Elections 2010 Siwezi kushangilia ushindi wa zitto, ila umenipa hofu

Johnsecond

JF-Expert Member
May 4, 2010
1,076
211
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.
 
Hapana..si kweli
Ni wananchi wa kule ni WASWAHILI, kwa maana ya kwamba shule iko roborobo, na ogopa sana watu wa hivyo!
 
Akafie mbali na tamaa zake. Ngoja tuone . Toka mwanzo washkaji walisema huyu hafai kabisa. Ni nduwila kuwili .
 
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.

Tunajenga chama upya kuweka mizizi vijijini na kuuwa nguvu ya ujinga wa KICCM! Usije na Bundi muda huu! Vinginevyo unatafuta ubaya....Hongera Zitto Kabwe
 
Huu ni uswahili na chuki za kinafki kaka, ukumbuke Chadema ilipotokea, vuta kumbukumbu usiwe unaropoka tu mkuu, ni huyu huyu Zitto Kabwe ndio aliyeanza kutufungua sis masikio mpaka leo hii Chadema imefikia hatua hii, Fikiri kabla ya kuropoka.
Akafie mbali na tamaa zake. Ngoja tuone . Toka mwanzo washkaji walisema huyu hafai kabisa. Ni nduwila kuwili .
 
time will tell! Ngoja hii mambo ipite, akileta uccm lazima tumchuje kama wachuja nafaka! Its high time for revolution now and whoever go against us will end to hell........! So worry nat broda tunaendelea kumscan..
 
Huu ni uswahili na chuki za kinafki kaka, ukumbuke Chadema ilipotokea, vuta kumbukumbu usiwe unaropoka tu mkuu, ni huyu huyu Zitto Kabwe ndio aliyeanza kutufungua sis masikio mpaka leo hii Chadema imefikia hatua hii, Fikiri kabla ya kuropoka.

"The one who laughs last laughs the best" ndo nyie mnashikilia unyerere, acha mambo hiyo uwe up to date.
 
hongera sana Zitto,
Ila jamani kwa kumpigia kampeni Dr Slaa, Zitto alifanya. Mbona amezunguka majimbo mengi kwa lengo la kuwanadi wagombea wa Chadema na Dr Slaa, amefika Kibaha, Sumbawanga, BUkombe, Musoma n.k. Je huko alikuwa nawanadi akina nani na kaka siyo wagombea wa Chadema? Tuwe fair jamani.
 
Huu ni uswahili na chuki za kinafki kaka, ukumbuke Chadema ilipotokea, vuta kumbukumbu usiwe unaropoka tu mkuu, ni huyu huyu Zitto Kabwe ndio aliyeanza kutufungua sis masikio mpaka leo hii Chadema imefikia hatua hii, Fikiri kabla ya kuropoka.

Isskia, hii sio Chuki wala nini maslahi ya taifa mbele, zitto kama angeshirikiana na wenzake Chadema wangefanya wonders kuliko hizi unazoziona leo. Zitto anakaa jukwaani anamsifu kikwete au wewe hujasikia? Zitto alisema kwenye face book yake kuwa kura za maoni za redet ni sahihi, ni mpinzani huyooo? ajirekebishe maslahi ya nchi mbele kaka.
 
Mimi naamini kuwa SLaa na wengine wote wameshamuona, kama vp? They already Know Whatsup!
 
hongera sana Zitto,
Ila jamani kwa kumpigia kampeni Dr Slaa, Zitto alifanya. Mbona amezunguka majimbo mengi kwa lengo la kuwanadi wagombea wa Chadema na Dr Slaa, amefika Kibaha, Sumbawanga, BUkombe, Musoma n.k. Je huko alikuwa nawanadi akina nani na kaka siyo wagombea wa Chadema? Tuwe fair jamani.

Masaiti, nakubaliana na wewe alikuwa very weak kunadi wagombea wa Chadema sana sana aliwanadi rafiki zake tu. Sasa kama yeye Chadema inakuwaje anamnadi mgombea urais wa CCM? hata ukiangalia matokeo ya kwake yanaendana na JK na sio Slaa ina maana wananchi wangekuwa BOM wasingempa na yeye si wapinzani woote? na iweje aliyashabikia matokeo ya kura za maoni za redet?
 
Na imani kama alikuwa na mpango wa kutusaliti hatatusaliti tena mwenyewe kajionea upepo unavyokwenda Slaa ni nyota ya Watanzania
 
Cha muhimu ajirekebishe maana hili tunaongea tukiwa na hasira sio mchezo wa kisiasa, kwamba ajue kila anachokifanya anagusa maslahi ya nchi na wananchi hivyo awe makini na kama anataka CCMaende tu ijulikane moja. Alileta migogoro mingi kipindi kati chadema mpaka Slaa akamwambia aondoke tu hawatayumba kama chadema.
 
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.

Mkuu humtendei haki Zitto!
 
hongera sana Zitto,
Ila jamani kwa kumpigia kampeni Dr Slaa, Zitto alifanya. Mbona amezunguka majimbo mengi kwa lengo la kuwanadi wagombea wa Chadema na Dr Slaa, amefika Kibaha, Sumbawanga, BUkombe, Musoma n.k. Je huko alikuwa nawanadi akina nani na kaka siyo wagombea wa Chadema? Tuwe fair jamani.

Hata majimbo ya Kigoma amempigia debe dokta Slaa vizuri tu. Ana mapungufu yake lakini bado ni wa manufaaa sana.
 
huyu naye vipi umetumwa? ficha upumbavu wako hapa! umeipata hiyo!? zitto ni mwenzetu na aliyekutuma au kama umejituma hatumo humo na hatudanganyiki!
 
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.

Huu ni wakati wa kuzika haya mambo mkuu!!! CHADEMA inapaswa kujenga mizizi vizuri na si kujibomoa kama haya yako.

Hongera Zitto!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom