Sitta bado yumo kwenye kanuni za Bunge!

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,347
6,471
Hivi mafisadi waliliona hili kuwa bado maamuzi ya Sitta pale kanuni zilibaki bubu zitatumiwa na anayemfuatia?

2​
-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Katiba, Kanuni hizi zitatumika kwa
mambo yote yanayohusu utaratibu wa uendeshaji wa Shughuli za
Bunge.
(2) Iwapo jambo au shughuli yoyote haikuwekewa masharti katika
Kanuni hizi, Spika ataamua utaratibu wa kufuata katika jambo au
shughuli hiyo, kwa kuzingatia Katiba, Sheria nyingine za nchi, Kanuni
nyingine zilizopo, maamuzi ya awali ya Maspika wa Bunge pamoja
na mila na desturi za uendeshaji bora wa Shughuli za Bunge na
uamuzi huo utaingizwa katika Kitabu cha Maamuzi ili kuongoza

mwenendo wa baadaye wa uendeshaji wa Shughuli za Bunge.
 
Back
Top Bottom