Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Kwani konyagi ni kitu gani naa inatengenezwa chini ya uongozi wa nani?Angalia kuna Uzi wa kiongozi flani anataka akishika dola atengeneze gongo labda ile hotuba itakufaa kama ya JK hujaipenda
Kwani konyagi ni kitu gani naa inatengenezwa chini ya uongozi wa nani?Angalia kuna Uzi wa kiongozi flani anataka akishika dola atengeneze gongo labda ile hotuba itakufaa kama ya JK hujaipenda
Huu ni mtizamo wako sasa iweje utusemee wengine? Umedhalilika wewe kutokana na ulivyoitafsiri.Nikiwa kama mtanzania mwenye mtazamo tofauti, nimejaribu kusikiliza hotuba nyingi mpaka sasa naona ya Kikwete imejaa sana ubinafsi na dhihaka wengi wanasifu na kuutambua mchango wa Madiba lakini yeye ameonesha kuwa Madiba si lolote si chochote na asingeyafanya hayo bila Tanzania.
Historia haijirudii na ukweli ubaki kuwa ukweli kuwa tumeshiriki vyema bt yeye katumia chance hiyo kama kujihalalishia masifasifa.
Kama mlikuwa makini, vicheko vya watu havikuwa vya kuvutiwa kwa hotuba bali ni utoto na ulimbukeni wake aliyokuwa anatoa. Just imagine Madiba kusahau viatu na yeye kumpelekea, INAHUSU!!
Kikubwa ameonge mambo sahihi lakini si mahala pake.
Mwenye akili timamu ataona kuwa kuna madhala makubwa juu ya speech hii
Ametudhalilisha sana
Kama ni mtizamo wako sema nimedhalilika na sio tumedhalilika.Huo ni mtazamo wangu, sio wako
kweli uwezo wake umefikia hapo . katika msafara wa mamba hata ..............wapoNdio uwezo wako wa kufiri umeishia hapo?
Nikiwa kama mtanzania mwenye mtazamo tofauti, nimejaribu kusikiliza hotuba nyingi mpaka sasa naona ya Kikwete imejaa sana ubinafsi na dhihaka wengi wanasifu na kuutambua mchango wa Madiba lakini yeye ameonesha kuwa Madiba si lolote si chochote na asingeyafanya hayo bila Tanzania.
Historia haijirudii na ukweli ubaki kuwa ukweli kuwa tumeshiriki vyema bt yeye katumia chance hiyo kama kujihalalishia masifasifa.
Kama mlikuwa makini, vicheko vya watu havikuwa vya kuvutiwa kwa hotuba bali ni utoto na ulimbukeni wake aliyokuwa anatoa. Just imagine Madiba kusahau viatu na yeye kumpelekea, INAHUSU!!
Kikubwa ameonge mambo sahihi lakini si mahala pake.
Mwenye akili timamu ataona kuwa kuna madhala makubwa juu ya speech hii
Ametudhalilisha sana
Hapo kwenye RED, mbona uzi wako umekaa kisiasa sana? Hayo madhala makubwa yatatokana na yeye kusema Nyerere alimpelekea viatu au nini hasa? Maana accusation zako zote juu ya hotuba hiyo kikubwa ulichokiona kimekudhalilisha ni hicho ndiyo maana umekiandika na hukuandika kingine.
Hebu weka siasa pembeni na ushabiki majitaka utuambie kaongea nini hasa kitakachotuletea madhara makubwa?
Huyu jamaa ni mburura tu,kwa nini usiunge mkono Mimi nimeiunga mkono na nimefurahi...ni kweli wa sauzi tuna history nao jamaa.we we utakuwa na chuki za ki**ma.kama wewe ni cdm Mimi ni zaidi yako..mimi naijua cdm kitambo nimefurahi hotuba ya jk
Just imagine Madiba kusahau viatu na yeye kumpelekea, INAHUSU!!
Kikubwa ameonge mambo sahihi lakini si mahala pake.
Mwenye akili timamu ataona kuwa kuna madhala makubwa juu ya speech hii
Ametudhalilisha sana
Nikiwa kama mtanzania mwenye mtazamo tofauti, nimejaribu kusikiliza hotuba nyingi mpaka sasa naona ya Kikwete imejaa sana ubinafsi na dhihaka wengi wanasifu na kuutambua mchango wa Madiba lakini yeye ameonesha kuwa Madiba si lolote si chochote na asingeyafanya hayo bila Tanzania.
Historia haijirudii na ukweli ubaki kuwa ukweli kuwa tumeshiriki vyema bt yeye katumia chance hiyo kama kujihalalishia masifasifa.
Kama mlikuwa makini, vicheko vya watu havikuwa vya kuvutiwa kwa hotuba bali ni utoto na ulimbukeni wake aliyokuwa anatoa. Just imagine Madiba kusahau viatu na yeye kumpelekea, INAHUSU!!
Kikubwa ameonge mambo sahihi lakini si mahala pake.
Mwenye akili timamu ataona kuwa kuna madhala makubwa juu ya speech hii
Ametudhalilisha sana