mr arsenal
Member
- May 21, 2012
- 35
- 6
haya yanayotokea leo hii zanzibar ni matokeo ya sitofahamu iliyokuwepo muda mrefu kuhusu huu muungano alafu leo ambapo tunapata hiyo fursa ya kutaka kujua eti wanatuambia hatutakiwi kuujadili muungano its none sense jamani.