sitofahamu huwa ina mwisho siku zote

mr arsenal

Member
May 21, 2012
35
6
haya yanayotokea leo hii zanzibar ni matokeo ya sitofahamu iliyokuwepo muda mrefu kuhusu huu muungano alafu leo ambapo tunapata hiyo fursa ya kutaka kujua eti wanatuambia hatutakiwi kuujadili muungano its none sense jamani.
 
Wanasita kutoa fursa wananchi watoe maoni kuhusu mustakabali wa muungano utafikiri wameshajua outcome
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom