Sitta: Sisubiri ruhusa ya mtu yeyote, nani asiyejua kuwa Chenge ni mtuhumiwa?


Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala, Dk Benson Bana aliliambia gazeti hili jana kuwa CCM imedhihirisha ni chama dume, chenye demokrasia na ukomavu kisiasa.
Who the Hell is this yknown as Dr Banna, Hivi huyu ni msemaji wa Magamba???????

Akifafanua, alisema: "Uchaguzi unadhihirisha wazi kuwa CCM bado inadunda na dhana ya kujivua gamba inatekelezwa, watu zaidi ya 5,000 walipitishwa Dodoma huku sura mpya zikijitokeza, miongoni mwao ni vijana, wazee hata wakulima".
La Lowassa Chenge limewashinda

Dk Bana alisema hatua hiyo imedhihirisha mianya ya rushwa kudhibitiwa ndani ya chama hicho, baada ya kuona magwiji wa siasa akiwamo Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, wakiangushwa, jambo linaloashiria hakubaliki kuwania urais.
Ngoja nisiseme,naweza pewa Bann

"Hakuna asiyejua mbio za Sumaye kutaka urais, sasa kama jimbo la Hanang watu wachache wamekukataa, si rahisi Watanzania wakupe urais, namshauri sasa arejee kutumika katika nafasi yake ya siasa kama Waziri Mkuu mstaafu, maana Watanzania wameamua kufanya mabadiliko," alisisitiza Dk Bana.
Amekataliwa na CCM na sio Wa Tanzania, hivi huyu Mzee ni Poyoyo???


"Uchaguzi 2015 tutarajie mambo makuu mawili; Katiba mpya ndio pekee itatoa mwelekeo wa kitakachotokea, lakini pia CCM inateua nani kuwania urais wakati huo, hii itabadili mtizamo wa siasa, wakiteua vizuri, watawafunika wapinzani," alisisitiza Dk Bana.

Dk Bana alivunja ukimya na kueleza wazi kuwa, hivi sasa ndani ya CCM kuna mtu anayenukia urais, ila bado ana madoa anayopaswa kuyasafisha ili akubalike. Alimtaja mtu huyo kuwa ni Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.
Holy Cra.p, Lowassa labda akawe Rais wa Monduli

"Hawa wana kambi zao ndani ya chama, wanataka kumvuruga Katibu Mkuu Mukama (Wilson) kwa kauli zao, wasipewe nafasi waadabishwe kurejesha nidhamu," alihimiza Dk Bana aliyekuwa akitoa maoni yake kuhusu uchaguzi unaoendelea CCM.
Namslikitikia kwa Sababu CCM ni sikio lililo Kufa afadhali hata lingekuwa ni la Kufa.
 
Kwani ukisema nje ya vikao ndo hasikii? Sita endeleo kusema tu, hata ukisemea chooni. Kumbuka ndani ya vikao vya magamba kuna wasanii tu wakiongozwa Kiongozi wao mkuu na kale kazee kasiko penda bible
 
Ukishakuwa ndani ya magamba,uwezo wako wa kuona na kufikiri unapotea na hadhi elimu yako inayeyuka!
 
Dr BANA ni msomi mwenye PHD katika political science,alianzia ualimu wa primary,katika familia yao wamezaliwa kama 40 hivi wa mama tofauti tofauti,ni familia duni sana na anategemewa na watu zaidi ya 100.ndio maana anawalamba miguu mafisadi,ni mtu anayesimamia hasiyoyaamini ili mradi mkono uende kinywani na apate pesa za kufanyia nyodo zake za kihaya,anaebisha akamuulize Prof Baregu ni rafiki yake wa karibu na wanatokea kijiji kimoja.

'nawasilisha'
Heeeeeeeeeeeeee??????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ndio maaana! Hata hivyo, mimi huwa nazishangaa media za Bongo, ikitokea issue ya CCM wanakimbilia kumuuliza huuy mhaya, hivi pale UDSM hakuna wataalam wengine wa Political Science? Yaani utadhani Bana ndio M/kiti wa Political Scientists wote nchini.....Kwanini wasiwe wanawauliza na watu kama akina Prof. Baregu, Bashir Ally, Dr. Lwaitama, au hata wataalamu wengine kutoka vyuo vingine nchini? Au huko/hao sio wasomi? Kwamfano, ile Mwalimu Nyerere Memorial Academy (zamani Kivukoni) si ndio Chuo kikongwe zaidi kwenye masuala ya siasa? Mbona hatujawahi kusikia wanahojiwa ili kupata maoni mbalimbali juu ya mwenendo wa siasa nchini? Media zetu nazo huwa zinatafuta biased sources of information. Eti Bana yuko pale Survey lakini mambo yanayotendeka Monduli anayaelezea utadhani alikuwepo. Kumbe anatoa taarifa kwenye Facebook, na kesho yake utasikia media kama gazeti hili uchwara zikidai " huo ni utafiti uliofanywa na REDET/Dr. Bana". Ptuuuuuuuu!!!!!!!!!!! Rubbish!
 
huyo bana cn gamba2! Unategemea political analysis ya maana kwel kutoka kwa huyo chapa ya kijan?
 
Baba Sita, Tunahitaji NATIONAL RECONCILIATION. Kama nchi nyingine zilivyofanya. Let find wameiba sh ngapi tuwajulishe then tuwaambie rudisheni hapa, wekezeni hapa bongo, tujenge nchi yetu serikali iwasupport kisera nasi siku moja tuwe BIG NATION. Hakuna haja ya kuweweseka kwa kutumia madahifu ya watu huku tukijua kuwa visasi ndio vitatawala mkiingia madarakani. Hebu acheni Legacy basi kwa kufanya vitu kwa ajili ya watu. UKITAKA KUWA RAISI IDEOLOGY YAKO IWE '' NATIONAL RECONCIALIATION NA UJENZI WA TANZANIA MOJA KUWA TAIFA KUBWA.''
 
wenye CV yake huyu bana turushieni .....na pepaz zake alizopublish ili tuweze kujadili vizuri. wenye CV yake turushieni jamvini sas hivi
 
Dr BANA ni msomi mwenye PHD katika political science,alianzia ualimu wa primary,katika familia yao wamezaliwa kama 40 hivi wa mama tofauti tofauti,ni familia duni sana na anategemewa na watu zaidi ya 100.ndio maana anawalamba miguu mafisadi,ni mtu anayesimamia hasiyoyaamini ili mradi mkono uende kinywani na apate pesa za kufanyia nyodo zake za kihaya,anaebisha akamuulize Prof Baregu ni rafiki yake wa karibu na wanatokea kijiji kimoja.

'nawasilisha'

hahahahhaaaa,,,,dogo janja kwa hiyo Dr Bana anaongea haya kwa njaa zake au????
 
Haya Dr. Bana! Lakini 2015 si mbali. Tutaona hayo madoa-doa yatakavyo safishika. Utashi wa wanaMonduli si utashi wa Watanzania!
Tatizo la huyo mhadhiri wa chuo kikuu anatumika sana na magamba, hivi sasa keshatumbukiziwa vijisenti kwenye akaunti yake na mzee wa mamvi, tayari keshajiingiza kwenye mtandao wake!! Wahadhiri wa design ya Dr Bana ndiyo wanafanya vijana wengi wa hivi sasa, waone bora kushinda vijiweni kuvuta unga kuliko kwenda madarasani kusoma!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom