Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Baada ya masha kumdhalilisha kikwete kuhusu uraia wa bashe, spika sita naye ameongeza zaidi.amedai kuwa dr.slaa ni saizi yake,wawe na mdahalo na wamuache kikwete afanye kampeni tu.
Tunajua kikwete kaogopa mdahalo na slaa.sasa sitta anasema yeye ndiye saizi ya slaa.yarabi toba! Wakimnyima uspika huyu,na kumnyang'hanya kadi, mimi simo,au kama ilivyokuwa kwa bashe wakisema si raia msinifuate
Tunajua kikwete kaogopa mdahalo na slaa.sasa sitta anasema yeye ndiye saizi ya slaa.yarabi toba! Wakimnyima uspika huyu,na kumnyang'hanya kadi, mimi simo,au kama ilivyokuwa kwa bashe wakisema si raia msinifuate