Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Wazri wa ushirikiano wa afrika mashariki bwana Samweli Sitta, ametoa angalizo leo bungeni kwa wanawake wa kitanzania kuwa makini na wanaume kutoka nje ya nchi wanaotaka kufunga nao ndoa, kwani inaonekana wanaolewa sio kwa mapenzi ila ni ili wale wanaowaoa wapate haki ya kumiliki ardhi hapa nchini. Hii ni kutokana na uhaba wa ardhi kwenye nchi zao. Amesema ndoa hizo huwa haziduma kwahiyo lengo la waowaji inaonekana ni kupata ardhi kupitia mgongo wa ndoa na wanawake wa kitanzania. Na mbaya zaidi hio ndoa ikivunjika huyu mgeni ndio hubaki na hio ardhi.