Zuwely salufu
Senior Member
- Oct 7, 2012
- 105
- 20
Nimemsikiliza mh. Sitta na nimemwelewa kile alichokimaanisha, kama kweli tunahitaji katiba mpya tulitazame suala hili la kipengele cha serikali tatu itakuwaje kiitifaki? Kwanini tusiwe na rais mmoja wa muungano then znz na tanganyika ikawa na governers instead of rais?