Sitta Azima Maswali BUNGENI: Richmond & BoT Zimsubiri Yeye Atoke Marekani!!

Msekwa leo ni Makamu wa CCM alisema wazi kwamba anautaka Uspika ili kuwalea vijana ambao wengi ni wapya Bungeni watu wakampiga chini wakachagua kasi sijui spidi leo anasema kwa kasi yake asipo kuwepo hakuan kujadili hoja nzito za Kitaifa . Je kuna utofauti wa hawa 2 ? Hivi Tanzania na Watanzania ni mali ya CCM ?
 
Hivi mnategemea nini kipya kutoka viongozi wa Chama Cha Majambazi(CCM). Wanajua fika watanzania asilimia kubwa ni waoga, wajinga na wapumbavu. Hawa MAFISADI wanaiendesha nchi na mihimili yake muhimu kama mali zao binafsi bila ya kujali sheria zozote au hata kuheshimu Katiba. This is getting worse. Mimi naona kama hapa Jambo Forums pekee ndio tunapiga makelele huku watanzania kwa mamilioni wako kimya wanaona kila kinachoendelea ni sawa.
 
Huwenda fujo la Tanzania likaanza na KITETO,huwezi kujua maana tayari wanye Inchi wameanza kuchoka.
 
FU***K'M ----- LOOK---

TATIZO HAWA WABUNGE NI WJINGA KABISA HAKUNA WATU KABISA MLE NDANI..ONA HAKUNA HATA MBUNGE ALIEPIGA MAKELELE KUHUSU HUU USEMI HAYO YANAMDHIHIRISHIA SITA KUMBE ANAONGOZA BUNGE LA VICHAA WATUPU...SILAA UKO WAPI WEWE????
F****N---SITTA=NAIBU ASUBIRI ASIKURUPUKE MAPAK ATAKAPORUDI KUJADILI UFISADI

F****k----PM NAOMBA MSAMAHA BALALI AJARUDI ANAUMWA...

==========FU******M)

WEWE MAMA MBONA UNADHALILISHWA HIVYO,,KAMA KULA USHAKULA VYA KUTOSHA NINI UNAKUBALI KUDHALILIKA NA MS&&i KAMA SITA...KAMA NDOA ASHAOA

NYIE CCM::::ACHENI UDHALILISHAJI KIASI HICHO JAMANI HUYU MAMA ANA MUME KAMA SITA KWANINI MUMDHALILISHE HIVYO.....JF HUU UDHALILISHAJI TUSIUACHE KABISA...KAMA ANA UWEZO WA KUONGEA VILLE SI ANGEMUWEKA MKEWE KUWA NAIBU SPIKA MAANA AKIONDOKA SITA MKE ANAONGOZA NYUMBA SASA KAMA NI HIVYO MAMA MAKINDA KABIDHI TU MADARAKA KWA MAMA SITA VINGINEVY UKO HAPO KAMA MKE MWENZA,,,MWENZIIO KASHAKAMATA MADARAKA YA NYUMBA MPAKA AKIRUDI...WEWE JE???USISAHAU KUMSINDIKIZA UWANJA WA NDEGE PIA,,,MUWAACHIE WABUNGE WAJIONGOZE WENYEWE.......
 
*****afadhali Hata Ya "askofu Kakobe"anatuwekea Kanda Na Yeye Awawekee Kanda Wabunge Wamsubiri Arudi*******
""&**big Up Askofu Ubarikiwe Kwa Hili Na Watumishi Wako Kuliko Hawa Punda Walio Bungeni Wakisubiri Kulipwa Per D..m
 
Je hili ni tatizo la 'mfumo dume'?!! Sina uhakika....
Lakini for sure there is one BIG BULLY katika Bunge letu... naye ni Spika Sitta!!


He Should go!!

Mama Makinda, Usikubali mama.... waandishi wa habari na wananchi wote wako nyuma yako. Raise this issue Bungeni! Wabunge wasipokussuport, uzalendo hatuna tena Watanzania.
 
Nimejiuliza mle ndani kuna nini yaani wanashindwa kumhoji mtu mmoja tu Sitta . Akili yangu iko choka mbaya
 
Inaonekana shughuli nyingi za kiofisi katika Bunge naibu huwa hashirikishwi............au hata kama anashirikishwa...basi kuna migongano ya mawazo kwa saana tu.......

.....namfahamu vizuri, Bi Anna Makinda.....wakati fulani nikiwa kijiweni.........aliniambia........ "Mwanaume ukipigwa Ngumi.....usialale chini moja kwa moja...inuka na tafuta mbinu mbadala ili usije ukapigwa Ngumi tena........"

......haya Mama Makinda leo umepigwa NGUMI WEWE (DHARAU)......mimi sina la kukuambia ila wewe uliyejaliwa busara....nasubiri kusikia reaction yako
 
Nimeonelea kutoa dukuduku langu hapa kuhusu huyu spika wa jumba letu.

Kwanza kabisa heshima mbele wakuu.
Ni kanuni zipi alizotumia kusitisha mijadala ya richmond na BOT mpaka atakaporudi kutoka Marekani?

