Sitta awashukia maadui wake: Amwita mmoja "Mhalifu sugu"!

Kitila kwanini unafikiri kiasi cha dola 7000 ni kingi sana?

Hiki ni kiasi kikubwa kwa standard yeyote utakayofikiria, iwe ni huko uliko, ulaya, na tena kwa sisi wabongo ni kingi kuliko kwa kiwango cha kutokusemeka.

Leo niliamua kufanya anecdote research kidogo, nimeongea na land valuer mmoja. Anasema kwa Dar es Salaam ni sehemu chache sana zenye nyumba ambazo kodi ya pango inavuka $3,500. Hata hivyo anasema ni jambo la kawaida sana kwa watu wanaolipiwa kodi ya pango na walipa kodi maskini wa Tanzania ku-inflate rent. It's an anecdote evidence, but provides some useful clues worth further investigation.
 
Hiki ni kiasi kikubwa kwa standard yeyote utakayofikiria, iwe ni huko uliko, ulaya, na tena kwa sisi wabongo ni kingi kuliko kwa kiwango cha kutokusemeka.

Leo niliamua kufanya anecdote research kidogo, nimeongea na land valuer mmoja. Anasema kwa Dar es Salaam ni sehemu chache sana zenye nyumba ambazo kodi ya pango inavuka $3,500. Hata hivyo anasema ni jambo la kawaida sana kwa watu wanaolipiwa kodi ya pango na walipa kodi maskini wa Tanzania ku-inflate rent. It's an anecdote evidence, but provides some useful clues worth further investigation.

Kiasi gani kinapotea kwa corruption katika Tanzania kila mwaka?
 
Kiasi gani kinapotea kwa corruption katika Tanzania kila mwaka?

Whatever the amount swindled by other similar swindlers in different circumstances, it does not justify this extravagant expenditure of poor tax payers' money by the man entrusted to protect their interest, the speaker. He represents all that is bad about a trusted leader; he's very close to a traitor!
 
Whatever the amount swindled by other similar swindlers in different circumstances, it does not justify this extravagant expenditure of poor tax payers' money by the man entrusted to protect their interest, the speaker. He represents all that is bad about a trusted leader; he's very close to a traitor!
He is one already!! Ufisadi wake ni tofauti, but at the end of day ni fisadi tu.
 
Mimi alinishangaza sana alipojibu tuhuma zake kwa kusema "nendeni basi mkashitaki kwa rais." Is this guy for real ?
 
Whatever the amount swindled by other similar swindlers in different circumstances, it does not justify this extravagant expenditure of poor tax payers' money by the man entrusted to protect their interest, the speaker. He represents all that is bad about a trusted leader; he's very close to a traitor!

It is not about justifying swindling; it is about our capability to be able to pay our public servants handsomely. If for example we can pay a teacher 5000 a month as starting salary should we do that?

If for example we able to pay our police officers a starting salary of 6000 dollars a month shouldn't we pay that?

Do you really think we can afford to pay a physician a starting salary of 7000 dollars a month if we wanted to?
So far we are paying some top leaders very good indeed; we do that not because we are poor but because we can afford. If we were "that" poor tusingeweza kuwalipa hawa kiasi hiki!

And it matters to understand how much we are losing through corruption, bad mining contracts, misappropriations of funds etc.. kwa sababu kwa kadiri ya kwamba tunakubali hayo kama reality hatuoni ni jinsi gani tunaweza kuwalipa watumishi wetu vizuri, kutoa huduma vizuri n.k.

Hapa imesemwa jinsi Tanesco ilivyotumia mamilioni ya shilingi kukarabati nyumba 17 wakati kiasi hicho kingetumika kujenga nyumba nyingine mpya 20; kuna hasira mahali?

Nikuulize swali:

Kama tuna wakufunzi wapatao 2000 kwenye Chuo Kikuu kimoja na tukawalipa flat rate ya dola 6000 kwa mwezi, tukiwa na shilingi bilioni 200 tunaweza kuwalipa kwa muda gani kiasi hicho?

Rais Kikwete alitangaza kwa furaha kuwa asilimia 30 ya bajeti inaishia mikononi mwa wajanja kuna hasira mahali?

