Sitta, Mwakyembe na Nnape wang'olewe CCM kwa kuendekeza u-CCJ

makoye2009

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,638
1,218
Zile tuhuma za Mhe. Sitta,Mhe. Mwakyembe na Nnape za kutaka kuasisi chama kipya cha CCJ_Chama Cha Jamii zimejidhirisha juzi kuwa ni kweli baada ya waheshimiwa hawa kwenda Mbeya kupiga domo na kudhihirisha wazi kuwa hawa jamaa ndiyo Waanzilishi wa CCJ.

Kwa mtu yeyote makini akiangalia ile orodha ya watu walikouwepo kwenye yale maandamano/mikutano na kile kilichozungumzwa na waheshimiwa hawa moja kwa moja inaonyesha kuwa hawa ni WAASISI WA CCJ pasi na shaka yoyote.

Sitta anaposema wale waliosababisha ukosefu wa UMEME wawajibishwe anaonekana kupingana waziwazi na Waziri Ngeleja na kwa maana hiyo ni kupingana na Serikali iliyoko Madarakani ambayo yeye ni Waziri. Hapa Sitta amekiuka kanuni ya Uwajibikaji wa pamoja. Kwanza Sitta anatakiwa kujua kuwa yeye ni sehemu ya tatizo la umeme kwa vile yeye akiwa Spika aliruhusu kuundwa kwa Kamati ya Bunge iliyoibua swala zima la Richmond na hatimaye kupelekea kujiuzulu kwa Lowassa.

Mitambo hii hii ya Richmond ambayo Kamati ya Bunge ya Sitta ikiongozwa na Mhe. Mwakyembe ilisema haifai na hata baada ya ushauri wa kina Zitto na TANESCO kuwa mitambo hiyo inunuliwe na TANESCO ili kuliokoa Taifa LISSINGIE GIZANI. Leo wamekuja Wamarekani wa Symbion na kuthibitisha kuwa mitambo hiyo una ubora wa hali ya juu.

Sasa nchi imo gizani tayari. Je,huyu Sitta na Mwakyembe hawaoni kuwa wao ni sehemu ya tatizo la nchi kuingia gizani na wanatakiwa waachie ngazi?
 
walikuwa wanazindua kampeni ya 6 for 2015 wameona hali imezidi kuwa mbaya mpinzani wao yupo mbele speed 120
 
Zile tuhuma za Mhe. Sitta,Mhe. Mwakyembe na Nnape za kutaka kuasisi chama kipya cha CCJ_Chama Cha Jamii zimejidhirisha juzi kuwa ni kweli baada ya waheshimiwa hawa kwenda Mbeya kupiga domo na kudhihirisha wazi kuwa hawa jamaa ndiyo Waanzilishi wa CCJ.IKwa mtu yeyote makini akiangalia ile orodha ya watu walikouwepo kwenye yale maandamano/mikutano na kile kilichozungumzwa na waheshimiwa hawa moja kwa moja inaonyesha kuwa hawa ni WAASISI WA CCJ pasi na shaka yoyote.Sitta anaposema wale waliosababisha ukosefu wa UMEME wawajibishwe anaonekana kupingana waziwazi na Waziri Ngeleja na kwa maana hiyo ni kupingana na Serikali iliyoko Madarakani ambayo yeye ni Waziri. Hapa Sitta amekiuka kanuni ya Uwajibikaji wa pamoja. Kwanza Sitta anatakiwa kujua kuwa yeye ni sehemu ya tatizo la umeme kwa vile yeye akiwa Spika aliruhusu kuundwa kwa Kamati ya Bunge iliyoibua swala zima la Richmond na hatimaye kupelekea kujiuzulu kwa Lowassa.Mitambo hii hii ya Richmond ambayo Kamati ya Bunge ya Sitta ikiongozwa na Mhe. Mwakyembe ilisema haifai na hata baada ya ushauri wa kina Zitto na TANESCO kuwa mitambo hiyo inunuliwe na TANESCO ili kuliokoa Taifa LISSINGIE GIZANI. Leo wamekuja Wamarekani wa Symbion na kuthibitisha kuwa mitambo hiyo una ubora wa hali ya juu. Sasa nchi imo gizani tayari. Je,huyu Sitta na Mwakyembe hawaoni kuwa wao ni sehemu ya tatizo la nchi kuingia gizani na wanatakiwa waachie ngazi?
Ebu sema yote uliyotumwa then tuone kama pesa uliyolipwa umeitendea haki ama hufai hata kuitwa Mtanzania.kwani mtu yoyote akianza kuwakashifu watu ambao waliotowa fulusa hata ya wewe kumfahamu Dr slaa,kupitia bunge la 9,tena kwa gharama kubwa yakufikia hutuwa ya kufukuzwa uanachana na walikuwa tayari ili wewe ujuwe nchiyako inaendaje Leo unawatukana kisa umemfaham Dr.amakweli ikosikumoja utamwaibisha mzaziwako.
 
