Naandika maoni yangu ama mada yangu huhusu mtu aliyeitwa majina mengi sana ili kimuharibia sifa zake kielimu na ki social. Kinachonishangaza ni kuwa RC Makonda huziba masikio na kukifanya kile anachoona ni haki.
Siandiki mada hii kwa kujipendekeza, maana kazi yangu inanitosha.
Utabiri wangu ni kuwa sitashangaa sana ikiwa huyu RC wa Dar siku moja atapewa uwaziri kamili ama waziri asiye na wizara maalumu hasa kutokana na utendaji wake kikazi. Hivyo kuingilia kila wizara na kurekebisha mambo.
Maana ukweli ni kuwa RC Makonda ni mchapa kazi na ana maono! Sisemi kuwa makonda ni mtu mkamilifu sana, bali kama binadamu ana mapungifu yake na ameteleza mara nyingi na kujirekebisha.
Uzuri wake ni mwepesi sana /kufanya kitu tunachokiita damage control/kurekebisha uharibifu. Na katika mtazamo wangu ni mwepesi sana kushuka na ku pacify mahasidi wake.Katika hilo ninampongeza sana.
Mengi yalisemwa kuhusu elimu yake nk. Matope mengi na takataka nyingi alitupiwa lakini ningeomba tujifunze toka kwa jirani zetu wa Kenya.
Rais Kenyatta hivi karibuni wakati akibuni baraza lake la mawaziri, aliwaacha wakenya wengi vinywa wazi baada ya kumteua mtu mmoja kuwa waziri wa vijana na michezo ambaye hata hakua amemaliza shule ya msingi.
Sina maana kuwa watu wasisome. Maana elimu ni ufunguo wa maisha.
Kilichomvutia Rais Kenyatta ni CV yake ya utendaji na si masomo na elimu yake. Ukweli jamaa huyu hakuwa amemaliza elimu ya msingi ambayo kwao ni darasa la nane/saba hapa kwetu.
Wazazi wake hawakuweza kumsomesha ila IQ yake ilikuwa juu sana.Kila jukumu katika chama chake cha upinzani alikuwa na ushawishi mkubwa sana.
Kenyatta alipoona hayo akaona huyu mtu ni ni asset.Akamteua awe waziri.
Watu walipiga kelele sana hata wabunge wa chama chake. Hata hivyo Rais alikuwa ameamua bila kujali kiwango cha elimu yake.
Mtu huyo akiwa mbele ya panel ya kumhoji aliweza kujibu kila swali kwa ufasaha mkubwa kwa mshangao wa wana kamati.
Hatimaye wakamwidhinisha kama waziri wa vijana na michezo.Tunavyosikia ameanza magaeuzi makubwa sana kwa mshangao wa kila mtu.
Hii ikiwa ni tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa na PhD. Ambaye aliiangusha sana wizara hiyo na kumfanya rais huyo kumwachisha uwaziri.
Na wote wakasema huyu mtu ana akili nyingi sana. Wakampitisha.Kwa hivyo sitashangaa kumwona RC Makonda akipanda kutokana na utendajji wake mzuri.
Maana he has the potential to deliver!
Siandiki mada hii kwa kujipendekeza, maana kazi yangu inanitosha.
Utabiri wangu ni kuwa sitashangaa sana ikiwa huyu RC wa Dar siku moja atapewa uwaziri kamili ama waziri asiye na wizara maalumu hasa kutokana na utendaji wake kikazi. Hivyo kuingilia kila wizara na kurekebisha mambo.
Maana ukweli ni kuwa RC Makonda ni mchapa kazi na ana maono! Sisemi kuwa makonda ni mtu mkamilifu sana, bali kama binadamu ana mapungifu yake na ameteleza mara nyingi na kujirekebisha.
Uzuri wake ni mwepesi sana /kufanya kitu tunachokiita damage control/kurekebisha uharibifu. Na katika mtazamo wangu ni mwepesi sana kushuka na ku pacify mahasidi wake.Katika hilo ninampongeza sana.
Mengi yalisemwa kuhusu elimu yake nk. Matope mengi na takataka nyingi alitupiwa lakini ningeomba tujifunze toka kwa jirani zetu wa Kenya.
Rais Kenyatta hivi karibuni wakati akibuni baraza lake la mawaziri, aliwaacha wakenya wengi vinywa wazi baada ya kumteua mtu mmoja kuwa waziri wa vijana na michezo ambaye hata hakua amemaliza shule ya msingi.
Sina maana kuwa watu wasisome. Maana elimu ni ufunguo wa maisha.
Kilichomvutia Rais Kenyatta ni CV yake ya utendaji na si masomo na elimu yake. Ukweli jamaa huyu hakuwa amemaliza elimu ya msingi ambayo kwao ni darasa la nane/saba hapa kwetu.
Wazazi wake hawakuweza kumsomesha ila IQ yake ilikuwa juu sana.Kila jukumu katika chama chake cha upinzani alikuwa na ushawishi mkubwa sana.
Kenyatta alipoona hayo akaona huyu mtu ni ni asset.Akamteua awe waziri.
Watu walipiga kelele sana hata wabunge wa chama chake. Hata hivyo Rais alikuwa ameamua bila kujali kiwango cha elimu yake.
Mtu huyo akiwa mbele ya panel ya kumhoji aliweza kujibu kila swali kwa ufasaha mkubwa kwa mshangao wa wana kamati.
Hatimaye wakamwidhinisha kama waziri wa vijana na michezo.Tunavyosikia ameanza magaeuzi makubwa sana kwa mshangao wa kila mtu.
Hii ikiwa ni tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa na PhD. Ambaye aliiangusha sana wizara hiyo na kumfanya rais huyo kumwachisha uwaziri.
Na wote wakasema huyu mtu ana akili nyingi sana. Wakampitisha.Kwa hivyo sitashangaa kumwona RC Makonda akipanda kutokana na utendajji wake mzuri.
Maana he has the potential to deliver!