Ripoti ya Mkaguzi Mkuu inaonesha jinsi gani fedha zinatumika vibaya na kutoweka hata isieleweke kuna hasira mahali?

Aren't we still functioning?

Don't you think probably our so called "poverty" is a pure fabrication of mafisadi to keep us relying on their good intentions? Could it be that poverty in Tanzania is purely a creation of corrupt public officials?
 
Wabunge wa CCM wakitaka kumchunguza na kumuondoa Spika wanaweza. Kwanini hawafanyi hivyo kama kuna ushahidi mkubwa wa ufisadi wa spika? Ufisadi ambao tunaambiwa ni mkubwa kuliko wa Richmond?

Mwanakijiji are you serious - eti wabunge wa CCM wamwajibishe Spika wa CCM jamani mbona tunadanganyana hapa. Wangekuwa na ubavu huo UFISADI tungekuwa tumeupa mgongo, ingekuwa bye bye kwa wala rushwa na taifa lingeweza kupiga hatua kubwa ya maendeleo. Kuna ushahidi wa kuzidi KAGODA kuchota Benki Kuu ?

Shuhudia walivyoichachafya serikali wakijua fika kuwa kikao cha bunge karibu kinafikia tamati. Kwa nini hawakuchachamaa toka mwanzo na kugomea kupitishwa kwa bajeti ya serikali - Mwanakijiji, ni usanii mtupu na wabunge wa CCM ni part and parcel ya uovu ndani ya jamii. Kwanza wengi wao wameingia bungeni kifisadi.

Hebu fikiria kwa mfano kama Spika angetoka Chadema, je bungeni pangetosha ? Akina Kilango, Mpendazoe, Shibuda n.k. si wangefoka mpaka mapovu yawatoke na kuhakikisha anavuliwa Uspika. Ni usanii na maadam kuna wananchi wanaoufurahia na wako tayari kulipa kuingia kushuhudia maigizo yao, watapeta tu.

Wao bila aibu wanaweza kukaa kwenye vikao pamoja na mafisadi halafu wakatoka humo na kudai hawana ubia na mafisadi. Wanaweza wakaisulubu serikali asubuhi lakini jioni bila aibu wakatoa pongezi kem kem kwa kiongozi huyo huyo wa serikali hiyo hiyo. Hao ndio wabunge wa CCM wanaoitwa wapiganaji dhidi ya ufisadi.
Hakika yasikitisha !
 
I think literacy is the solution … People should be aware of their basic rights and duties.

More literate a state, lesser are the chances of corruption.
 
Mwanakijiji are you serious - eti wabunge wa CCM wamwajibishe Spika wa CCM jamani mbona tunadanganyana hapa. Wangekuwa na ubavu huo UFISADI tungekuwa tumeupa mgongo, ingekuwa bye bye kwa wala rushwa na taifa lingeweza kupiga hatua kubwa ya maendeleo. Kuna ushahidi wa kuzidi KAGODA kuchota Benki Kuu ?

Shuhudia walivyoichachafya serikali wakijua fika kuwa kikao cha bunge karibu kinafikia tamati. Kwa nini hawakuchachamaa toka mwanzo na kugomea kupitishwa kwa bajeti ya serikali - Mwanakijiji, ni usanii mtupu na wabunge wa CCM ni part and parcel ya uovu ndani ya jamii. Kwanza wengi wao wameingia bungeni kifisadi.

Hebu fikiria kwa mfano kama Spika angetoka Chadema, je bungeni pangetosha ? Akina Kilango, Mpendazoe, Shibuda n.k. si wangefoka mpaka mapovu yawatoke na kuhakikisha anavuliwa Uspika. Ni usanii na maadam kuna wananchi wanaoufurahia na wako tayari kulipa kuingia kushuhudia maigizo yao, watapeta tu.

Wao bila aibu wanaweza kukaa kwenye vikao pamoja na mafisadi halafu wakatoka humo na kudai hawana ubia na mafisadi. Wanaweza wakaisulubu serikali asubuhi lakini jioni bila aibu wakatoa pongezi kem kem kwa kiongozi huyo huyo wa serikali. Hao ndio wabunge wa CCM wanaoitwa wapiganaji dhidi ya ufisadi.
Hakika yasikitisha !

