Nikizaa na mke wangu ukaleta pua yako kuwa mtoto ni wako ukitegemea ntamfukuza au kukuachia mtoto unajidanganya, mtoto sikupi na mke akileta ujinga namtimua,
Yaani mimba nitunze mimi mtoto uje uchukue wewe?
Aibu ilioje kwa mama mtu mzima kuongea upuuzi kama huu? Misemo ya kijinga ya kuhalalisha ubambikiaji wa watoto. Shame!Fumba macho sindano iingie mwanangu.
Kitanda hakizai haramu.
But the few are biological fathers inclusive me."Most of us are social fathers".. alisikika mzee mmoja toka jalalani..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Hiyo avatar ni wewe?Siku huyo mwanamke atakapo kubadilikia atakapo sema anatala watoto wake..uje utuambie...
Sidhani kama una nguvu za kiume, ukweli unao mwenyewe. Wewe ni dhaifu si rijali.Mtoto akishabeba jina langu mfano'
Jina la kwanza: Matokeo kuchekupa
Jina la pili: Jabali la Karne.
Nalea, we baba na mama yake mtajua wenyewe namna gani mtamueleza mtoto awaelewe huku mm nakula porpocorn nikiwatazama kama sijui vile.
Umemaliza? Tuma na salamuAibu ilioje kwa mama mtu mzima kuongea upuuzi kama huu? Misemo ya kijinga ya kuhalalisha ubambikiaji wa watoto. Shame!
Ingekuwa Hivyo Ndiyo Mleta Mada Aache UjanjaujanjaNachangia beleshi kwenye ujenzi wa sanamu yako.
Natuma kwa watu wanne, wote wapo Mwanza. Wanajijua!Umemaliza ? Tuma na salamu
Wewe lazima tu ni hanithi! Huna nguvu za kiume na huwezi kuzalisha. Tuache marijali tuwazalishie wake zenu.Wewe ni Mpumbavu.
Ujanja ujanja upi tena!!Ingekuwa Hivyo Ndiyo Mleta Mada Aache Ujanjaujanja
Njoo wewe na mke wako niwazalishe,ili kuprove hilo.🖕🖕Wewe lazima tu ni hanithi! Huna nguvu za kiume na huwezi kuzalisha. Tuache marijali tuwazalishie wake zenu.
Aaah wapi! Nimesoma comment yako nikajua tu una matatizo. Sitanii namaanisha. Sio kawaida kwa rijali kusema ulichosema. Kama una watoto leo ukirudi fanya mpango wa DNANjoo wewe na mke wako niwazalishe,ili kuprove hilo.
Hapa mkuu ni ya mfanya vichekesho USAHiyo avatar ni wewe?
Hata wewe na umri wako ukikubali kubeba jina langu nakulea tu, hakuna haja ya kuona wivu uanze kuongea mambo usiyoyajua sijui urijali sijui dhaifu🤣.Sidhani kama una nguvu za kiume, ukweli unao mwenyewe. Wewe ni dhaifu si rijali.
Hahahah daaaah! Jamaa ujue nacheka coz nyie ndio mnachochea watu kuchepuka yaaniHata wewe na umri wako ukikubali kubeba jina langu nakulea tu, hakuna haja ya kuona wivu uanze kuongea mambo usiyoyajua sijui urijali sijui dhaifu.
Au kama una mke amekushinda ww leta na watoto tu tubadili majina. Na urithi nawapa.