Nilikuwa namwambia lup ....ataelewaThread ipi
Ile ya quotesIpi hiyo
Yeah nimeona...wameniudhi.Wamemeza uzi wangu kwenye uzi mingine huku nilitoa taarifa kabisa
Kumradhi mkuu tulivamia thread yako tukaingiza yetu kidogo.Thread ipi
Mkuu biblia inakataza kusema uongo , kuzini , kutamani n.kNinavyo fahamu mimi; Biblia imekataza kabisa mkristo kuoa mtu asiye kuwa mkristo labda kama abadili dini kwanza awe mkristo ndio aolewe
Sijui kwa nini uwalaumu wazazi wako kiasi hicho wakati ulikuwa UNAENDA KINYUME na Biblia unayo iamini pamoja na kuwa, wazazi wanaweza kuwa na sababu zao za ziada (kama wazazi).
Kumbuka; Wazazi wana nafasi kubwa sana hapa Duniani na kama umeweza kuwasikiliza na kuacha kumuoa huyo bint; nakuomba kama kaka yako uwasamehe!
Yaani ulikuwa umeanza kunoga polepoleYeah nimeona...wameniudhi.
Yaani best wameipoteza kabisa na ile ingine ndio imekuwa activated tena maana imepamba upyaYeah nimeona...wameniudhi.
Nafikili imeshaanza fatilia vizuriKumradhi mkuu tulivamia thread yako tukaingiza yetu kidogo.
Kuna stori nyingine ulisema utatuletea, lini sasa..! ili tukae mkao wa kula.
Huna kosa lolote mkuu, itu wa kukubariki ni Mungu, na tayari umeshabarikiwa......imani yako kwa Mungu wako ndio kinga yako. Kama huna upendo huna Mungu.