He he heee! Someni signature yangu hapo chini.
 
Tatizo si wananchi, tatizo ni Katiba ambayo haitoi nafasi ya kuwa na tume huru ya uchaguzi, wabunge wa CCM na CCM kwa ujumla hawachaguliwi na wananchi bali wanatangazwa na tume ya uchaguzi kuwa ni washindi regardless matokeo halisi ya kura.
the problem we do have a seroius president, what do you expect from his subornates. dawa 2010 nikufanya madaliko tumpe magufuli urais nchi itaenda mbele.. au wanaJF mtampa nani kura zenu..
 
Nashauri hii iunganishwe na ile ya mwanzo na iitwe SPIKA SITTA NA TUHUMA ZA UFISADI DHIDI YAKE.......
 
Wakuu,
Lakini pamoja na lawama zote hizi tujiulize kwanza kitu kimoja..
Ukiangalia matumizi yote ya Spika ni matumizi ambayo yamepangiwa na kupitishwa na serikali kutumika hivyo sii yeye. meaning hata kama angekuwa mtu mwingine yeyote (Spika) bado gharama kama hizi zingekuwepo..

Binafsi nadhani Fisadi ni yule mwenye kuruhusu uporaji na matumizi kama haya kwani Sitta akiambiwa hatuwezi kutumia gharama hizo ni kinyume cha bajeti ya Bunge, atafanya nini?..
Wakuu zangu, hata mimi kama serikali inaweza kunilipia jumba la dollar 7,000 kwa mwaka sidhani kama nitasema hizo nyingi sana iwapo bajeti imenikatia kifungu cha malipo ya nyumba ya kupanga pengine dollar 10,000 kwa mwezi...
Mzizi wa uzembe huu unaanzia kupitishwa kwa matumizi haya bungeni. Nina hakika hata hilo gari lake jipya analotaka linunuliwe tayari fungu lkake limekwisha wekwa na pengine sheria inamruhusu kununua gari jingine baada ya miaka mitatu..
Nimejaribu sana kusoma hoja nyingi humu zinazohusiana na Sitta ktk Ufisadi, nashindwa kuelewa Ufisadi wake uko wapi ikiwa fedha hizi zinatumika kihalali na inaeleweka wazi kwa viongozi wote.
 
Mkuu Mkandara heshima mbele.

Mimi ninakuelewa sana unayosema lakini kwa wakati huu ni muhimu kwamba hoja ya kutaka mabadiliko katika mfumo wa siasa Tanzania hasa pale bungeni inazingatiwa.

Watu wengi tu kwa sasa imefikia wakati wa kusema hayo ni basi kuona kwamba bungeni ni mahala pa kutumbulia pesa za wananchi ambazo kwa matarajio yake yalikua ni kuona pesa hizo zinaendeleza taifa letu.

Ni kwa njia hii tu tutapenda kuwepo "reforms" zinazotakiwa ambazo pamoja na mengine ni kusimamisha heshima ya bunge.

Kwa kuanzia tungependa kuona mchanganuo wa matumizi yoote ya wabunge wanapokuwa bungeni au majimboni mwao.
 
Richard,
Mkuu nakuelewa sana na ndio maana mimi leo hii ni Conservative.. naamini kabisa matumizi makubwa ya serikali ni kilema cha maendeleo ya nchi..Tazama nchi zote maskini utakuta gharama kubwa za matumizi yake ni kwa wizara na viongozi wake ambao hawazalishi kitu zaidi ya siasa na kutugawanyisha..Ninaamini zaidi serikali ndogo yenye matumizi madogo na kuwawezesha wananchi hasa wazawa kufikie uwezo wa kujitegemea wao badala ya kuitegemea serikali. Kinachofanyika sasa hivi ni matumaini ya Kijamaa na kwamba serikali itaweza kuendesha njia kuu za uchumi..Na ndipo viongozi hawa wote na bunge wanapotufunga magoli..
 
