mamLook
Member
- Feb 26, 2012
- 84
- 22
Kumbe jambo hili la digitali halijaeleweka na wengi...timu yetu ya elimu kwa jamii inabidi iweke mikakati mizito zaidi pale Morogoro itakapokutana soon mwezi huu!
jAMANI, STATIONS AMBAZO ZINAONEKANA free to Air sasa hivi, bado zitaendelea kuonekana free hata kwa kingamuzi...
Ni mtu yule anayetaka complications za MICHEZO, SINEMA NA MIZIKI YA KILEO ndiye atalazimika kulipia vituo hivyo, yaani ni kama ilivyo sasa!
Gharama atakayoingia mtu ni ndogo tu ya kawaida ya Tshs 59,000 tu, ambapo ni sawa na kumiliki simu ya tochi, ambapo pia kila Mtanzania ana uwezo huo kwa sasa.
Kama kuna maswali ulizeni!
Una hakika hizi receiver zinaonesha local channels free ?
Chukua mfano staaTymz imepungukiwa na baadhi ya channels za locals ambazo zinapatikana bure!
Fafanua hayo kwanzo ili uturidhishe na hii transition ya digital huenda tukaipokea vyema
-