Sijamiuelewa sita kwani huu mgao wa umeme wa sasa hivi umesababiswa na Lowassa? mimi nilidhani lowassa angekuwa madarakani kwa garama yoyote asingekubaliana na huu mgao;SITTA ataiangamiza hii nchi saa sita mchana watanzania wakiwa wanamuona.yeye atachotafuta ni sifa za kuijenga CCJ awe rais ila hana nia ya kusaidia watanzania na adha ya umeme.
Hebu kwa uzoefu wake atoe ushauri kwa serekali nini kifanyike kunusuru nchi then kampeni ya CCJ ije baadaye
 
Sijamiuelewa sita kwani huu mgao wa umeme wa sasa hivi umesababiswa na Lowassa? mimi nilidhani lowassa angekuwa madarakani kwa garama yoyote asingekubaliana na huu mgao;SITTA ataiangamiza hii nchi saa sita mchana watanzania wakiwa wanamuona.yeye atachotafuta ni sifa za kuijenga CCJ awe rais ila hana nia ya kusaidia watanzania na adha ya umeme.
Hebu kwa uzoefu wake atoe ushauri kwa serekali nini kifanyike kunusuru nchi then kampeni ya CCJ ije baadaye

Hapa ndipo ninapokubaliana na Lowassa kwamba serikali haifanyi maamuzi magumu!! Sitta amekuwa akiipinga serikali tangia achaguliwe kuwa Waziri; hajui kitu kinachoitwa collective responsibility hadi Rais akaelekeza kule St. Gaspar lakini Sitta bado anarudia tu!! Kama serikali inagekuwa na maamuzi magumu basi ndg. Sitta angekuwa ameishatupiwa virago toka serikalini kama alivyofanyiwa Mrema miaka ya 90 baada ya kukiuka collective responsibility.

Mbona Sitta hautuambii kwamba Wamarekani wa SIMBION ni waongo kwa kusifia mitambo ya DOWANS ambayo wao na kundi lake waliiponda?

Mbona Sitta hatukumbushi maneno ya Dr. Idrissa Rashid alisema kama hatutanunua mitambo ile basi Nchi itaingia gizani na kweli hivi sasa nchi iko kwenye giza totoro?

Urais wa 2015 hautaiacha salama CCM; Sitta ametoka kwenye Mtandao ameanzisha mtandao!!
 
Hapa ndipo ninapokubaliana na Lowassa kwamba serikali haifanyi maamuzi magumu!! Sitta amekuwa akiipinga serikali tangia achaguliwe kuwa Waziri; hajui kitu kinachoitwa collective responsibility hadi Rais akaelekeza kule St. Gaspar lakini Sitta bado anarudia tu!! Kama serikali inagekuwa na maamuzi magumu basi ndg. Sitta angekuwa ameishatupiwa virago toka serikalini kama alivyofanyiwa Mrema miaka ya 90 baada ya kukiuka collective responsibility. !!

"Maamuzi magumu yanafanywa ata na vibaka na majambazi, viongozi makini hawafanyi maamuzi magumu bali MAAMUZI MAKINI NA SAHIHI" Dr. Harrison Mwakyembe
 
Sijamiuelewa sita kwani huu mgao wa umeme wa sasa hivi umesababiswa na Lowassa? mimi nilidhani lowassa angekuwa madarakani kwa garama yoyote asingekubaliana na huu mgao;SITTA ataiangamiza hii nchi saa sita mchana watanzania wakiwa wanamuona.yeye atachotafuta ni sifa za kuijenga CCJ awe rais ila hana nia ya kusaidia watanzania na adha ya umeme.
Hebu kwa uzoefu wake atoe ushauri kwa serekali nini kifanyike kunusuru nchi then kampeni ya CCJ ije baadaye

Hivi mkuu wewe unajua kilichokuwa cha endelea wakati wana msurubisha lowassa au unajiongelea. Lowassa kama aliweza kukatisha mkataba ule wa City Water ilikuwaje yeye kama waziri mkuu kushindwa kukatisha mkataba wa Richmond/Dowans? yeye kama waziri mkuu alitakiwa kumwambia rais mimi EL sikubaliani na mkataba huo period kama angelazimishwa ange risgn mampema tu, ila kwa kuwa ni sababu za kiswahiba ndio hayo yaliyo igharimu nchi yetu mikataba mibovu umeme ni tatizo tokea 90's sasa wewe unapo sema Sitta sikuelewi sijui unsfuatilia bunge au? Narudia tena Wizara ya nishati na madini yenyewe kila kukicha na miradi mingi ya umeme haikamirishi wala haifanyi research ya final solution wao ni fire fighter siku zote katika swala la umeme. Kiini cha tatizo kipo kwani wizara ya nishati na madini kwa mawaziri wote walio pitia hapo ni tatizo kuanzia hata rais aliepo madarakani hapo nishati na madini kunani ni kama IKULU watu wanapo tataka kupakimbialia kuna biashara gani nishati/madini na IKULU?? Ngeleja kama waziri kijana ambae kwa uhakiki kurudi bungeni kulimgharimu sana kipindi hiki. sasa anajisahau kuwa wananchi hawapotezi memory this time wako na wakati ndio mzee imekwisha.