- Spika angeacha vilio vya maadui maana muosha huoshwa akumbuke jinsi alivyowachafua kina Salim wakati wa kampnei za urais akitumia kile kigazeti cha Tazama, wenziwe hawakupiga kelele sasa yeye analilia nini hasa?

- Anaposhutumiwa asimame na kujibu shutuma kama zilivyo that is politics, sio kuwatumia wafanyakazi wa ofisi yake that is low, asimame ajibu kwamba anaishije kwenye nyumba ya kulipiwa hela za kodi za walalahoi yaani dola $ 8,000 kwa mwezi, yeye aliwachafua kina Salim kwa maneno ya uongo, sasa haya yake ni ya kweli ajibu mwenyewe!

- Aeleze ukweli kwamba hawa mafisadi originally walikuwa marafiki zake na ameshirkiana nao kupata uongozi, sasa aseme wazi kama ameamua kuachana nao na kusimama na wananchi na aeleze hatua alizochukua tena kwa facts, huwezi kukaa kwenye nyumba ya Dola $ 8000 kwa mwezi ukasema unapigania wananchi, unless ni wananchi wa Quatar au Dubai lakini sio masikini kama sisi wabongo.

- Tunampima kiongozi kwa mazuri na mabaya yake, mabaya yake Sitta tunayajua tayari sasa asimame na kutuambia mazuri yake ambayo kila siku tunaambiwa na baadhi ya viongozi wetu, lakini kwa maneno ya juu juu tu bila facts, kwa wale mnaojua mazuri yake wekeni facts hapa tuone kama mzani unaweza kuwa-balance.

Spika muosha huoshwa, sasa usilie maadui simamia record yako tuione, otherwise huenda adui yako ni wewe mwenyewe! Wananchi wamechoshwa na maneno mengi ya usanii usaniii!

Kama hamuwezi siasa achieni wanaoweza wako wengi sana Tanzania.

Respect.

Field Marshall Es!
 
Field Marshall Es,
Mkuu wangu ajibu kitu gani ikiwa bajeti ya bunge imepitisha matumizi hayo kwa malipo ya nyumba alipangishiwa!. Hakupanga yeye ila sisi wananchi ndio trulompangishia, tunatakiwa kujiuliza sisi wenyewe..
Tumekubali vipi kumpangishia nyumba ya thamani hiyo..
Hata mimi mkuu wangu nikija Bongo ukinambia kuishi suite ya pale Kempiski hadi niondoke nitashukuru sana.. maswala ya chakula na watoto wako utajiju.. offer umeitoa wewe, ndicho alichofanya Sitta. Sisi ndio tumempangishia yeye nyumba ile, kwani tukisema aondoke hatutalipa atafanya nini?..
 
- Spika angeacha vilio vya maadui maana muosha huoshwa akumbuke jinsi alivyowachafua kina Salim wakati wa kampnei za urais akitumia kile kigazeti cha Tazama, wenziwe hawakupiga kelele sasa yeye analilia nini hasa?

- Anaposhutumiwa asimame na kujibu shutuma kama zilivyo that is politics, sio kuwatumia wafanyakazi wa ofisi yake that is low, asimame ajibu kwamba anaishije kwenye nyumba ya kulipiwa hela za kodi za walalahoi yaani dola $ 8,000 kwa mwezi, yeye aliwachafua kina Salim kwa maneno ya uongo, sasa haya yake ni ya kweli ajibu mwenyewe!

- Aeleze ukweli kwamba hawa mafisadi originally walikuwa marafiki zake na ameshirkiana nao kupata uongozi, sasa aseme wazi kama ameamua kuachana nao na kusimama na wananchi na aeleze hatua alizochukua tena kwa facts, huwezi kukaa kwenye nyumba ya Dola $ 8000 kwa mwezi ukasema unapigania wananchi, unless ni wananchi wa Quatar au Dubai lakini sio masikini kama sisi wabongo.

- Tunampima kiongozi kwa mazuri na mabaya yake, mabaya yake Sitta tunayajua tayari sasa asimame na kutuambia mazuri yake ambayo kila siku tunaambiwa na baadhi ya viongozi wetu, lakini kwa maneno ya juu juu tu bila facts, kwa wale mnaojua mazuri yake wekeni facts hapa tuone kama mzani unaweza kuwa-balance.

