EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,518
Nlikamatwa Iringa 2008 Miami bar sa7 usiku gari nikaiacha bar nikapandishwa karandinga ila sikulala ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli nakumbuka mara ya kwanza kuingia cell niligonga askari police kuingia ndani majamaa yananiuliza umefanya kosa gani nikayaambia tu nimeua askari kisha nikamute nikaona heshima inakwepo mule ndani wanaanza kuniita bro.Inategemea, ukiingia mule wale wazoefu watakuuliza umefanya kosa gani? Usiwaambie ukweli kama kosa lako ni dogo kama la mwenye uzi wewe sema nimeua! Hapo watakuheshimu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama analengo la kuwatisha watu. Wasifanye maamuzi yao december
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo sasa ndo unakua mwanaume...sio kua kwenye comfort zone everyday...maisha bila changamoto yanaboa...
pole mkuu mm pia walishia wahi nitia ndani for some hours inachanganya sana kisaikolojia
kama walimbeba na mikono ni rahisi sana fingerprint zao zingeonekana kwenye mwiliWalimbeba hao wawili walisema amelewa ndio maana akaelewa af ni mapema mida ya saa kumi na moja
Sent using Jamii Forums mobile app
kama walimbeba na mikono ni rahisi sana fingerprint zao zingeonekana kwenye mwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine lockup ndo kwetu, tumelala sana humo, ukiingia tu utasikia eeeh mkuu ushirombo umerudi tena?Duh! Wakuu, nilikuwa nasikia tu kwa wengine. Jana nimelala Lock up kwa mara ya kwanza. Kwanza nimedakwa nikatiwa bangili, then nikapandishwa kwenye farasi mweupe then moja kwa moja kituoni (jina la kituo not disclosed) kwa kuwa uchunguzi unaendelea bado, ila in short ni case ya kubambikiwa.
Nilivyofika kwanza unakuwa traumatized na kupanic juu maana huelewi kwanini umekamatwa na pia zile kelele za kule ndani, mixer harufu, mixer matusi ya mapoti, yaani ni experience mbaya sana plus kupigwa pingu mtaani mbele ya watu wanaokuheshimu yani acheni tu Wakuu.
Leo ndio nimetoka kwa neema za Mungu ila bado nitaendelea ku-report. Tujitahidi kuwa waangalifu ndugu zanguni maana nimeamini wengi walio lockup hawana makosa wengi ni kubambikiziwa na pia hakuna uchunguzi uliokamilika hadi unapokamatwa, very disappointing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhusiano wowote na Chadema?Duh! Wakuu, nilikuwa nasikia tu kwa wengine. Jana nimelala Lock up kwa mara ya kwanza. Kwanza nimedakwa nikatiwa bangili, then nikapandishwa kwenye farasi mweupe then moja kwa moja kituoni (jina la kituo not disclosed) kwa kuwa uchunguzi unaendelea bado, ila in short ni case ya kubambikiwa.
Nilivyofika kwanza unakuwa traumatized na kupanic juu maana huelewi kwanini umekamatwa na pia zile kelele za kule ndani, mixer harufu, mixer matusi ya mapoti, yaani ni experience mbaya sana plus kupigwa pingu mtaani mbele ya watu wanaokuheshimu yani acheni tu Wakuu.
Leo ndio nimetoka kwa neema za Mungu ila bado nitaendelea ku-report. Tujitahidi kuwa waangalifu ndugu zanguni maana nimeamini wengi walio lockup hawana makosa wengi ni kubambikiziwa na pia hakuna uchunguzi uliokamilika hadi unapokamatwa, very disappointing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah, kwahiyo unaingia kifua wazi?Na singlend unavua ukiingia lock up.
wewe mwanamke wewe unataka kugundua nini?