Inaelekea kuna unyeti anaoufahamu kuhusiana na sakata hili ndio maana akampiga stop Naibu spika wake kuendesha mijadala hiyo.

Moja kwa moja huyu nae ni fisadi kwa kutotaka kuyaanika wazi madhambi ya mafisadi wenzie.
Kwa jinsi anavyowaburuza wenye hoja za nguvu Bungeni(wapinzani) ni dhahiri yupo pale kwa maslahi ya chama tawala.
Ni kwa nini yeye kama spika aendeshe majadiliano na serikali kuhusu mambo ambaya yana maslahi ya taifa na zaidi kwa watanzania wote pamoja na wasio wana CCM.?!
Ana ubavu gani kuhoji serikali iliyo madarakani ilihali ndiyo iliyo muweka hapo kwa maslahi ya ubinafsi wa ki CCM?!

Kwa nini spika amkalishe chini mtoa hoja bila kujali kwamba hawatendei haki waliomchagua?!
Ni nani ana mamlaka ya kusitisha utendaji wa spika endapo atathibitka kutomtendea haki mbunge kama ilivyotokea kwa Zitto?

Amekwenda mbali zaidi na kumdhalilisha Naibu wake kutoendesha vikao halali kwa kumchukulia kama mchanga katika utendaji na badala yake yeye ndiye kidume katika hoja zenye maslahi ya kwa taifa.

Hivi akifia huko aendako tutasubiri spika mwingine au mzimu wake uliojaa urichmond na u BOT uje kumaliza mambo kabla ya kumpata spika mwingine wa aina yake.

Wakuu naomba kuwakilisha.
 
nyerere alisema hivi "waliporudi tu kutoka zanzibar mambo yakabadilika basi wenye akili wakajua kuwa hapa azimio la arusha limekufa"Sasa na bunge letu wenyeakili wamesha jua kuwa hatuna wabunge hapa bali ni watu wanaojali maslahi yao binsfsi na familia zao.
Zitto naomba utufahamishe mapokuwa bungeni huwa hakuna ratiba ya vikao kuwa bunge litashughulika na nini ktk vikao vyake,pili kwa nini hampewi hizo ripoti hasa ya richimod ili wabunge waipitie kabla ya kujadiliwa bungeni kama ilivyoelezwa hapo awalikuwa mtaijadili ktk kikao hiki au ndio spika mpaka aamue yeye.
 
kuweza kuelewa kinachoendelea huna budi kuelewa ni nini Sitta anajaribu kufanya.

a. Sitta anaamini kuwa mihimili ya dola (yaani Mahakama, Utendaji, na Bunge) viko sawa hakuna chenye nguvu juu ya kingine.

b. Hadi hivi sasa, vinavyoondekana vyenye nguvu ni Utendaji (Urais) na Mahakama wakati Bunge ni kama chombo cha "ziada".

c. Rais ana Ikulu Dar na ana Ikulu ndogo karibu mikoa mingi tu.

d. Mahakama wanazo nyumba za kufikia Jaji Mkuu sehemu mbalimbali mikoani na hilo liko hata kwa wakuu wa Jeshi na Polisi. Pale Mwanza kuna Officers Mess na chumba cha IGP au Mgeni Rasmi yeyote na panapewa ulinzi 24 hours kama ilivyo kwenye Ikulu ndogo.

e. Bunge halina nyumba za Spika mikoani na hakuna ndege ya Spika n.k

HIvyo utaona kuwa ziara anayokuja nayo Marekani hususan kuhusu kuliboresha Bunge lengo lake ni jinsi gani ataiinua ofisi ya Spika ili ionekane sawa na kulazimisha kujadiliana na Rais kuhusu mambo mbalimbali badala ya sasa ambapo Rais anaweza kuamua nini kifanyike Bungeni.

Hivyo basi, kauli yake kuhusu Richmond na BoT siyo ya bahari mbaya, he is basically asserting his power as the Speaker and flexing his muscles. Hajafanya kwa bahati mbaya, na akitaka kuwaweza ni pale ambapo atakaporudi na kuamua kuwa mambo haya ni mazito na muda hautoshi kwa mjadala kwa hivyo anaamua kwa "busara zake" (sasa hivi busara ziko kisheria na kiutaratibu) hadi mkutano wa Aprili.

Hapo ndipo Watanzani watatambua embe ni tunda, na nyanya ni kiungio!
 
Sawa Mkjj, anaweza akawa anajitutumua na kuonesha ubavu wake kisheria...

Lakini sasa na ile kumwambia msaidizi wake, Mama Makinda asikurupuke ambaye naye yupo pale kisheria, huku nako kumetendeka kisheria au kiubabe... kwa vile yeye ni gangwe wa yote na ya kuwa Mama Makinda hawezi kuyafanya yale awezayo yeye?!!

SteveD.
 
HIvyo utaona kuwa ziara anayokuja nayo Marekani hususan kuhusu kuliboresha Bunge lengo lake ni jinsi gani ataiinua ofisi ya Spika ili ionekane sawa na kulazimisha kujadiliana na Rais kuhusu mambo mbalimbali badala ya sasa ambapo Rais anaweza kuamua nini kifanyike Bungeni.