Spika muosha huoshwa, sasa usilie maadui simamia record yako tuione, otherwise huenda adui yako ni wewe mwenyewe! Wananchi wamechoshwa na maneno mengi ya usanii usaniii!

Kama hamuwezi siasa achieni wanaoweza wako wengi sana Tanzania.

Respect.

Field Marshall Es!

Haya maneno ni kama umeyachukua kichwani mwangu Mkuu FMES, ahsante sana. Huyu Sitta sasa anakuwa ni msanii wa hali ya juu. Kila anapobanwa ndani ya Bunge na wabunge pamoja na wale wa CCM kuhoji baadhi ya maamuzi yake hukimbilia hili la mafisadi wanatishia uhai wake bila kutoa ushahidi wowote wa kuthibitisha kauli yake. Ni akina nani hao ambao wanatishia maisha yake? Kwanini vyombo vya dola visiwachunguze mafisadi hao na kisha kuwafungulia mashtaka kwa kutaka 'kumuua" spika au utawala wa sheria nchini umeanguka kiasi ambacho hata kuwachunguza na hatimaye kuwafungulia mashtaka mafisadi wanaotaka kuchukua uhai wa Spika inashindikana!?

Anapigia kelele utendaji wake mzuri kama spika toka ateuliwe katika nafasi hiyo baada ya uchaguzi wa 2005 hebu asimame na kuyataja mazuri aliyoyafanya!!! maana Watanzania wengi tunaofuatilia vikao vya Bunge hilo hatuoni mazuri yoyote ndani ya Bunge hili bali ni madudu na usanii mkubwa kuhusiana na maamuzi ya Spika ambayo mara nyingi ni ya kuikingia kifua Serikali inapowekwa kwenye kiti moto au mafisadi mfano wa haya ni pale aliposimamisha mijadala ya vitambulisho, richmond, meremeta n.k. kuendelea. Spika acha usanii kama kazi imekushinda ni bora useme kweli na kujiuzulu badala ya kufanya usanii kila kukicha.
 
Last edited:
- Spika angeacha vilio vya maadui maana muosha huoshwa akumbuke jinsi alivyowachafua kina Salim wakati wa kampnei za urais akitumia kile kigazeti cha Tazama, wenziwe hawakupiga kelele sasa yeye analilia nini hasa?

- Anaposhutumiwa asimame na kujibu shutuma kama zilivyo that is politics, sio kuwatumia wafanyakazi wa ofisi yake that is low, asimame ajibu kwamba anaishije kwenye nyumba ya kulipiwa hela za kodi za walalahoi yaani dola $ 8,000 kwa mwezi, yeye aliwachafua kina Salim kwa maneno ya uongo, sasa haya yake ni ya kweli ajibu mwenyewe!

- Aeleze ukweli kwamba hawa mafisadi originally walikuwa marafiki zake na ameshirkiana nao kupata uongozi, sasa aseme wazi kama ameamua kuachana nao na kusimama na wananchi na aeleze hatua alizochukua tena kwa facts, huwezi kukaa kwenye nyumba ya Dola $ 8000 kwa mwezi ukasema unapigania wananchi, unless ni wananchi wa Quatar au Dubai lakini sio masikini kama sisi wabongo.

- Tunampima kiongozi kwa mazuri na mabaya yake, mabaya yake Sitta tunayajua tayari sasa asimame na kutuambia mazuri yake ambayo kila siku tunaambiwa na baadhi ya viongozi wetu, lakini kwa maneno ya juu juu tu bila facts, kwa wale mnaojua mazuri yake wekeni facts hapa tuone kama mzani unaweza kuwa-balance.

Spika muosha huoshwa, sasa usilie maadui simamia record yako tuione, otherwise huenda adui yako ni wewe mwenyewe! Wananchi wamechoshwa na maneno mengi ya usanii usaniii!

Kama hamuwezi siasa achieni wanaoweza wako wengi sana Tanzania.

Respect.

Field Marshall Es!

mh, nimefuatilia posts zako nyingi na inaelekea unajua mengi kupita unayosema/andika. Share the knowledge mkuu....
 
Back
Top Bottom