Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Wakati huo huo upande wa pili wanamchukua Lowassa tenaKwa kuwa ndio ule weledi wa kitanzania unaokumbatiwa na wanakijani ataweza kupewa nafasi hiyo kwa hisani ya dola na vyombo saidizi kama kawaida yao mambo ya kawa bamubamu/ msuano.