Hivyo basi, kauli yake kuhusu Richmond na BoT siyo ya bahari mbaya, he is basically asserting his power as the Speaker and flexing his muscles. Hajafanya kwa bahati mbaya, na akitaka kuwaweza ni pale ambapo atakaporudi na kuamua kuwa mambo haya ni mazito na muda hautoshi kwa mjadala kwa hivyo anaamua kwa "busara zake" (sasa hivi busara ziko kisheria na kiutaratibu) hadi mkutano wa Aprili.

Hapo ndipo Watanzani watatambua embe ni tunda, na nyanya ni kiungio!

He ought to be careful on his stupid move. Motion to remove him is handled by the clerk without his knowledge, so what if he comes back and some mbunge or the Mtandaoz have agreed to submit pettition that will remove him?

He is such a fool! Gambling National interest on personal power struggle!
 
I've always known and have always said, this Samuel Sitta guy is total rubbish. Huyu ni mmoja kati ya watu wanaolikwamisha sana Taifa letu and it is men like him who should be the first to face the guns when the time comes....https://jamii.app/JFUserGuide%$**# him!
 
Kwa muda mrefu sasa amekuwa akilalamika kuonekana kutokuwa na nguvu na hili suala la Richmond na BoT limempa nafasi ya pekee ya kuonesha kuwa yeye ndiye Spika na Bunge lina nguvu. Hata hivyo bado hajajalibiwa kama alivyojaribiwa Msekwa kwenye sakata la Kashfa ya Sukari.

SteveD, nina uhakika kabisa kuwa kama mama Anna na wabunge wa CCM waligwaya kusema lolote kama wanavyofanya anapozungumza mbunge mwingine wanaelewa kitu kimoja. Spika ana nguvu mno and you do not want to piss him off. Wawaulize wapinzani.
 
Spika ana nguvu mno and you do not want to piss him off. Wawaulize wapinzani.

He appears to have powers but technically and constitutionally he is useless. That is why they stripped the succession title from the Speaker and gave it to Prime Minister. Even though he is chosen by fellow MP, but somehow Katiba states he is answerable to Rais and pretty much Rais can dictate what he wants to him.

He might have forgoten what happened to him in February of 2006 when he tried kutunisha misuli. Lets hope that these two cases BOT and Richmond give him a room to flex a muscle and bargain his powers.

Hata hivyo, this does not justify his bullyiness and treat Bunge like his wallet!
 
Sitta amkataza Makinda kujadili BoT, Richmond


Mapema asubuhi Waziri Mkuu, Edward Lowassa aliwaomba radhi wabunge kwa kushindwa kutoa nyaraka muhimu kwa wabunge, ikiwemo ripoti za Richmond na ya EPA ili waweze kuzipitia kabla ya kujadiliwa kwa maelezo kwa hali hiyo ilisababishwa na sakata la BoT linaloendelea.

Waziri Mkuu alikuwa akitoa ufafanuzi baada ya kiongozi wa Upinzani Bungeni, Hamadi Rashidi kuomba muongozo wa Spika kutaka Wabunge wawe wanapatiwa nyaraka muhimu na kuzisoma kabla ya kuingia bungeni.

Akitoa ufafanuzi juu ya sula hilo Waziri Mkuu alisema kuwa kwa muda mrefu Gavana Mkuu wa BoT, alikuwa mgonjwa na kwamba kutokana na sakata linaloendelea katika benki hiyo mambo hayajakaa vizuri,alisema Waziri Mkuu

This is why I stated that there is a need to dissolve the parliament and the cabinet and create a transitional government for 36 months.

Mbunge kauliza, kajibiwa upupu, kakaa kimya badala ya kuuliza swali la nyongeza kama hivi ifuatavyo:
"Mheshimiwa Waziri Mkuu, suala la BOT lilishafanyiwa uchunguzi wa awali na Deloitte Touch, akaja CAG na mwishowe wakapewa E&Y kuchunguza. E&Y walifanya uchunguzi huku Gavana Ballali akiwa hayupo nchini na matokeo ya uchunguzi wao umefikia hatua ya Rais kumuengua Ballali kutoka kuwa Gavana baada ya kupata ripoti hii. Mheshimiwa Waziri Mkuu, mimi sioni tena sababu ya kuendelea kwa Serikali kuu kuchelewesha kuwasilisha ripoti hii Bungeni na sababu ulizotoa hapa za ugonjwa ni irrelevant. Kama Rais alisharidhia na kuagiza Mwanasheria Mkuu, Mkuu wa Polisi na TAKUKURU walifanyie uchunguzi wa jinai, ni vipi utuambie kuwa kwa kuwa Ballali ni mgonjwa hivyo suala hili lina utata? Je tutaamini vipi kuwa Serikali iko makini kama yakataa ama yachelewesha kuwasilishwa kwa ripoti hii Bungeni? Je wananchi watueleweje Mheshimiwa Lowassa?"

Huku kuogopana ndiko kunafanya ufisadi ushamiri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom