosea nakufuta duniani. Unafiki umetufanya maskini miaka mingi sana

mbona unaongelea sana mambo ya kuwafuta watu duniani? kwani hii dunia ya kwako? kama ulivyoikuta na wewe utaiacha, mbona unajifanya unauchungu saana na hii nchi au nawew unataka uteuliwe? maaana teua tengua ndio staili ya mjini, tatizo wewe sio doctor wala proff, huo ushauri wa kuuwana sio utamaduni wetu, hizo ni tabia za kinyarwanda.

shika adabu yako mkuu.
 
Mimi ni mtumishi katika serikali hii ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Nimeitumikia serikali kwa miaka 5 sasa na kadiri muda unavyozidi kwenda ndivyo ninavyotambua maeneo ya ndani, miradi mbalimbali ya serikali(iliyokamilika na isiyokamilika). Kwa moyo wa dhati niipongeze serikali kwa miradi iliyokwisha kamilika. Ni nia njema kwa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na kuwapunguzia umaskini.

Kuna mambo mengi ndani ya serikali hayapo sawa, ila viongozi wetu hawayasemei katika mamlaka walipo. Serikali imepata hasara kubwa sana kwa miradi mingi kuanzishwa na kutokamilika.

Najiuliza hivi serikali haikuwa na malengo wakati inaanzisha hii miradi? Jibu ni hapana( hakukuwa na usimamizi nzuri na waliosimamia walikuwa wazembe). Kwa nini hawakuwajibishwa???he haikuwa na hela?? Jibu no hapana!!!

Hivi kweli kuna serikali hapa tz??? Ianzishe mradi wa milioni 200 ikose milioni 5 za kumalizia na kuacha hiyo milioni 200 ikioza kwa mradi ambao hautumiki??? Nooo!! Nimeumia sana. Miradi ya milions (summing billions and trilions) haijakamilika,imeachwa inaoza na haitumiki. Wadau nimejikuta nalia kwa kushuhudia miradi useless.

Ningekuwa raisi ningetafuta aliesababisha huu uzembe hata kama ni miaka 20 iliyopita nimnyonge hadharani. Tunaibiwa sana! Angejitokeza magufuli nimtembeze kwenye miradi mitano tu angelia.

Tatizo tulilo nalo watz wengi ni unafiki. Kuna wapinzani wanazungumza ukweli juu ya hili ila wana ccm wenzangu bungeni mnaniangusha sana. Msaidieni raisi anyooshe hii nchi kwa haki. Ningekuwa magufuli nione unanipongeza kinafiki nakuua!


Tunapaswa kumsaidia raisi kutenda haki katika kunyoosha tanzania na sio kutete akoseapo ili ionekane tunampenda!! Naumia sana kwa hii nchi. Tunafanya miradi mingi sana hewa.

Mod acha huu Uzi wadau waseme. Pengine na kwao miradi hewa ni mingi
Nafikiri umeshampa ushauri wa kuua sasa, bila shaka ataufanyia kazi.
 
Bado CAG tu lakini anawindwa usiku na mchana ili amtumbue, na huyu akitumbuliwa tu basi CAG itakuwa kitengo kingine cha MACCM chama cha wahuni na mafisadi.
inaweza chukuwa karne CCM kujisafisha yenywe, lazima waje watu wapya wenye fikra mpya kuja kuipadilisha Tanzania. Magufuli hawezi, nasema hawezi maana walio ifikisha Tz ilipo yy ni mmoja wao pia wengine wengi ndio yupo nao hivi sasa.... na kuisafisha taasisi ilikufa inaweza chukuwa si chini ya miaka kumi ukiwa ndani ya CCM
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi ni mtumishi katika serikali hii ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Nimeitumikia serikali kwa miaka 5 sasa na kadiri muda unavyozidi kwenda ndivyo ninavyotambua maeneo ya ndani, miradi mbalimbali ya serikali(iliyokamilika na isiyokamilika). Kwa moyo wa dhati niipongeze serikali kwa miradi iliyokwisha kamilika. Ni nia njema kwa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na kuwapunguzia umaskini.

Kuna mambo mengi ndani ya serikali hayapo sawa, ila viongozi wetu hawayasemei katika mamlaka walipo. Serikali imepata hasara kubwa sana kwa miradi mingi kuanzishwa na kutokamilika.

Najiuliza hivi serikali haikuwa na malengo wakati inaanzisha hii miradi? Jibu ni hapana( hakukuwa na usimamizi nzuri na waliosimamia walikuwa wazembe). Kwa nini hawakuwajibishwa???he haikuwa na hela?? Jibu no hapana!!!

Hivi kweli kuna serikali hapa tz??? Ianzishe mradi wa milioni 200 ikose milioni 5 za kumalizia na kuacha hiyo milioni 200 ikioza kwa mradi ambao hautumiki??? Nooo!! Nimeumia sana. Miradi ya milions (summing billions and trilions) haijakamilika,imeachwa inaoza na haitumiki. Wadau nimejikuta nalia kwa kushuhudia miradi useless.

Ningekuwa raisi ningetafuta aliesababisha huu uzembe hata kama ni miaka 20 iliyopita nimnyonge hadharani. Tunaibiwa sana! Angejitokeza magufuli nimtembeze kwenye miradi mitano tu angelia.

Tatizo tulilo nalo watz wengi ni unafiki. Kuna wapinzani wanazungumza ukweli juu ya hili ila wana ccm wenzangu bungeni mnaniangusha sana. Msaidieni raisi anyooshe hii nchi kwa haki. Ningekuwa magufuli nione unanipongeza kinafiki nakuua!


Tunapaswa kumsaidia raisi kutenda haki katika kunyoosha tanzania na sio kutete akoseapo ili ionekane tunampenda!! Naumia sana kwa hii nchi. Tunafanya miradi mingi sana hewa.

Mod acha huu Uzi wadau waseme. Pengine na kwao miradi hewa ni mingi
ni sawa hamia Somalia basi ukawe kiongozi kule
 
mbona unaongelea sana mambo ya kuwafuta watu duniani? kwani hii dunia ya kwako? kama ulivyoikuta na wewe utaiacha, mbona unajifanya unauchungu saana na hii nchi au nawew unataka uteuliwe? maaana teua tengua ndio staili ya mjini, tatizo wewe sio doctor wala proff, huo ushauri wa kuuwana sio utamaduni wetu, hizo ni tabia za kinyarwanda.

shika adabu yako mkuu.
Hamnaa!! Watu wanaiba sana. Mradi wa maji, mnaspend mamilion then hamkamilishi. Kosa ni la nani? Naamini serikali haikutuma hela pungufu ila ni uzembe wa wahuni tu. Sihitaji uteuzi
 
punguza munkari bado saana hujapata kuyajua mengi maovu ya serikali ya ccm, miaka mi 5 ni michache saana kujua hata nyumba za serikali na namna gani huyo unaedhani ndio wa kutufikisha nchi ya ahadi alihusika katika kuziuza mpaka kwa watu wake wa karibu, miaka mi5 ni michache saana kujua namna gani nyanza road walivyochakachua barabara inayoanzia kona ya bwiru, kiloleli, nyansaka mpaka nyakato na bado wanapewa miradi mikubwa, miaka mi 5 ni michache kujua ni kampuni ya akina nani iliopewa tenda ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kisasa huko chato na jengo la mamlaka ya mapato.
miaka mi5 ni michache saaana kujua ya namna gani bombardier zilivyonunuliwa kwa cash bila kufuata taratibu za manunuzi ya kiserikali na baraka za bunge.

kanywe gongo au konyagi kisha lala na kesho nayo ni siku.
Wewe ulikaa mingapi mkuu mbona unayajua mengi hivi
 
Wewe ulikaa mingapi mkuu mbona unayajua mengi hivi
haikuhusu ila huyo mnaemuona msafi na awafute wenzake duniani, mbona hamyajui ya nyumba za serikali alivyoziuza mpaka Dr Slaa akasema kuna moja alimpa nyumba ndo yake na nyingine mdogo wake? je yeye ni malaika?
 
Hamnaa!! Watu wanaiba sana. Mradi wa maji, mnaspend mamilion then hamkamilishi. Kosa ni la nani? Naamini serikali haikutuma hela pungufu ila ni uzembe wa wahuni tu. Sihitaji uteuzi

Nani wa kulaumiwa sasa? hivi kwa akili yako unafikiri hela ya serikali inaliwa kizembezembe?
 
watu wengi wanafikiri ili kusaidia nchi yako ni lazima uwe kiongozi lakini mtoa mada anasahau kuwa waliosababisha hayo yote ni watumishi wa umma kama yeye.Yeye kwa nafasi yake ya utumishi wa umma alitakiwa kutueleza amefanya nini kuisaidia nchi hii na sio kupiga blahblah zisizo msingi
 
Sasa wabunge wa CCM wamshauri Rais kitu gani tena, kama yeye mwenyewe Rais ameshasema dereva mzuri ni yule ambaye hasikilizi kelele za abiria. Mwenyewe ushauri anauita kelele. Ameamua kuendesha nchi kidikteta.

Unazungumzia miradi ya hovyo inayoanzishwa na serikali? Usiende mbali, jiulize tu ni hekima gani iliyotumika kwa Rais kutumia fedha za walipa kodi maskini kujenga uwanja wa ndege chato wakati kama huu ambapo serikali haina fedha kugharamia miradi ya msingi yenye uhusiano wa moja kwa moja na uhai wa wapiga kura wake.
 
Mimi ni mtumishi katika serikali hii ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Nimeitumikia serikali kwa miaka 5 sasa na kadiri muda unavyozidi kwenda ndivyo ninavyotambua maeneo ya ndani, miradi mbalimbali ya serikali(iliyokamilika na isiyokamilika). Kwa moyo wa dhati niipongeze serikali kwa miradi iliyokwisha kamilika. Ni nia njema kwa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na kuwapunguzia umaskini.

Kuna mambo mengi ndani ya serikali hayapo sawa, ila viongozi wetu hawayasemei katika mamlaka walipo. Serikali imepata hasara kubwa sana kwa miradi mingi kuanzishwa na kutokamilika.

Najiuliza hivi serikali haikuwa na malengo wakati inaanzisha hii miradi? Jibu ni hapana( hakukuwa na usimamizi nzuri na waliosimamia walikuwa wazembe). Kwa nini hawakuwajibishwa???he haikuwa na hela?? Jibu no hapana!!!

Hivi kweli kuna serikali hapa tz??? Ianzishe mradi wa milioni 200 ikose milioni 5 za kumalizia na kuacha hiyo milioni 200 ikioza kwa mradi ambao hautumiki??? Nooo!! Nimeumia sana. Miradi ya milions (summing billions and trilions) haijakamilika,imeachwa inaoza na haitumiki. Wadau nimejikuta nalia kwa kushuhudia miradi useless.

Ningekuwa raisi ningetafuta aliesababisha huu uzembe hata kama ni miaka 20 iliyopita nimnyonge hadharani. Tunaibiwa sana! Angejitokeza magufuli nimtembeze kwenye miradi mitano tu angelia.

Tatizo tulilo nalo watz wengi ni unafiki. Kuna wapinzani wanazungumza ukweli juu ya hili ila wana ccm wenzangu bungeni mnaniangusha sana. Msaidieni raisi anyooshe hii nchi kwa haki. Ningekuwa magufuli nione unanipongeza kinafiki nakuua!


Tunapaswa kumsaidia raisi kutenda haki katika kunyoosha tanzania na sio kutete akoseapo ili ionekane tunampenda!! Naumia sana kwa hii nchi. Tunafanya miradi mingi sana hewa.
Magufuli pia alikuwa ndani ya serikali miaka hiyo 20 unayoisema. Kwa nini usitoe mifano ya miradi unayoiongeea!
 
Back
Top Bottom