Siasa sasa ndio inaanza kuchukuwa mkondo wake nchini Tanzania sasa wananchi kuweni macho na makini kwa wana siasa wenu?
 


Hivi mkuu wewe unajua kilichokuwa cha endelea wakati wana msurubisha lowassa au unajiongelea. Lowassa kama aliweza kukatisha mkataba ule wa City Water ilikuwaje yeye kama waziri mkuu kushindwa kukatisha mkataba wa Richmond/Dowans? yeye kama waziri mkuu alitakiwa kumwambia rais mimi EL sikubaliani na mkataba huo period kama angelazimishwa ange risgn mampema tu, ila kwa kuwa ni sababu za kiswahiba ndio hayo yaliyo igharimu nchi yetu mikataba mibovu umeme ni tatizo tokea 90's sasa wewe unapo sema Sitta sikuelewi sijui unsfuatilia bunge au? Narudia tena Wizara ya nishati na madini yenyewe kila kukicha na miradi mingi ya umeme haikamirishi wala haifanyi research ya final solution wao ni fire fighter siku zote katika swala la umeme. Kiini cha tatizo kipo kwani wizara ya nishati na madini kwa mawaziri wote walio pitia hapo ni tatizo kuanzia hata rais aliepo madarakani hapo nishati na madini kunani ni kama IKULU watu wanapo tataka kupakimbialia kuna biashara gani nishati/madini na IKULU?? Ngeleja kama waziri kijana ambae kwa uhakiki kurudi bungeni kulimgharimu sana kipindi hiki. sasa anajisahau kuwa wananchi hawapotezi memory this time wako na wakati ndio mzee imekwisha.

Siasa sasa ndio inaanza kuchukuwa mkondo wake nchini Tanzania sasa wananchi kuweni macho na makini kwa wana siasa wenu?

Mkuu umenena point, hiyo wizara inachezesha madili yote machafu katika hii nchi. Inabidi kufanyike uchunguzi wa siri na uozo wote uanikwe, watu wanakula milungula sana hii wizara.
 
Hapa ndipo ninapokubaliana na Lowassa kwamba serikali haifanyi maamuzi magumu!! Sitta amekuwa akiipinga serikali tangia achaguliwe kuwa Waziri; hajui kitu kinachoitwa collective responsibility hadi Rais akaelekeza kule St. Gaspar lakini Sitta bado anarudia tu!! Kama serikali inagekuwa na maamuzi magumu basi ndg. Sitta angekuwa ameishatupiwa virago toka serikalini kama alivyofanyiwa Mrema miaka ya 90 baada ya kukiuka collective responsibility.

Mbona Sitta hautuambii kwamba Wamarekani wa SIMBION ni waongo kwa kusifia mitambo ya DOWANS ambayo wao na kundi lake waliiponda?

Mbona Sitta hatukumbushi maneno ya Dr. Idrissa Rashid alisema kama hatutanunua mitambo ile basi Nchi itaingia gizani na kweli hivi sasa nchi iko kwenye giza totoro?

Urais wa 2015 hautaiacha salama CCM; Sitta ametoka kwenye Mtandao ameanzisha mtandao!!


Collective responsibility in this Country over my dead body,
Nadhani Sitta anayo haki kuikosoa serikali pia ni haki ya kila raia, wataka kuniambia maamuzi yote yanayo pitishwa pale bungeni na kura nyingi zaenda kwa wabunge wa CCM ni kuwa wote wamekubaliana kweli kwa ridhaa zao au nafsi zao? none zero!!!!! Ngeleja kapigiwa kelele muda mrefu Rais kaahidi umeme nyang'ware, Malecela nae enzi zake za uongozi alihaidi umeme Kigoma malima kaenda huko mwakajana katatua mgogoro ulio kuwepo pale na akahaidi umeme utakuja soon worse ngeleja aliwahaidi watu wa nyang'wale umeme utafika May this year none zero Answer ndio useme hao wana Collective responsibility.

Senior MP officer (John Yates) uko Uingereza kajiuzuru kwa ajiri Phone Hacking Scandal je Hapa kwetu tatizo liko kabisa kwenye wizara yako na wewe ndio mpiga polojo everyday kukicha na kuwadanganya wananchi.

Heli ya yule apingae serikali yake twajua kuwa anapishana na maamuzi mengine ambayo siyo na huyu anae tudanganya kila kukicha ntawaletea-umeme, ntawaletea-umeme at the end anawaletea giza totolo wewe wamwona ni bora kweli akili zetu sijui sie waafrika.

"Mtu mwenye akili akikupa ushauri wa kijinga na wewe ukaukubali atakuona wewe ni mjiga kabisa narudia tena Mtu mwenye akili akikupa ushauri wa kijinga na wewe ukaukubali na akagundua umejua ni ushauri wa kijinga basi atakudharau sana" By Mwl.Nyerere - May Mosi Mbeya 1995

"Umaskini wa mawazo ni umaskini mbaya kabisa kuliko umaskini wowote kwa binadamu" By Mwl.Nyerere - May Mosi Mbeya 1995
 
Back
Top Bottom