Sitta kupewa uwaziri ili amalizwe

Somoche

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
6,105
6,917
Wakuu niliwambieni hapa week iliyopita kwamba SITTA HATAPITISHWA NA CC YA CCM. hizo habari sikutabiri zilikua za kweli mana ni kutoka kwa mkuu mmoja wa ndani ya chama chao.

Leo tena nimepata habari nyingine kwamba atapewa u waziri halafu hoja itatolewa bungeni kwamba ajiuzulu mana amekosea atatimliwa na mkwere!

LENGO: Ni Mkwere kujipendekeza kwa wakubwa wake wa kazi (Rostam na Lowassa) ili awaachie nchi mwaka 2015, na waridhike kwa dhati kabisa kwamba sasa Sitta hawezi kufurukuta tena na kisiasa ameisha.
 
Wakuu niliwambieni hapa week iliyopita kwamba SITTA HATAPITISHWA NA CC YA CCM. hizo habari sikutabiri zilikua za kweli mana ni kutoka kwa mkuu mmoja wa ndani ya chama chao.

Leo tena nimepata habari nyingine kwamba atapewa u waziri halafu hoja itatolewa bungeni kwamba ajiuzulu mana amekosea atatimliwa na mkwere!

LENGO: Ni Mkwere kujipendekeza kwa wakubwa wake wa kazi (Rostam na Lowassa) ili awaachie nchi mwaka 2015, na waridhike kwa dhati kabisa kwamba sasa Sitta hawezi kufurukuta tena na kisiasa ameisha.
nakukubali mkuu
 
Wakuu niliwambieni hapa week iliyopita kwamba SITTA HATAPITISHWA NA CC YA CCM. hizo habari sikutabiri zilikua za kweli mana ni kutoka kwa mkuu mmoja wa ndani ya chama chao.

Leo tena nimepata habari nyingine kwamba atapewa u waziri halafu hoja itatolewa bungeni kwamba ajiuzulu mana amekosea atatimliwa na mkwere!

LENGO: Ni Mkwere kujipendekeza kwa wakubwa wake wa kazi (Rostam na Lowassa) ili awaachie nchi mwaka 2015, na waridhike kwa dhati kabisa kwamba sasa Sitta hawezi kufurukuta tena na kisiasa ameisha.
May be ngoja tusubiri zaidi prophecy zako
 
Wakuu niliwambieni hapa week iliyopita kwamba SITTA HATAPITISHWA NA CC YA CCM. hizo habari sikutabiri zilikua za kweli mana ni kutoka kwa mkuu mmoja wa ndani ya chama chao.

Leo tena nimepata habari nyingine kwamba atapewa u waziri halafu hoja itatolewa bungeni kwamba ajiuzulu mana amekosea atatimliwa na mkwere!

LENGO: Ni Mkwere kujipendekeza kwa wakubwa wake wa kazi (Rostam na Lowassa) ili awaachie nchi mwaka 2015, na waridhike kwa dhati kabisa kwamba sasa Sitta hawezi kufurukuta tena na kisiasa ameisha.

Kama cc imemtupa chini sita, inamuogopa kitu gani mpaka wampe uwaziri? unasema atapewa uwaziri ili apigwe chini? hata akipewa uwaziri na asipojiuzulu, je atapitishwa na CC hiyo mwaka 2015 kugombea urais?


habari yako inawezekana ni ya kweli ila haijakaa sawa ina maswali mengi sana ya ki-logic ambayo yanaweza kupingana.

kama cc haimuogopo sita, why bother uwaziri, apigwe chini n.k the question is WHY? sita hata asipopewa uawaziri leo who will dare to question?


by they way WHO IS SAMWEL SITA MNAYEMPAMBA PAMBA HUMU, HE is fisadi kama fisadi wengine ndani ya CCM if is clean enough let him aondoke ccm, kwani kuna urafiki gani kati ya nuru na giza??

open your eyes, EL,RA, SITA, JK,.......name it...... are all fisadis.
 
Kama cc imemtupa chini sita, inamuogopa kitu gani mpaka wampe uwaziri? unasema atapewa uwaziri ili apigwe chini? hata akipewa uwaziri na asipojiuzulu, je atapitishwa na CC hiyo mwaka 2015 kugombea urais?


habari yako inawezekana ni ya kweli ila haijakaa sawa ina maswali mengi sana ya ki-logic ambayo yanaweza kupingana.

kama cc haimuogopo sita, why bother uwaziri, apigwe chini n.k the question is WHY? sita hata asipopewa uawaziri leo who will dare to question?


by they way WHO IS SAMWEL SITA MNAYEMPAMBA PAMBA HUMU, HE is fisadi kama fisadi wengine ndani ya CCM if is clean enough let him aondoke ccm, kwani kuna urafiki gani kati ya nuru na giza??

open your eyes, EL,RA, SITA, JK,.......name it...... are all fisadis.

Ni kuhusu kumchafua kupigwa chini ni kitu mbaya ni tofauti na asingekuwa waziri.

Kuhusu usafi wa sita sina uhakika ila ktk siasa si kuhusu usafi au uchafu wa mtu Ni kuhusu kuonekana msafi

au kuonekana Mchafu kwa sasa asilimia kubwa ya wananch wanamwona Sita mtetezi

,msafi (Bila kujali research na uhalisia) so lazima wana mbinu ya kumchafua ili aonekane mchafu

maana sasa hivi kumpiga chini wamemnyima nguvu ila wamemuongezea umaarufu may be maradufu.So wazo la kumpa

uwaziri kisha aonekane kaboronga kwa mpango ambao utakuwa well organised I guess .Unauliza asipojiuzuru si hatari

kwake Rais anampiga chini mstaafisha na anakosa marupurupu
 
Hizi ni porojo tu. Acheni kuandika hisia zenu hapa zisizo na mbele wala nyuma. Sitta ameshatupwa chini tayari na mafisadi wenzie. Sasa mnaendelea kumpamba kwa porojoporojo tu. Kama huna cha kuandika, tafuta kazi nyingine ufanye.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom