Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Kwa miaka mingi nimejihusisha na siasa za TANZANIA nawala sijaona mafanikio yoyote Wala mabadiliko yoyote zaidi ni mauaji ya Kina Hamza na mengine mengi. Nimegundua Wanasiasa wa Tanzania wengi Ni mabogazi wako kimaslahi zaidi. DJ. DON NALIMISON nimeamua kukaa Kando Maisha yangu yote, sitajiunga CCM au CHADEMA au Chama chochote nawala sitaanzisha Chama chochote na sitathubutu kushiriki mjadala wowote wa Siasa za TANZANIA. Mimi sio Mtumishi wa Serikali ya bwege. Nawasalimu kwa Link hii yenye ujumbe wa kisiasa.