tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,405
Habari wana jf
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.
Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.
Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.
Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.
Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.
Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)
Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.
Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.
Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.
Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.
Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.
Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.
Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?
Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.
siku ambayo kamwe Sitoisahau coz sikutegemea km vitu km hivyo vipo...ila yakanikuta na nikaamini watu tunatofautiana.
Ilikuwa ni siku ya jumamosi natoka zangu nyumbani kwenda Posta mida km ya saa nne asubuhi.
Siku hiyo sikuwa na mood za kuendesha gari kwa kuwa sikuwa na mizunguko just to meet someone na kugeuza,nikapanda daladala ya Kivukoni pale kituoni nikachagua siti ya dirishani,kwa kuwa gari ilikua tupu watu walichagua siti za kukaa.
Pembeni yangu akaja kukaa mkaka wa kawaida sana,shati kola imetanuuka,hajipendi...sikumfatilia si abiria tu atashuka kama mimi ntavyoshuka.
Safari ikaanza yule kaka jirani yangu akakutana na rafiki yake wamesoma nae wakawa wanapiga story,kwa jinsi story zilivyokua ni kwamba jiran yangu aliishia tu form six with no direction,I guess na mwenzie ni lawyer au daktari km sijasahau so mambo safi na yuko very mature mpaka kuongea na alivyo smart.
Tukiwa njiani yule daktari/lawyer alipata siti so akaenda kukaa nyuma,HAPO NDO MZIKI ULIPOANZA yule jirani yangu alikua na bahasha ya kubwa ya kakhi.Mimi sikua najua nini kinaendelea as nilikua busy kuangalia nje,kumbe katoa uboo wake ana ufikicha (masturbation)
Akaniuliza aunt saa ngapi?nikamjibu saa fulani sasa wakati na mjibu si nilimgeukia ndo nikakuta kautoa nje kaufunika na bahasha kiasi kwamba mimi nauona wengine pembeni walosimama na walokaa pembeni hawauoni,aaarrrgggh nilitamani kupiga kelele nilishtuka nikahisi naota au.
Kiukweli I felt bad nikamuuliza Mungu ni nn hichi jamani,nilitamani kulia yani nikawaza amenichuliaje mpk aanze kumasterbate mbele yangu.
Halafu alivyogundua nimeuona wala hakushtuka akaendelea uko njee kabisaaa,nikawa sasa naangalia mtu aliyesimama ili nimpishe aje akae niondokane na ujinga ule.
Kucheki watu woote wamekaa..aarrrrrgghh sina la kufanya nna hasira natamani nimtukane kwanini anafanya vile mbele yangu lakini kiukweli mimi si mtu wa kupigizana kelele na watu.
Ikafika maeneo fulani wakapanda abiria,nikanyanyuka haraka na kumpisha mtu akae me nikaendelea kusimama,akauingiza fasta kwa suruali ili anayekaa asimuone ila lazima abiria walinotice kitu kwann huyu dada asimame huenda kaudhiwa.
Ila kiukweli niliumia saaanaaa siku ile..kwanini.?? Kama ni mavazi sikuvaa vibaya,me napenda nikipanda daladala nivae suruali ila nikiwa na gari yangu najiachia nitakavyo,siku yangu ilikua ya mawazo kila nikigeuka inakuja picha la uboo mweusi hatariiii.
Kiukweli haukunivutia,niliona km ni mzimu wa shetani huo wa kudisplaiwa mmhhh.I was seriously affected psychological that day nikawaza hivi ningekua kwa gari yangu yangenikuta haya.?
Hivi kumbe dunia ndo imeharibika hivi,it was a year back.