Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 60
LEO MZEE SAMWELI SITTA WAZIRI WA AFRICA YA MASHARIKI ALIONGOZA UFUNGAJI WA KAMPENI ZA CCM WILAYA YA ULANGA NA KILOMBERO(IFAKARA)
majira ya asubuhi chadema walionekana wakipita na magari ya matangazo wakitangaza watu wafike kwenye mkutano wao kuanzia saa TISA jioni viwanja vya jongo
mara yakaanzaa matangazo ya ccm kuwa mzee sita atafunga kapeni za ccm viwanja vya Lumemo muda huo huo,,,hapo ndio cdm walipoanza kuhaibika kwa watu kukacha mkutano wao na kwenda kwa mzee sita,mara kidogo gari za chadema zikaanza kupita na kusema kuwa sugu,afande sele na prof J watatumbuiza mkutano wa chadema ili watu waende wengi
DUUU WAKAWA WAMECHOKOZA MOTO NDIPO CCM NAO WAKAANZA KUPITA WAKISEMA MAMA LWAKATARE NA MSANII DAIMOND WATAKUWA MKUTANONI KAMA KAWAIDA KUMSINDIKIZA MZEE SAMWELI SIITA
BAADA YA HAPO WATU WALIHAMA MKUTANO WA CHADEMA NA KURUDISHA KADI ZAO KWA MZEE SIITA WAKISEMA KUWA MANENO YA SITTA YAMEWAPA MATUMAINI NA HALI ILIKUWA HIVI
ANGALIA VIDIO
CCM WANAASILIMIA 78 KUSHINDA ULANGA IFAKARA NA KILOSA
TUONANE KESHO BAADA YA MATOKEO
majira ya asubuhi chadema walionekana wakipita na magari ya matangazo wakitangaza watu wafike kwenye mkutano wao kuanzia saa TISA jioni viwanja vya jongo
mara yakaanzaa matangazo ya ccm kuwa mzee sita atafunga kapeni za ccm viwanja vya Lumemo muda huo huo,,,hapo ndio cdm walipoanza kuhaibika kwa watu kukacha mkutano wao na kwenda kwa mzee sita,mara kidogo gari za chadema zikaanza kupita na kusema kuwa sugu,afande sele na prof J watatumbuiza mkutano wa chadema ili watu waende wengi
DUUU WAKAWA WAMECHOKOZA MOTO NDIPO CCM NAO WAKAANZA KUPITA WAKISEMA MAMA LWAKATARE NA MSANII DAIMOND WATAKUWA MKUTANONI KAMA KAWAIDA KUMSINDIKIZA MZEE SAMWELI SIITA
BAADA YA HAPO WATU WALIHAMA MKUTANO WA CHADEMA NA KURUDISHA KADI ZAO KWA MZEE SIITA WAKISEMA KUWA MANENO YA SITTA YAMEWAPA MATUMAINI NA HALI ILIKUWA HIVI
ANGALIA VIDIO
CCM WANAASILIMIA 78 KUSHINDA ULANGA IFAKARA NA KILOSA
TUONANE KESHO BAADA YA MATOKEO