Sivutiwi kabisa na haya mabeseni ya kuogea (Bathtub)

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,366
98,804
Tumezoea unaoga uchafu unatoka mwilini, sasa ile unaoga afu uchafu unarudi Kwenye maji Yale Yale Ni KERO Sana kiukweli.

Unaharaka zako unahitaji uoge chap chap uende zako afu unakutana na mtihani wa kutumbukia mzima mzima ujiloweke kwanza Kwenye beseni.
Ni kupotezeana muda kiukweli.
images-568.jpg
JamiiForums500513477.jpg
images-567.jpg
 
Tumezoea unaoga uchafu unatoka mwilini, sasa ile unaoga afu uchafu unarudi Kwenye maji Yale Yale Ni KERO Sana kiukweli.

Unaharaka zako unahitaji uoge chap chap uende zako afu unakutana na mtihani wa kutumbukia mzima mzima ujiloweke kwanza Kwenye beseni.
Ni kupotezeana muda kiukweli.View attachment 2036636View attachment 2036637View attachment 2036638
Ukiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe. Kwenye picha ulizoweka ipo moja ina shower. Mara nyingi mtu mwenye uwezo wa kuweka bath tub hashindwi kuweka na shower hapo hapo au kwenye kisehemu kingine pembeni. Bath tub sio kwa ajili ya kuoga kuondoa mauchafu yako uliyotoka nayo gereji huko, hio ni kwa ajili ya relaxion baada ya uchovu na stress za siku nzima ndio maana unakuta wengine wanaingia na vitabu au wanalala kabisa.
 
Ukiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe. Kwenye picha ulizoweka ipo moja ina shower. Mara nyingi mtu mwenye uwezo wa kuweka bath tub hashindwi kuweka na shower hapo hapo au kwenye kisehemu kingine pembeni. Bath tub sio kwa ajili ya kuoga kuondoa mauchafu yako uliyotoka nayo gereji huko, hio ni kwa ajili ya relaxion baada ya uchovu na stress za siku nzima ndio maana unakuta wengine wanaingia na vitabu au wanalala kabisa.
Ameweka hapo na ki champagne anarelax mwenyewe, yuko kwenye bubble bath :D
:D :D
 
We hujawahi kuona mtu huku uswahilini kala ugali mkubwa na dagaa wa mwanza.Akishashiba kitumbo ndi!!!unasikia anasema kwa jinsi nilivoshiba hivo natamani nipate beseni kubwa lijazwe maji niingie ndani nitulie.Sasa wazungu ndo wakakuletea hizo madude.
 
Mkuu

Kuna majani huwa yanawekwa kwenye hizo
bathtub ….

Kama una maradhi au stress za tozo zinaondoka…..

Pia yanaongeza umri wa kuishi…..haijalishi

changamoto za tozo, Mgao wa umeme wala maji….

Mwenye kuyajua hayo majani ayaweke hapa…..

Shukrani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom