Sitasahau;yalikuwa mahaba mazito yenye maumivu mazito

Jacaranda

Member
Oct 23, 2011
45
20
Mkasa huu nilisimuliwa na rafiki yangu nilipoenda kumtembelea hospitali miaka miwili iliyopita.Ni mkasa wa kweli ila ni watu wachache waliousikia na hata wale waliousikia wengi hawajui hasa nini kilitokea.Kwa sasa muhusika hayupo tena nchini anaishi kwenye nchi moja ulaya na ameamua kuchukua uraia wan chi hiyo.Nimemuomba sana kuandika kuhusu jambo ila kwa takriban miezi miwili mwanzoni alikataa ila baada ya kumsisitiza sana mwishoe ameniruhusu. .Nimejaribu kuandika kwa ufasaha kuhusu tukio lenyewe na kuficha baadhi ya mambo ili kuhakikisha natunza heshima yake naya ndugu zake.


Pua zangu zilinusa Harufu nzuri kutoka bafuni alililokuwa anaoga,ilikuwa ni harufu ya marashi safi isiyokera pua na ambayo inaweza kukufanya utamani kuendelea kuinusa kwa siku nzima .Alipotoka bafuni alisimama katikati ya chumba kisha akaliachia taulo alilokuwa amejifunga, likadondoka chini na kumuacha mtupu.Akanifuata kwa mwendo wa bwembwe utafikiri yuko kwenye mashindano ya urembo,kila hatua aliyokuwa akiichukua ilikuwa ni kama ya mtu aliyekuwa akitafakari jinsi ya kutembea.


Nywele zake ndefu ziliruka ruka na na kuufunika uso wake na kumfanya kukirudisha kichwa chake kwa nyuma ili kuziondoa nywele zilizokuwa zinayafunika macho yake .Mwanga hafifu wa taa ulimumulika na kumfanya aonekane mzuri mara mia zaidi ya Kim kardashian .Rangi ya ngozi yake ilikuwa ni ya chungwa toka usoni mpaka nyayoni, ukijumlisha na nywele zake usingekuwa na shaka kusema ni mtu mwenye asili ya latin America .Matiti yake yalikuwa na ukubwa wa wastani ila yamevimba vizuri na kukipamba kifua chake vyema,matiti yake na urefu wake ulikuwa ni mithili ya Nyomi Branx” Jacaranda Unamfahamu Nyomi Branx ” akanitupia swali huku akinitazama usoni .Nikatikisa kichwa kuashiria kuwa simfahamu.”Ni mchezaji porn nenda kamtafute kwenye mtandao utagundua ninachokisema”Kiuno chake kilikuwa kimebeba wowo safi na kulifanya umbo lake kuwa kama namba nane.Jacaranda sijawahi kuona mwanamke mzuri zaidi yake na kamwe sitaona


Alipofika kitandani aliipitisha mikono yake shingoni mwangu kisha akakaa kwenye mapaja yangu na kuupeleka ulimi wake ndani ya tundu la sikio langu, kama mtu atafutae kitu fulani ulimi wake ukaanza kutalii kwenye sikio langu.Jambo hilo lilisababisha kitu kama shoti kilichoanzia kwenye utosi wa kichwa changu na kisha kusafiri mpaka chini ya nyayo za miguu yangu .Wakati huo midomo yangu ilikuwa inanyonya chuchu zake kisha taratibu nikashusha midomo yangu mpaka kitovuni mwake nikakutana na kipini ambacho kilikuwa kimeundwa na madini ya Tanzanite.Nilipouweka ulimi kwenye kitovu chake alianza kupumua kwa kasi kama mwanariadha aliye kwenye marathon .


Akaiteremsha mikono yake mpaka katikati ya mapaja yangu akakutana na uume wangu ambao ulikuwa umesimama utafikiri nguzo zilizobeba nyumba yenye ghorofa mia moja kitendo hicho kilinifanya nihisi kama damu imeshindwa kwenda ubongoni mwangu.Uwezi kuamini Jacaranda kwa muda ule ungeniuliza moja kujumlisha moja nisingeweza kujua jibu lake. basi alipoona mikono yake imefanya kazi kwa ufanisi mkubwa akakishusha kinywa chake mpaka mapajani mwangu na midomo yake ikazama kwenye nyeti zangu aaaah kitendo hicho kilisababisha miguu yangu ipate ganzi na kuifanya icheze cheze utafikiri imepigwa shoti .

Wakati nikiwa kwenye dimbwi la raha ghafla nikasikia kama kisu kikali kimezipitia nyeti zangu.Nikahisi maumivu makali ambayo yalisabisha nipige kelele kwa sauti ya juu.Nilipomungalia Yule msichana niligundua meno yake yamerefuka nakua kama ya simba na macho yake yalikuwa yanatoa mwanga kama tochi.Midomo na mikono yake ilikuwa imejaa damu. Nikapigwa na butwaa nisijue nini cha kufanya.Damu nyingi zilikuwa zinatoka katikati ya mapaja yangu na kufanya dimbwi sehem niliyokuwa nimelala .Nikajihisi nguvu zinanishia nikajaribu kunyanyua kinywa changu lakini nikashindwa,nikajihisi kizungu zungu huku macho yangu yakiona maluwe luwe .Msichana Yule alijiondoa toka kwenye maungo yangu, nilipomuangalia nilizidi kupigwa na butwaa alikuwa ameshikilia nyeti zangu mkononi mwake akizitafuna taratibu kama mtu atafunae kipande cha mshikaki.Nilipojiangalia mapajani mwangu hakukuwa na kitu zaidi ya kidonda kikubwa kilichojaa damu.Nikaishiwa nguvu nikahisi kichwa changu kimekuwa chepesi,giza likayafunika macho yangu na mwili wangu nikahisi kama unaelea angani.Nilipoamuka jambo la kwanza nikajiangalia mapajani ambapo nikakutana na bandeji ambazo zilikuwa zimefunika sehemu zangu za siri


Najua utakuwa unajiuliza nilifikaje hapa hospitali na vipi ilikuwa ni hatima ya Yule msichana.Baadhi ya mambo nilisimuliwa na muhudum wa hoteli aliyenileta hapa ili mengi ya mambo yamebaki kuwa kitendawili kwangu mpaka leo, hasa kuhusu Yule msichana.Ila mambo yalikuwa hivi………………… Tutaendelea
 
raha ya story ni uimalizie,ikiwa nusu tu,huwa hainogi.ila imekaa kama hadithi za alfu lela ulela
 
raha ya story ni uimalizie,ikiwa nusu tu,huwa hainogi.ila imekaa kama hadithi za alfu lela ulela

Mimi nimesoma kidogo nivyoona to much details nikajua haiishi, nilivyoshuka chini na kukutana na itaendelea; hamu imeisha!
 
Stori za kumuambia msichana zima taa, akanyoosha mkono from the bed to the wall switch. Nahisi they kept my bros from sex for a while
 
Jamani hii si ndio ile hadithi ya ua jekundu??
Mkasa huu nilisimuliwa na rafiki yangu nilipoenda kumtembelea hospitali miaka miwili iliyopita.Ni mkasa wa kweli ila ni watu wachache waliousikia na hata wale waliousikia wengi hawajui hasa nini kilitokea.Kwa sasa muhusika hayupo tena nchini anaishi kwenye nchi moja ulaya na ameamua kuchukua uraia wan chi hiyo.Nimemuomba sana kuandika kuhusu jambo ila kwa takriban miezi miwili mwanzoni alikataa ila baada ya kumsisitiza sana mwishoe ameniruhusu. .Nimejaribu kuandika kwa ufasaha kuhusu tukio lenyewe na kuficha baadhi ya mambo ili kuhakikisha natunza heshima yake naya ndugu zake.


Pua zangu zilinusa Harufu nzuri kutoka bafuni alililokuwa anaoga,ilikuwa ni harufu ya marashi safi isiyokera pua na ambayo inaweza kukufanya utamani kuendelea kuinusa kwa siku nzima .Alipotoka bafuni alisimama katikati ya chumba kisha akaliachia taulo alilokuwa amejifunga, likadondoka chini na kumuacha mtupu.Akanifuata kwa mwendo wa bwembwe utafikiri yuko kwenye mashindano ya urembo,kila hatua aliyokuwa akiichukua ilikuwa ni kama ya mtu aliyekuwa akitafakari jinsi ya kutembea.


Nywele zake ndefu ziliruka ruka na na kuufunika uso wake na kumfanya kukirudisha kichwa chake kwa nyuma ili kuziondoa nywele zilizokuwa zinayafunika macho yake .Mwanga hafifu wa taa ulimumulika na kumfanya aonekane mzuri mara mia zaidi ya Kim kardashian .Rangi ya ngozi yake ilikuwa ni ya chungwa toka usoni mpaka nyayoni, ukijumlisha na nywele zake usingekuwa na shaka kusema ni mtu mwenye asili ya latin America .Matiti yake yalikuwa na ukubwa wa wastani ila yamevimba vizuri na kukipamba kifua chake vyema,matiti yake na urefu wake ulikuwa ni mithili ya Nyomi Branx" Jacaranda Unamfahamu Nyomi Branx " akanitupia swali huku akinitazama usoni .Nikatikisa kichwa kuashiria kuwa simfahamu."Ni mchezaji porn nenda kamtafute kwenye mtandao utagundua ninachokisema"Kiuno chake kilikuwa kimebeba wowo safi na kulifanya umbo lake kuwa kama namba nane.Jacaranda sijawahi kuona mwanamke mzuri zaidi yake na kamwe sitaona


Alipofika kitandani aliipitisha mikono yake shingoni mwangu kisha akakaa kwenye mapaja yangu na kuupeleka ulimi wake ndani ya tundu la sikio langu, kama mtu atafutae kitu fulani ulimi wake ukaanza kutalii kwenye sikio langu.Jambo hilo lilisababisha kitu kama shoti kilichoanzia kwenye utosi wa kichwa changu na kisha kusafiri mpaka chini ya nyayo za miguu yangu .Wakati huo midomo yangu ilikuwa inanyonya chuchu zake kisha taratibu nikashusha midomo yangu mpaka kitovuni mwake nikakutana na kipini ambacho kilikuwa kimeundwa na madini ya Tanzanite.Nilipouweka ulimi kwenye kitovu chake alianza kupumua kwa kasi kama mwanariadha aliye kwenye marathon .


Akaiteremsha mikono yake mpaka katikati ya mapaja yangu akakutana na uume wangu ambao ulikuwa umesimama utafikiri nguzo zilizobeba nyumba yenye ghorofa mia moja kitendo hicho kilinifanya nihisi kama damu imeshindwa kwenda ubongoni mwangu.Uwezi kuamini Jacaranda kwa muda ule ungeniuliza moja kujumlisha moja nisingeweza kujua jibu lake. basi alipoona mikono yake imefanya kazi kwa ufanisi mkubwa akakishusha kinywa chake mpaka mapajani mwangu na midomo yake ikazama kwenye nyeti zangu aaaah kitendo hicho kilisababisha miguu yangu ipate ganzi na kuifanya icheze cheze utafikiri imepigwa shoti .

