Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
Dr Bana+Redet= Urithi wa mikoba ya Sheikh Yahya!!!Bana mchumia tumbo.... REDET kituko bcoz of this Dr. njaa
Dr Bana+Redet= Urithi wa mikoba ya Sheikh Yahya!!!Bana mchumia tumbo.... REDET kituko bcoz of this Dr. njaa
Umemchambua vizuri sana huyo anayejidai ana PhD, ya Political Science, ambaye amejigeuza mchumia tumbo wa magamba!! Huyo jamaa, anasababisha hata wasomi wengine wenye heshima zao, wananchi wasiwe na imani nao sana. Lakini atambue kuwa huo uchambuzi wake unaosukumwa na njaa yake, hautaweza kubadlisha mawazo ya wananchi wanaotaka mabadiliko makubwa ya kisiasa, kwa kuwapiga chini Magamba!!Who the Hell is this yknown as Dr Banna, Hivi huyu ni msemaji wa Magamba???????
La Lowassa Chenge limewashinda
Ngoja nisiseme,naweza pewa Bann
Amekataliwa na CCM na sio Wa Tanzania, hivi huyu Mzee ni Poyoyo???
Holy Cra.p, Lowassa labda akawe Rais wa Monduli
Namslikitikia kwa Sababu CCM ni sikio lililo Kufa afadhali hata lingekuwa ni la Kufa.
Sasa Msekwa anasema dhana ya kujivua gamba imeisha huyu Bana anasema ipo na inatekelezwa. Sasa kuwa na statement zinazokinzana si uwendawazimu kweli
Unaweza kuwa umesoma sana lakini bado ukawa mjinga na hivi ndivyo alivyo bwana Bana, kila anapotoa hoja zake nashangaa huyu ni msomi kweli au ulevi wa ushabiki!
Uchaguzi
unaoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeelezwa kuwa utabiri
mwema kwa chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kutokana na
kuingiza sura mpya huku vigogo wakibwagwa.
Aidha, baadhi ya waliong'ara katika uchaguzi huo
wametabiriwa neema kushika nafasi za juu katika Serikali ukiwamo urais
mwaka 2015 ikiwa watakuwa tayari kusafisha madoa waliyonayo.
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,
Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala, Dk Benson Bana aliliambia gazeti
hili jana kuwa CCM imedhihirisha ni chama dume, chenye demokrasia na
ukomavu kisiasa.
Akifafanua, alisema: "Uchaguzi unadhihirisha wazi
kuwa CCM bado inadunda na dhana ya kujivua gamba inatekelezwa, watu
zaidi ya 5,000 walipitishwa Dodoma huku sura mpya zikijitokeza, miongoni
mwao ni vijana, wazee hata wakulima"......
Sipati picha anawafundisha nini wanafunzi wake pale UDSM.
kam umekuwa ukifuatilia kauli za msomi wetu huyu, yeye ni mpiga debe wa CCM siku zote.Benson Bana yuko kundi gani? kwani anaonyesha wazi hapa kwamba hata yeye ni gamba linalonufaika na matunda ya ufisadi kutoka kundi fulani; most likely la EL!!
unataka haende wapi kaka?sita nae ni mnafik tu,
alisha yasema hayo kwenye vikao vya chama?
Kama hawayafanyii kazi mbona haondoki, anasubiri nini?
unamaanisha ile rangi ya uchumia tumbo?Rangi ya Bana sasa inaonekana vizuri
yule jamaaa ninamashaka sana na udakta wake labda wa karatasi cheti lakini kudelever results pale cheche pumba tupu anajishushia na anaishushie heshima taaluma nzimaEti halafu unatoka pale UDSM huku unajigamba kuwa eti mwalimu wangu ni Bana, sijui anawafundisha nini pale wanafunzi