Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Hivi wao wafanyakazi wa ofisi ya Bunge wao nao ni wanasiasa?.
Wao hawashiriki kumpigia kura Spika wa Bunge bali ni wabunge kwa niaba ya wananchi ambao ndio wanampigia kura mtu wanaependa awe spika miongoni mwao.
Hii ni ishara ya jeuri ya hao watumishi kwa kuwa wao wanakula na wanashiba kwa hio sidhani kama wana uwezo wa kuwasemea wabunge na wananchi kwamba kazi ya spika Samwel Sitta inawaridhisha.
Nina imani na baadhi ya wabunge ambao wanaombea Samwel Sitta ajiuzuru kiti hicho na kumpisha mtu mwingine wenye nia ya kuwa spika wa bunge.
Samwel Sitta ameshindwa kusimamia heshima ya bunge ambayo ni demokrasia kamili, kwa maana kwamba hoja mbalimbali zenye lengo la kukosoa maovu zinazingatiwa.
Pili Samwel Sitta ameshindwa kusimamia mambo muhimu ambayo yanahusu maslahi ya taifa kama vile usalama wa wabunge wawapo bungeni katika vikao vyao kwa kitendo kilichotokea cha kugundulika kwa unga katika viti vya bunge.
Kwa mtazamo wangu kwa watu kama Samwel Sitta ambae baada ya kumwona katika recent comments zake dhidi ya "various accusations" ninamwona kwamba ni "an obstacle to cleaning up the political system" ambayo mpaka sasa inatushinda tangu enzi hizoo.
Mimi kama raia sina cha kufanya ila ninawaomba wale wabunge woote ambao ni decent katika kufikiri future ya watoto wa taifa la kesho, kuhakikisha kwamba kunakuwa na motion ya kutokuwa na imani na Samwel Sitta na imfanye ajiuzuru na achaguliwe spika mwingine ambae ni "very understanding".
Bunge letu linahitaji mabadiliko na hasa katika wakati huu ambao hata nchi ya Rwanda tu wanakuja juu kwa kasi.
Many out there will not believe we are serious about the changes that are necessary as long as Samwel Sitta is in the chair, and that is the terrible situation we are in.
Wao hawashiriki kumpigia kura Spika wa Bunge bali ni wabunge kwa niaba ya wananchi ambao ndio wanampigia kura mtu wanaependa awe spika miongoni mwao.
Hii ni ishara ya jeuri ya hao watumishi kwa kuwa wao wanakula na wanashiba kwa hio sidhani kama wana uwezo wa kuwasemea wabunge na wananchi kwamba kazi ya spika Samwel Sitta inawaridhisha.
Nina imani na baadhi ya wabunge ambao wanaombea Samwel Sitta ajiuzuru kiti hicho na kumpisha mtu mwingine wenye nia ya kuwa spika wa bunge.
Samwel Sitta ameshindwa kusimamia heshima ya bunge ambayo ni demokrasia kamili, kwa maana kwamba hoja mbalimbali zenye lengo la kukosoa maovu zinazingatiwa.
Pili Samwel Sitta ameshindwa kusimamia mambo muhimu ambayo yanahusu maslahi ya taifa kama vile usalama wa wabunge wawapo bungeni katika vikao vyao kwa kitendo kilichotokea cha kugundulika kwa unga katika viti vya bunge.
Kwa mtazamo wangu kwa watu kama Samwel Sitta ambae baada ya kumwona katika recent comments zake dhidi ya "various accusations" ninamwona kwamba ni "an obstacle to cleaning up the political system" ambayo mpaka sasa inatushinda tangu enzi hizoo.
Mimi kama raia sina cha kufanya ila ninawaomba wale wabunge woote ambao ni decent katika kufikiri future ya watoto wa taifa la kesho, kuhakikisha kwamba kunakuwa na motion ya kutokuwa na imani na Samwel Sitta na imfanye ajiuzuru na achaguliwe spika mwingine ambae ni "very understanding".
Bunge letu linahitaji mabadiliko na hasa katika wakati huu ambao hata nchi ya Rwanda tu wanakuja juu kwa kasi.
Many out there will not believe we are serious about the changes that are necessary as long as Samwel Sitta is in the chair, and that is the terrible situation we are in.
Last edited: