Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchawi si lazima abeeb tunguri... wewe ni mchawiWadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.
Jama hata mimi nilianza kumhisi Zitto kama msaliti, nina hisi hela inamzuzua huyu dogo, ni jembe kweli ila for real amerudi nyuma kunadi wagombea ikiwepo Dr Slaa, hata kwenye ule mdahalo mkubwa wa ITV juzu kati hakuwepo na hali alikuwa pale milimani city na hummer lake anakula bata, mi nilihisi vibaya ila tumshukuru Mungu kuwa tumeingiza wabunge wengi wazuri kama Lissu,Mdee, Sugu nk ambao ni mwiba kwa serikali, watu watafanya kazi kama kawa bila shaka.Jirekebishe ZITTO bila CHADEMA usingekuwa maarufu kama ulivyo sasa.
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.
Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.
Acha za kuleta, Zitto hakufanya mikutano Shinyanga na Mara? Huko alikuwa ananadi mgombea yupi wa raisi? Mkoa wa Rukwa na Kigoma kuingia Chadema ni ushawishi wa nani? Bora ulete hoja ingine mfano Slaa apewe kiti cha Spika kama kura hazitatosha
Huu si muda wake wapiganaji wengine bado wako vitani na wewe unaanza kutuletea zako acha hizo nenda kalinde kura kwanza.Wadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.
Agree with u ZITTO is a two faced and we know it, He is being watched very closely. He is not a true Chadema! We know all of him and Rostamio!. Watch out Zitto we know who u really are! Mnaomtetea hamjui ukweli. Mfuatilieni huyo mtu then u will know why we are saying this!
Mkuu hili mimi nilishalisema tangu mwanzo. Mimi ninauhakika, Zitto sio mpambanaji na amebeba bomu zito sana, CHADEMA wawe makini nae sana huyu bwa' mdogoWadau mkubali mkatae Zitti alikuwa mwenzetu ila kwa sasa sio mwenzetu, zitto hakumpigia debe Slaa naq nilishaongea huko nyuma kuhusu Siri ya zitto kuwa kimya naona sasa wadau mmeamini. jamaa mimi naona katusaliti na atatiuharibia chadema Zitto, Mungu amzuie kwa nguvu zake maana mali zinamdrive vibaya mtoto huyu alizopewa na akina Rostam.