financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,127
- 40,685
Hahaaa, sawa an Entrepreneur, ila Mimi si mtoto ni mbibi wa miaka hiyoo,Eeh si unajua wazee wa Intrapretenyuwaa tena huezi choka mtoto mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa, sawa an Entrepreneur, ila Mimi si mtoto ni mbibi wa miaka hiyoo,Eeh si unajua wazee wa Intrapretenyuwaa tena huezi choka mtoto mzuri
Uzuri mabibi wa Jukwaani wanafahamika, Kasie na mwenzie yule Faiza Foxi! Wengine wote dam changa humu! Btw mie niko na Age sawa na bwana Mengi! Haina madhara hata ukiwa bibiHahaaa, sawa an Entrepreneur, ila Mimi si mtoto ni mbibi wa miaka hiyoo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana hakuna chai kiongozi, tena kuna bus lingine zainab hata halikutembea siku njingi sijui liliamia road IPI. Wakati ule kweli Mungu alikuwa na wanadamu, ingekuwa ndiyo kwa ajali hizi. Watu wengi sana wangekuwa wameshatangulizwaKwahiyo ni kweli hilo bus lilifika Mbeya hii hii yenye milima ya kitonga + kona kona za morogoro SAA 7???, akii nilidhani mleta Uzi anatupa chai. Au ilikua helicopter huwenda mmesahau ,si bus
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za Shabaha na buffalo magari yalikua yanakimbia lakini sio kufika saa nne. Dar exp ilishawahi kufika Moshi saa 5Huyo wa juzi mkuu, mi nilikua nayashuhudia moshi miaka ya 90+ yanafika moshi saa 4 asubuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo ya kutunga,, kama basi la hood ilikuwa inaingia Mbeya saa 9:30 mpaka saa 10:00 litashindwa nn hilo,, na kuna imewahi ingia mbeya saa 7:00 mchana na ilikuwa ni Isuzu,,,story ya uongo hii...! hakuna gari ya kutoka dar 12 asbh ikafika Mbeya 7 mchana..! Hata barabara ingekuwa tambarare ni imenyooka straight na unapita mwenyewe barabarani..!
Hakuna kitu kama hicho
Toka zako banaEnzi hizo mabasi ya dar arusha, shabaha, ngorika, a msae, dar ex na mengineyo moshi mjini yanafika saa 4 asubuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa, umeniweza uko age sawa na Mengi, vipi na madolari jee yapo? Au unaelekeana naye miaka tu joke. Basi na Mimi ni bibi Mwingine sifahamiki tuuUzuri mabibi wa Jukwaani wanafahamika, Kasie na mwenzie yule Faiza Foxi! Wengine wote dam changa humu! Btw mie niko na Age sawa na bwana Mengi! Haina madhara hata ukiwa bibi
Poa poa mkuuutakuwa umeni-qoute vby mkuu,nilikuwa namjibu dingimtoto aliniuliza kama 1995 nilikuwa nimeshazaliwa au lah!
Daah...hilo jina lako limekaa ki muamala muamala, hadi unaogopesha madam hasa kipindi hiki. Itasababisha tuonane wabaya, shauri yakoHahaaa, sawa an Entrepreneur, ila Mimi si mtoto ni mbibi wa miaka hiyoo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa, usijali kuhusu jina mkuu, ni jina tu kama wewe fishers" hapa nimefulia mpk jero naipa heshima naiita mia tano , vp mwenzangu huko? Au nije unikopesheeDaah...hilo jina lako limekaa ki muamala muamala, hadi unaogopesha madam hasa kipindi hiki. Itasababisha tuonane wabaya, shauri yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ally's ilikuwa ni noma aiseeYap, niliwahi kipanda Ally's, ilikuwa December 2010. Tulikuwa na team ya JKT basketball wametoka kuchukua ubingwa wa Tz Mwanza. Toka saa 06:00 asubuhi, saa mbili na dakika kumi usiku watu wanapokelewa kwa na MBrass bend Ubungo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la mawe ni swala mtambuka!Hahaaa, umeniweza uko age sawa na Mengi, vipi na madolari jee yapo? Au unaelekeana naye miaka tu joke. Basi na Mimi ni bibi Mwingine sifahamiki tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo hood uliyopanda ilichelewa maana Hood ilikuwa inaingia saa 3 ama 4Siyo ya kutunga,, kama basi la hood ilikuwa inaingia Mbeya saa 9:30 mpaka saa 10:00 litashindwa nn hilo,, na kuna imewahi ingia mbeya saa 7:00 mchana na ilikuwa ni Isuzu,,,
Mimi nimesafiri na kampuni ya hood kutoka Mbeya hadi Arusha tunatoka saa 11:00 asubuhi tunafika arusha saa 7 mpaka saa 9 usiku,,, lakini Leo hii kutoka Mbeya hadi Arusha ni ni kama masaa 36 wakati zamani ilikuwa masaa 16 mpaka masaa 19..... Njia ya Chalinze
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka ya 90. Sikumbuki vizuri ilikuwa Bus gani kati ya Matema au Safina. Tulitoka Dar saa 12 asubuhi kwa mara ya kwanza naelekea Mbeya.
Tulitoka na hilo Bus tukavuka mataa tukaitafuta kimara mbezi tukakamata barabara sasa ya Mkoani huko mbele.Hapo ndo nilianza kuona milango ya mbinguni ikifunguka na kufunga.
Sikuwahi kuona Dereva anapiga mti/mpini kama yule jamaa.Gari ilikuwa inakimbia sijapata kuona duniani. Abiria tulikuwa tunaogopa hata kukohoa au kupiga chafya kwa wasiwasi kuwa unaweza mtingisha dereva ukasababisha ajali.
Dereva alikuwa anapiga mkono/mpini balaaa njia nzima nikawa nasali nikitubu dhambi zangu zote na kuomba msamaha maana sikuwa na hakika kama tungefika salama. Nilikumbuka mapambio mbalimbali na nyimbo za kuelezea Ukuu wa Mungu.
Yeye dereva alikuwa kimya akihesabu tu gear zake kama vile anasoma Rozari au Tasbihi na wakati mwingine akibadilishana maneno mawili matatu na konda.
Alipiga mpini kiroho mbaya/ile kinyama sana. Saa saba na robo anaanza kupangua gia kaingia town tupo Mbeya.Aisee siwezi sahau safari ile nilikuwa naona mbingu zinafunguka na kufunga. Nawakumbuka ndugu na jamaa zangu huku machozi ya kitoka ila tulifika.
Ghafla tuliona gari ya Polisi imetuunganishia mitaa fulani hivi kumechangamka.Dereva hakusimama akaendelea kupiga mpini mpaka tumefika stand ....
Tulikuja shtuka tumefika stand watu wamejaaa hawaamini.Nadhani jamaa aliweka historia haikuwahi kutokea hapo nyuma. Tumefika stand bus imesimama akazipangua gia mpaka zero akaiacha gari inanguruma yeye kaegamia usukani. Baada ya dakika kadhaa Polisi wakafika. Wakamfuata dereva mbele wakamwambia ashuke wakamtia pingu. Wakaondoka naye.
Nakumbuka mimi nilifika nyumbani kwa wenyeji wangu wanatenga meza wale chakula cha mchana.lile bus ilikuwa lielekee Kyela alienda nalo dereva mwingine yule jamaa walimweka ndani.
Najiuliza yule dereva aliendelea na upigaji ule wa mpini? Na je kwa sasa yupo wapi?