Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Mjadala unaoendelea ndani CCM kati ya Sitta na Lowassa has something to do with 2015 presidential candidancy...naona hii imekuwa tayari ni kambi za kugombea uongozi zaidi ya kupinga ufisadi?
Naamini Sitta au Lowassa wanajiandaa kuchukua nchi baada ya JK..kwa hiyo haya mapambano yataendelea miaka mitano ijayo hata baada ya uchaguzi...
Common denominator (wote ni wanasiasa, wana CCM, wanapenda Madaraka na fedha wanayo) siku wakiamua kuwa wamoja na kugawana vyeo (compromise) kama alivyofanya JK wananchi tutegemee maumivu miaka mingi under CCM rule
Wakiendelea kuwa wagomvi itakuwa faida kwetu kama nchi .. Just curious...
Naamini Sitta au Lowassa wanajiandaa kuchukua nchi baada ya JK..kwa hiyo haya mapambano yataendelea miaka mitano ijayo hata baada ya uchaguzi...
Common denominator (wote ni wanasiasa, wana CCM, wanapenda Madaraka na fedha wanayo) siku wakiamua kuwa wamoja na kugawana vyeo (compromise) kama alivyofanya JK wananchi tutegemee maumivu miaka mingi under CCM rule
Wakiendelea kuwa wagomvi itakuwa faida kwetu kama nchi .. Just curious...