cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,409
- 137,014
nikweliKuna kijana asiyetakwa na sugermumy akiruhusu hayo mazingira ? Ni kwamba vijana wengi wanajielewa, hawajiweki kwenye mazingira ya kutakwa na hao wamama. Unless hauna sifa za kijana shupavu, wamama 30- 50's always wanavutiwa na vijana energetic .
Wapo wenye kuitaj pesa nawapo wenye kuitaji uduma yako kitandan tuSugarmummy linajiachia na mibia bill ikija anakusukumia unabaki kujiuliza huyu mbona hajui wajibu wake wa kulea Wana. Mkienda Lodge unalipia, mkimaliza anataka nauli siku tena anakupigia hela ya kusuka
Mkuu siku hz njaaWeeeeeee sitoi pesa kwa kibibi tunafanya kuwasaidia tu kuwaridhisha
Huduma kitandani na mtu Ana marejesho?Wapo wenye kuitaj pesa nawapo wenye kuitaji uduma yako kitandan tu