Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mchungaji, siku mbunge wa CCM akiuliza swali la nyongeza kama hilo itabidi niombe kadi tena.
.............aidha nimewahi kuelezwa kwamba huyu mama anakerwa sana na uchafu/ufisadi unaoendelea na huenda hili ndilo lililomsukuma mh. six kumuonya "asikurupuke" kusimamia masuala nyeti. nadhani mh. six anafahamu fika msimamo wa naibu wake na kwamba asipotumia ubabe naibu wake anaweza ruhusu hayo masuala "nyeti" yakazungumzwa na akirudi atakuta uchafu wote hadharani na akawa ameshindwa kuwalinda wale anaotaka kuwalinda. ni maoni yangu tuu
This is why I stated that there is a need to dissolve the parliament and the cabinet and create a transitional government for 36 months.
Mbunge kauliza, kajibiwa upupu, kakaa kimya badala ya kuuliza swali la nyongeza kama hivi ifuatavyo:
Huku kuogopana ndiko kunafanya ufisadi ushamiri!
Live toka hapa Dodoma . Sitta kwa mara nyingine amezima issue ya kutaka hoja iende Bungeni kwa kusema anashauriana na Serikali na anatatoa majibu baadaye . Hii ni baada ya wapinzani kuanza kuibana serikali na Zitto akiwa anakaribia kusimama kumwaga mambo basi Spika akasema basi inatosha atalisemea baadaye .So sasa ni matangazo maana kesha ua sooo. Hili ndilo Bunge letu la watukufu wetu wale .
Huyu muheshimiwa six, alivyokuwa ustawishaji makao makuu, kweli alikuwa safi huyu? ninapata mashaka naye.
Huyu Mzee ni wa Ovyo sana,na anaongoza kwa usanii.anafanya Bunge kuwa Mali yake utazania alizaliwa kuwa Spika.Kunahaja hata wananchi kupiga kura kumchagua spika.
Hivi kwnaiani tusiwaponde mawe??<sheria za dini zinasemaje??>>
Huyu ndiye mtu wa viwango na kasi ya kupenda safariza nje huku akitembea na ofisi kwenye brief case.Yaani ni upuuzi per ssay na wa kiwango cha juu.
ndio maana hata karamagi alisafiri na mihuri mpaka london kusaini mikataba ya Nuzwagi.Ndio staili ya uongopzi wa awamu ya nne.
Mamvi kama kiongozi wa shughuli za serikali bungeni anshindwa hata kutoia muungozo??Bora na bwana zero sumaye.