Sitta, Makame tangazeni uchaguzi Biharamulo kabla ya Mei 15

Status
Not open for further replies.

Serayamajimbo

Senior Member
Apr 15, 2009
191
38
Tayari Kabuye ameshazikwa, Mungu amlaze mahali pema. Sasa nini kinasubiri kutangaza jimbo kuwa wazi? Leo ni tarehe 11 na Tume ya uchaguzi iliwahi kusema huko nyuma kuwa ikifika tarehe 15 Mei kama hakuna kiti kilichotangazwa kuwa wazi ndio hivyo tena hakuna uchaguzi mwingine wa marudio wa ubunge mpaka uchaguzi mkuu 2010. Je, CCM mnaogopa ya Tarime na Busanda ndio maana mmeamua kushirikiana na Sitta na Makame kuweka mpira kwapani?

Serayamajimbo
 
Hilo ndo basi tena hadi 2010. lazima kusoma upepo wa busanda unavyokwenda isije ikawa another loose tp CCM. Ni jambo jema hilo jimbo likisubiri 2010. upinzani sasa needs a break, wasije wakajikuta hawana hela za 2010.

Cha msingi ni kuhakikisha ifikapo hiyo 2010, hakuna jimbo mbunge wa CCM kupita bila kupingwa kama ilivyotokea kwenye baadhi ya majimbo 2005. Hata kama ni kwa kushindwa lakini upinzani uwepo tu.
 
Tayari Kabuye ameshazikwa, Mungu amlaze mahali pema. Sasa nini kinasubiri kutangaza jimbo kuwa wazi? Leo ni tarehe 11 na Tume ya uchaguzi iliwahi kusema huko nyuma kuwa ikifika tarehe 15 Mei kama hakuna kiti kilichotangazwa kuwa wazi ndio hivyo tena hakuna uchaguzi mwingine wa marudio wa ubunge mpaka uchaguzi mkuu 2010. Je, CCM mnaogopa ya Tarime na Busanda ndio maana mmeamua kushirikiana na Sitta na Makame kuweka mpira kwapani?

Serayamajimbo
Ninachoelewa mimi ni kwamba Kabuye hakuwa mbunge baada ya mshindani wake pwana Choya kumpeleka mahakani kuwa alitumia lugha ya matusi na mahakama ikaamua bwana Choya apewe ubunge. Lakini Marehemu Kabuye alikata rufaa ambayo mpaka mauti yanamkuta ilikuwa haijaamuliwa. tuendelee na mjadala sasa, karibuni
 
watu wanawaza uchaguzi kazi hawafanyi......kama kule busanda nafikiri coster 4 zinajaa viongozi wa ccm walioko kule....
 
Hilo ndo basi tena hadi 2010. lazima kusoma upepo wa busanda unavyokwenda isije ikawa another loose tp CCM. Ni jambo jema hilo jimbo likisubiri 2010. upinzani sasa needs a break, wasije wakajikuta hawana hela za 2010.

Cha msingi ni kuhakikisha ifikapo hiyo 2010, hakuna jimbo mbunge wa CCM kupita bila kupingwa kama ilivyotokea kwenye baadhi ya majimbo 2005. Hata kama ni kwa kushindwa lakini upinzani uwepo tu.


Hapa umesema kweli. Bora kuwe na upinzani hata wakishindwa ili mradi wame pingwa.
 
Tayari Sita ameandika barua kutangaza kuwa Jimbo liko wazi kwenda kwa Makame. Sasa ni makame kutangaza tarehe ya uchaguzi tu
 
Tayari Sita ameandika barua kutangaza kuwa Jimbo liko wazi kwenda kwa Makame. Sasa ni makame kutangaza tarehe ya uchaguzi tu

Makame atasema hana hela!!! Economy crunch!!!!!!!!!!!!! Si mnawajua SISIEM???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom