Elections 2010 Sitomtambua Kikwete kuwa ni rais wa nchi yangu

All of you (two) are next to me. I announced this on Monday. For this reason, sitamsikiliza Kikwete iwe live au kupitia katika chombo chochote cha habari mpaka 2015. Si rais wangu. Huu ni msiba kwangu na wachukia ufisadi.
 
Msiba huu sio wako peke yako, msiba huu ni kwa wale wazalendo wa nchi ya TANZANIA na wapenda maendeleo ya nchi yetu. Nawachukia mafisadi hasa wale ambae walioweka malsai yao mbele kuliko Taifa Letu. :A S angry:
 
Mtambue tu maana ni nadra sana uchaguzi wa rais kubatilishwa! Mimi nashauri uanze kupeleka elimu ya uraia vijijini na maeneo ambayo watu bado majuha wa siasa!
 
kikwete ni Rahisi kwa CCM na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzani kwani hana uwezo, sifa
 
I'm put off from tv news, newspapers (except Mwanahalisi and Raia Mwema). Kikwete you have turned down the hope of the nation, you have deteriorated all good things expected in the country. You hate the nation and the people. Great liar, what do you think you are worth the cap?
 
Mtambue, msimtambue, Watanzania walio wengi wanamtambua, ndio maana wakamchagua kwa kura nyingi.
Chaguo lao liheshimiwe!!!
 
Mshikaji acha masihara dola ni dola hata kama ya Uchafu ukitaka subiri ifike 2015 ndo uanze hizi. unakumbuka zanzibar CUF walijifanya hawamtambui karume nini kilitokea !!!!!!!!!!!!!! mwisho waliamua kumtambua tu leo wamesubiri jamaa ameukwaa umakamu wa pili wa rais sijui wa jamuhuri ya muungano au Zanzibar?????????/ Lakini the issue is mashindano ni mashindano aliyefunga goli anachukuwa point 3 awe amefunga kwa kichwa au kwa mkono cha maana goli limeingia.
 
Achane kupost upumbavu na chuki binafsi .eti hamtamtambua kikwete na aliapishwa tayari kama raisi.hv watu wengne wazima au akili zimeruka kdg.Mtake msitake JAKAYA MRISHO KIKWETE ni Rais kwa miaka mingne mi5
 
Achane kupost upumbavu na chuki binafsi .eti hamtamtambua kikwete na aliapishwa tayari kama raisi.hv watu wengne wazima au akili zimeruka kdg.Mtake msitake JAKAYA MRISHO KIKWETE ni Rais kwa miaka mingne mi5

hakuna hata mtu mwenye chuki binafsi na Kikwete, ukweli ni kwamba ameshindwa kuiongoza nchi yetu na sasa anataka kutawala kimabavu. Ushindi wa kimabavu na ujeuri juu, katika serikali yake iliyopita ufisadi ulikithiri mpaka huduma za jamii kudhorota na bei za bidhaa kupanda utafikiri hatuna serikali ya kukalipia hivyo vitu. Hilo ndio tatizo la kuwa na kiongozi fisadi anayeweka maslai yake mbele kuliko nchi. Ukweli unabakia palepale Kikwete ni Fisadi na hatoacha ufisadi wake yeye na wenzake wakina chenge na Lowassa:A S angry:
 
lakini kale kajitu kwa kuiba kura kiboko yani tumepiga kelele mwezi mzima lakini kameiba...........................
lakini ni vema tukatambue tuu ila rais ajaye tutayemweka tumshauri akafunge kakimaliza muda wake au mnaonaje wajumbe?
 
Mshikaji acha masihara dola ni dola hata kama ya Uchafu ukitaka subiri ifike 2015 ndo uanze hizi. unakumbuka zanzibar CUF walijifanya hawamtambui karume nini kilitokea !!!!!!!!!!!!!! mwisho waliamua kumtambua tu leo wamesubiri jamaa ameukwaa umakamu wa pili wa rais sijui wa jamuhuri ya muungano au Zanzibar?????????/ Lakini the issue is mashindano ni mashindano aliyefunga goli anachukuwa point 3 awe amefunga kwa kichwa au kwa mkono cha maana goli limeingia.

mkuu upo bongo au bara la pacific? Mbona ata juzi CuF walitoa tamko kuwa hawatakaa wamtambue karume kama rais mstaafu? Au uangalii vyombo makini vya habari?
 
I'm not proud of having a mediocre like Kikwete to be my president. Dr. Slaa is my president regardless of the election result !!
 
Ukiwa muungwana untakiwa uchangie kuleta mabadiliko. Njia pekee ni kushiriki katika kuleta hayo mabadiliko. Kama Rais aliyeko madarakani humtambui utachangiaje kuleta mabadiliko kwa nchi yako? Michango ya kila mtu ni muhimu katika kuleta maendeleo ya nchi na watu wake. tusifanye siasa kuwa chuki japo kitendo cha Tume ya Uchaguzi kimesababisha kuvurugika kwa hali ya hewa. Ushauri wangu ni kuwa tuendelee kutoa ushauri sahihi kwa Serikali kwa kumkubali Rais aliyeko madarakani kwa kipindi chake wakati tukijizatiti kwa ile Tanzania tunayoitaka. Shime tuungane wote kuavhana na chuki na sasa tuijenge nchi yetu. Tukisusa inaweza ikapelekwa pabaya zaidi na hao mafisadi.
 
Back
Top Bottom