Sitokaa niwaamini ccm, hata wasemeje

mo effect

JF-Expert Member
Aug 27, 2014
567
637
Habari wakuu,

Hili chama halitakaa libadilike miaka nenda rudi, hawana uwelewa hata kidogo oyeeeeee....tu ndio imewakaa kichwani, likija hili wanashangilia likirudi hivi wanashangalia.. mfano hai kwenye hili sakata la madini juzi mkuu wao Maguguli akipokea ripoti akasema mikataba yote ya madini ipelekwe bungeni ipitiwe upya hata siku mbili hazijaisha akabadili gia maprofesa kwa maprofesa watakaa wazungumze waelewane...

Sasa hayo maridhiano yatafanyika kivipi..? kama mkataba tu ni ovyo, kampuni halijasajiliwa,

Poor ccm
 
Habari wakuu,

Hili chama halitakaa libadilike miaka nenda rudi, hawana uwelewa hata kidogo oyeeeeee....tu ndio imewakaa kichwani, likija hili wanashangilia likirudi hivi wanashangalia.. mfano hai kwenye hili sakata la madini juzi mkuu wao Maguguli akipokea ripoti akasema mikataba yote ya madini ipelekwe bungeni ipitiwe upya hata siku mbili hazijaisha akabadili gia maprofesa kwa maprofesa watakaa wazungumze waelewane...

Sasa hayo maridhiano yatafanyika kivipi..? kama mkataba tu ni ovyo, kampuni halijasajiliwa,

Poor ccm
Sio CCM tu, hata wewe mwenyewe usijiamini kabisa!...
 
Ccm ni mashetani sasa kama unamwamini shetani try at your own risk
 
Hapa katikati kama kick ilikuwa imepotea. Sasa lazima irejeshwe kwa gharama zozote ikiwemo na hili la mchanga. Hebu fikiri dhahabu pure inaondoka tunahangaika na makanikia!!

Wabunge wamepewa nafasi ya kuweka mambo sawa lakini ukiwa angalia ushabiki unawasumbua kiasi hawajui hata wajibu wao. Ukiwasikiliza uchungu wa ni kwa wale wasiomsifu Maghufuli, kwao huo si uzalendo unaofaa kuvunja utanzania wao huku wakisahau waanzilishi wa malalamiko hayo ni wapinzani.
 
Habari wakuu,

Hili chama halitakaa libadilike miaka nenda rudi, hawana uwelewa hata kidogo oyeeeeee....tu ndio imewakaa kichwani, likija hili wanashangilia likirudi hivi wanashangalia.. mfano hai kwenye hili sakata la madini juzi mkuu wao Maguguli akipokea ripoti akasema mikataba yote ya madini ipelekwe bungeni ipitiwe upya hata siku mbili hazijaisha akabadili gia maprofesa kwa maprofesa watakaa wazungumze waelewane...

Sasa hayo maridhiano yatafanyika kivipi..? kama mkataba tu ni ovyo, kampuni halijasajiliwa,

Poor ccm
Achana na chama chetu fuatilia cha kwako.
 
Back
Top Bottom