Wakati nikiwa kwenye dimbwi la raha ghafla nikasikia kama kisu kikali kimezipitia nyeti zangu.Nikahisi maumivu makali ambayo yalisabisha nipige kelele kwa sauti ya juu.Nilipomungalia Yule msichana niligundua meno yake yamerefuka nakua kama ya simba na macho yake yalikuwa yanatoa mwanga kama tochi.Midomo na mikono yake ilikuwa imejaa damu. Nikapigwa na butwaa nisijue nini cha kufanya.Damu nyingi zilikuwa zinatoka katikati ya mapaja yangu na kufanya dimbwi sehem niliyokuwa nimelala .Nikajihisi nguvu zinanishia nikajaribu kunyanyua kinywa changu lakini nikashindwa,nikajihisi kizungu zungu huku macho yangu yakiona maluwe luwe .Msichana Yule alijiondoa toka kwenye maungo yangu, nilipomuangalia nilizidi kupigwa na butwaa alikuwa ameshikilia nyeti zangu mkononi mwake akizitafuna taratibu kama mtu atafunae kipande cha mshikaki.Nilipojiangalia mapajani mwangu hakukuwa na kitu zaidi ya kidonda kikubwa kilichojaa damu.Nikaishiwa nguvu nikahisi kichwa changu kimekuwa chepesi,giza likayafunika macho yangu na mwili wangu nikahisi kama unaelea angani.Nilipoamuka jambo la kwanza nikajiangalia mapajani ambapo nikakutana na bandeji ambazo zilikuwa zimefunika sehemu zangu za siri


Najua utakuwa unajiuliza nilifikaje hapa hospitali na vipi ilikuwa ni hatima ya Yule msichana.Baadhi ya mambo nilisimuliwa na muhudum wa hoteli aliyenileta hapa ili mengi ya mambo yamebaki kuwa kitendawili kwangu mpaka leo, hasa kuhusu Yule msichana.Ila mambo yalikuwa hivi………………… Tutaendelea
 
Mkasa huu nilisimuliwa na rafiki yangu nilipoenda kumtembelea hospitali miaka miwili iliyopita.Ni mkasa wa kweli ila ni watu wachache waliousikia na hata wale waliousikia wengi hawajui hasa nini kilitokea.Kwa sasa muhusika hayupo tena nchini anaishi kwenye nchi moja ulaya na ameamua kuchukua uraia wan chi hiyo.Nimemuomba sana kuandika kuhusu jambo ila kwa takriban miezi miwili mwanzoni alikataa ila baada ya kumsisitiza sana mwishoe ameniruhusu. .Nimejaribu kuandika kwa ufasaha kuhusu tukio lenyewe na kuficha baadhi ya mambo ili kuhakikisha natunza heshima yake naya ndugu zake.


Pua zangu zilinusa Harufu nzuri kutoka bafuni alililokuwa anaoga,ilikuwa ni harufu ya marashi safi isiyokera pua na ambayo inaweza kukufanya utamani kuendelea kuinusa kwa siku nzima .Alipotoka bafuni alisimama katikati ya chumba kisha akaliachia taulo alilokuwa amejifunga, likadondoka chini na kumuacha mtupu.Akanifuata kwa mwendo wa bwembwe utafikiri yuko kwenye mashindano ya urembo,kila hatua aliyokuwa akiichukua ilikuwa ni kama ya mtu aliyekuwa akitafakari jinsi ya kutembea.


Nywele zake ndefu ziliruka ruka na na kuufunika uso wake na kumfanya kukirudisha kichwa chake kwa nyuma ili kuziondoa nywele zilizokuwa zinayafunika macho yake .Mwanga hafifu wa taa ulimumulika na kumfanya aonekane mzuri mara mia zaidi ya Kim kardashian .Rangi ya ngozi yake ilikuwa ni ya chungwa toka usoni mpaka nyayoni, ukijumlisha na nywele zake usingekuwa na shaka kusema ni mtu mwenye asili ya latin America .Matiti yake yalikuwa na ukubwa wa wastani ila yamevimba vizuri na kukipamba kifua chake vyema,matiti yake na urefu wake ulikuwa ni mithili ya Nyomi Branx" Jacaranda Unamfahamu Nyomi Branx " akanitupia swali huku akinitazama usoni .Nikatikisa kichwa kuashiria kuwa simfahamu."Ni mchezaji porn nenda kamtafute kwenye mtandao utagundua ninachokisema"Kiuno chake kilikuwa kimebeba wowo safi na kulifanya umbo lake kuwa kama namba nane.Jacaranda sijawahi kuona mwanamke mzuri zaidi yake na kamwe sitaona


