Habari za uhakika kutoka kambi ya Samweli Sitta, zinaonyesha kuwa matumaini ya kuwa rais wa Tanzania 2015 yamefifia kabisa kutokana na sababu zifuatazo:
1/Kambi yake kushindwa vibaya sana ndani ya chaguzi za CCM.
2/Kutokuonekana dalili zozote kwa CCM kuwafukuza Mafisadi ndani ya CCM hususani Lowassa, Chenge nk.
3/Kutokupewa nafasi ya kutaka kugombea urais kupitia upinzania hususani CHADEMA kama atataka kuhama CCM.
1/Kambi yake kushindwa vibaya sana ndani ya chaguzi za CCM.
2/Kutokuonekana dalili zozote kwa CCM kuwafukuza Mafisadi ndani ya CCM hususani Lowassa, Chenge nk.
3/Kutokupewa nafasi ya kutaka kugombea urais kupitia upinzania hususani CHADEMA kama atataka kuhama CCM.