Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kama kuna watu wanaosoma nyakati basi huyu babu alikuwa amejaliwa kimaanayake...
wakati wa kuchagua rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania alipopambanishwa
kikwete,mkapa huyu babu alioengea mengi sana juu ya rais wetu likiwemo tusichague sura
uzuri wa mtu auwezi kumuingiza mtu ikulu..yenye akili chanya ikajua nini cha kufanya kwenye
round inayofwata ndipo mh mkapa akapatikana..ni wengi walisononeka na wachache kukubali hali
halisi na kwa kuwa mkapa alichaguliwa awakuwa na means yoyote......ktk hilo alimshona live
kijana kwamba muda wake aujafika kabisa ni mapema sana kupewa ikulu avumilie miaka ijayo
masikini kama alijua atokuwepo ...nini maaana yake
Najaribu kujiuliza huu upuuzi unaofanywa na rais kikwete just kumbuka ni baada ya miaka kumi akapewa
urais anafanya vituko Je mtu huyu tungempa mapema si angetuvua nguo kabisa.....
Eeee mola mjaza neema ndogo ndogo na kubwa nene na nyembamba fupi na refu twakuomba mjalie mzee wetu huyu huruma zako kipindi tunaelekea kumuadhimisha miaka yake kadhaa kabla baada ya mauti
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani wote tuseme
AMEN
wakati wa kuchagua rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania alipopambanishwa
kikwete,mkapa huyu babu alioengea mengi sana juu ya rais wetu likiwemo tusichague sura
uzuri wa mtu auwezi kumuingiza mtu ikulu..yenye akili chanya ikajua nini cha kufanya kwenye
round inayofwata ndipo mh mkapa akapatikana..ni wengi walisononeka na wachache kukubali hali
halisi na kwa kuwa mkapa alichaguliwa awakuwa na means yoyote......ktk hilo alimshona live
kijana kwamba muda wake aujafika kabisa ni mapema sana kupewa ikulu avumilie miaka ijayo
masikini kama alijua atokuwepo ...nini maaana yake
Najaribu kujiuliza huu upuuzi unaofanywa na rais kikwete just kumbuka ni baada ya miaka kumi akapewa
urais anafanya vituko Je mtu huyu tungempa mapema si angetuvua nguo kabisa.....
Eeee mola mjaza neema ndogo ndogo na kubwa nene na nyembamba fupi na refu twakuomba mjalie mzee wetu huyu huruma zako kipindi tunaelekea kumuadhimisha miaka yake kadhaa kabla baada ya mauti
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani wote tuseme
AMEN