Alipofika kitandani aliipitisha mikono yake shingoni mwangu kisha akakaa kwenye mapaja yangu na kuupeleka ulimi wake ndani ya tundu la sikio langu, kama mtu atafutae kitu fulani ulimi wake ukaanza kutalii kwenye sikio langu.Jambo hilo lilisababisha kitu kama shoti kilichoanzia kwenye utosi wa kichwa changu na kisha kusafiri mpaka chini ya nyayo za miguu yangu .Wakati huo midomo yangu ilikuwa inanyonya chuchu zake kisha taratibu nikashusha midomo yangu mpaka kitovuni mwake nikakutana na kipini ambacho kilikuwa kimeundwa na madini ya Tanzanite.Nilipouweka ulimi kwenye kitovu chake alianza kupumua kwa kasi kama mwanariadha aliye kwenye marathon .


Akaiteremsha mikono yake mpaka katikati ya mapaja yangu akakutana na uume wangu ambao ulikuwa umesimama utafikiri nguzo zilizobeba nyumba yenye ghorofa mia moja kitendo hicho kilinifanya nihisi kama damu imeshindwa kwenda ubongoni mwangu.Uwezi kuamini Jacaranda kwa muda ule ungeniuliza moja kujumlisha moja nisingeweza kujua jibu lake. basi alipoona mikono yake imefanya kazi kwa ufanisi mkubwa akakishusha kinywa chake mpaka mapajani mwangu na midomo yake ikazama kwenye nyeti zangu aaaah kitendo hicho kilisababisha miguu yangu ipate ganzi na kuifanya icheze cheze utafikiri imepigwa shoti .

Wakati nikiwa kwenye dimbwi la raha ghafla nikasikia kama kisu kikali kimezipitia nyeti zangu.Nikahisi maumivu makali ambayo yalisabisha nipige kelele kwa sauti ya juu.Nilipomungalia Yule msichana niligundua meno yake yamerefuka nakua kama ya simba na macho yake yalikuwa yanatoa mwanga kama tochi.Midomo na mikono yake ilikuwa imejaa damu. Nikapigwa na butwaa nisijue nini cha kufanya.Damu nyingi zilikuwa zinatoka katikati ya mapaja yangu na kufanya dimbwi sehem niliyokuwa nimelala .Nikajihisi nguvu zinanishia nikajaribu kunyanyua kinywa changu lakini nikashindwa,nikajihisi kizungu zungu huku macho yangu yakiona maluwe luwe .Msichana Yule alijiondoa toka kwenye maungo yangu, nilipomuangalia nilizidi kupigwa na butwaa alikuwa ameshikilia nyeti zangu mkononi mwake akizitafuna taratibu kama mtu atafunae kipande cha mshikaki.Nilipojiangalia mapajani mwangu hakukuwa na kitu zaidi ya kidonda kikubwa kilichojaa damu.Nikaishiwa nguvu nikahisi kichwa changu kimekuwa chepesi,giza likayafunika macho yangu na mwili wangu nikahisi kama unaelea angani.Nilipoamuka jambo la kwanza nikajiangalia mapajani ambapo nikakutana na bandeji ambazo zilikuwa zimefunika sehemu zangu za siri


Najua utakuwa unajiuliza nilifikaje hapa hospitali na vipi ilikuwa ni hatima ya Yule msichana.Baadhi ya mambo nilisimuliwa na muhudum wa hoteli aliyenileta hapa ili mengi ya mambo yamebaki kuwa kitendawili kwangu mpaka leo, hasa kuhusu Yule msichana.Ila mambo yalikuwa hivi………………… Tutaendelea
Hizi story za shigongo
 
Mimi nimesoma kidogo nivyoona to much details nikajua haiishi, nilivyoshuka chini na kukutana na itaendelea; hamu imeisha!

Ni nzuri sema hakuimalizia...

Na Jacaranda amevaa tu uhusika wa huyo "victim"...
 
Nyomi Branx" Jacaranda Unamfahamu Nyomi Branx "hahahahaha Aiseee ninamfahamu si yule dada wa cinema za naniliiiii haha,,Umejitahidi kutunga bro
 
Back
Top Bottom