sa unalalaje ndani na gari ya ofisi umeiacha bar, ilibidi wanirudishe bar maana nliandikisha pale counter ya polisi kama kuna gari ya ofisi imeiacha bar inferiority complex inakusumbuaGari inahuskaje hap0!!!??? Wabongo misifa camp tujue una ki mkokoteni???
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika maneno mengine hayahusiki sasa happo gari imeingiaje??axa utoto mkuu omo kafulie boxa yako xafusa unalalaje ndani na gari ya ofisi umeiacha bar, ilibidi wanirudishe bar maana nliandikisha pale counter ya polisi kama kuna gari ya ofisi imeiacha bar inferiority complex inakusumbua
Kwanini unamuonea wivu, gari ni kitu cha kawaida kabisa. Mimi nilinunua Mark II enzi hizo baada ya kunyimwa lifti na mshamba mmoja hivi.Gari inahuskaje hap0!!!??? Wabongo misifa camp tujue una ki mkokoteni???
Sent using Jamii Forums mobile app
Miami pub hahahahNlikamatwa Iringa 2008 Miami bar sa7 usiku gari nikaiacha bar nikapandishwa karandinga ila sikulala ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ukimya unadhihirisha kitu kimoja tu. Mkuu pole sana kwa unayoyapitia huko uliko
Wewe jamaa kesi yako iliishaje? Ama upo Jela muda huu? Mbona hujibu wenzako chochote hapa kwa muda mrefu?
Dan afadhali sana mkuu.. Karibu sana, wadau tulipatwa na wasiwasimkuu sijaingia jf muda mrefu, niliripoti tu kituoni asubuhi kama siku tatu then basi wakaachana na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dan afadhali sana mkuu.. Karibu sana, wadau tulipatwa na wasiwasi
Wewe unampoteza mwenzako. LockUp ni neno la kiingereza na kiswahili chake ni rumande.Ulikuwa mahabusu au lock-up?
NB
Mahabusu - magereza
LockUp - Polisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala usiombe msamaha. Umepatia kabisa na aliyekusahihisha ndiye kakosea. Lockup ni neno la kiingereza na mahabusu ni kiswahili.lock upmkuu, kumradhi nimechanganya, sikujua kama mahabusu na lock up ni tofauti cause sijawahi hata fikiria hivo vitu naonaga tu mitandaoni basi hadi jana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaamini sana hii story. Kubeba mwili wa mtu aliyefariki na kuingia nao kwenye bajaji halafu wakati wa kuteremka unamwambia dereva huyu kalewa anashuka mbele bila dereva kushtuka ni ngumu kidogo. Wakati wale wenzake wanateremka walimlaza? Kma kama walimlaza dereva hakujiuliza wakati wa kuteremka atawezaje mtu ambaye hata kuongea mawasiliano hawezi kufanya?Dah! Aisee, very sad hope Mungu amguse, kuna moja pia niliona jamaa ni bajaj driver na ana biashara ya chips, sasa kila asubuhi anawahi sokon kununua vitu vya hiyo siku, sasa avokua mwenge wakatokea watu watatu wakamwomba awashushe sayansi akasema poa si mbaya maana anaenda njia iyo iyo tu, sa jamaa avofika science jamaa wakashuka wawili wakasema uyu mwenzetu kalewa ila kuna mtu kituo cha mbele anamsubiri ampeleke home, jamaa akasema poa akasepa, avofika kituo cha mbele kapark bajaj haoni mtu anamfata ikabidi amwamshe jamaa ila wapi mtu haamki, kumtikisa ivi kidogo mtu hasogei duh jamaa akakimbilia polis na maiti kufika apo akadakwa na case akabambikiwa yeye ndio ameua huyo raia ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Wakuu, nilikuwa nasikia tu kwa wengine. Jana nimelala Lock up kwa mara ya kwanza. Kwanza nimedakwa nikatiwa bangili, then nikapandishwa kwenye farasi mweupe then moja kwa moja kituoni (jina la kituo not disclosed) kwa kuwa uchunguzi unaendelea bado, ila in short ni case ya kubambikiwa.
Nilivyofika kwanza unakuwa traumatized na kupanic juu maana huelewi kwanini umekamatwa na pia zile kelele za kule ndani, mixer harufu, mixer matusi ya mapoti, yaani ni experience mbaya sana plus kupigwa pingu mtaani mbele ya watu wanaokuheshimu yani acheni tu Wakuu.
Leo ndio nimetoka kwa neema za Mungu ila bado nitaendelea ku-report. Tujitahidi kuwa waangalifu ndugu zanguni maana nimeamini wengi walio lockup hawana makosa wengi ni kubambikiziwa na pia hakuna uchunguzi uliokamilika hadi unapokamatwa, very disappointing.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaijua mkuu?
haya mkuu maana nahisi hujawahi miliki gari ndomana unaona jambo kuuuubwa. Meanza kudrive 1997 so sioni kitu cha ajabu hapoUnaandika maneno mengine hayahusiki sasa happo gari imeingiaje??axa utoto mkuu omo kafulie boxa yako xafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliiba nini hapo mtaani kwenu?