Sitasahau siku ya jana na leo nilivyolala mahabusu

Wait..hvi n kweli huko cell kuna mtu kama nzi Wa kijani..yaani waneneeee au ni tango pori tu nalishwanga
Duh! Wakuu, nilikuwa nasikia tu kwa wengine. Jana nimelala Lock up kwa mara ya kwanza. Kwanza nimedakwa nikatiwa bangili, then nikapandishwa kwenye farasi mweupe then moja kwa moja kituoni (jina la kituo not disclosed) kwa kuwa uchunguzi unaendelea bado, ila in short ni case ya kubambikiwa.

Nilivyofika kwanza unakuwa traumatized na kupanic juu maana huelewi kwanini umekamatwa na pia zile kelele za kule ndani, mixer harufu, mixer matusi ya mapoti, yaani ni experience mbaya sana plus kupigwa pingu mtaani mbele ya watu wanaokuheshimu yani acheni tu Wakuu.

Leo ndio nimetoka kwa neema za Mungu ila bado nitaendelea ku-report. Tujitahidi kuwa waangalifu ndugu zanguni maana nimeamini wengi walio lockup hawana makosa wengi ni kubambikiziwa na pia hakuna uchunguzi uliokamilika hadi unapokamatwa, very disappointing.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante, kwani nilikua na mkanda hata! nilikua nimetoka zangu dukani ndio nikashikwa, ila nilivua tu sandals pale kwa afande then nkaingizwa ndani ya chumba, hivi lock up kuna za wanawake pia au? Maana sikuona mwanamke yoyote kule

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu, nadhani wanawake wana za kwao pia maana sipati picha wakichanganywa pamoja duh, hakutatulia humo ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mwisho umezingua, jela wanaenda wasio na hatia pia
Thanks, duh eeh maana mmoja alinitisha alisema wewe nitakuminya hadi useme ukweli, ila ndo ivyo haikunikuta bado process ilikuwa ianze kesho but majaliwa nimetoka leo, ila kama ningepewa kisago nina mtu wa karibu ni mwanasheria nguli ningefungulia mtu mashtaka maana najua ingefika mahakamani ningepatikana tu sina hatia,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Wakuu, nilikuwa nasikia tu kwa wengine. Jana nimelala Lock up kwa mara ya kwanza. Kwanza nimedakwa nikatiwa bangili, then nikapandishwa kwenye farasi mweupe then moja kwa moja kituoni (jina la kituo not disclosed) kwa kuwa uchunguzi unaendelea bado, ila in short ni case ya kubambikiwa.

Nilivyofika kwanza unakuwa traumatized na kupanic juu maana huelewi kwanini umekamatwa na pia zile kelele za kule ndani, mixer harufu, mixer matusi ya mapoti, yaani ni experience mbaya sana plus kupigwa pingu mtaani mbele ya watu wanaokuheshimu yani acheni tu Wakuu.

Leo ndio nimetoka kwa neema za Mungu ila bado nitaendelea ku-report. Tujitahidi kuwa waangalifu ndugu zanguni maana nimeamini wengi walio lockup hawana makosa wengi ni kubambikiziwa na pia hakuna uchunguzi uliokamilika hadi unapokamatwa, very disappointing.

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU hebu tupe mrejesho kuhusu huko. Nasikia ukipewa SIGARA UVUTE..USIKU UNADAIWA NA VIDUME..ni kweli ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu asante, nasema tuwe makini na watu tunao jiassociate nao, mfano mtu anaweza kuwa katenda kosa then ukaja tu bambikiwa wewe either kwa sababu unafahamiana naye, au akaamua tu kukutupia wewe case nk.. yani ni story ndefu mkuu na siwezi elezea kisa changu kwa sasa, ila ni nature kama hiyo. Kambaku,

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimdhamini mtu nini?
 
Niliwekwa selo pale arusha mida ya jioni, unavua mkanda na viatu unafunguliwa mlango ndio una ingia, ßiku ya kwanza nilitetemeka kwasababu ya zile stori za kupigwa kama ni mgeni ila nilichokutana nacho ni stori tu humo ndani.

Ikifika saa moja hivi n saa nne usiku wanaita majina, unaitwa kina la kwanza wewe unaitikia la mwisho kwa sauti kubwa, ole wako uwe kimya.

Dah mule ndani tulijazana sana aisee, kufika saa nne baada ya kuitwa majina ni kulala, mnalallia mbavu ili mtoshe, mnalalia sakafu yani na ukizubaa unaweza kulala kule karibia na chooni pua itakufa ganzi.

Ile siku Nina Bahati ndugu yangu alipata taarifa na alikuwa na connection nzito hapo kwa hio ilipofika saa sita usiku nikahamishiwa vyumba vile kidogo nadhani vile anaweza kuviita V.I.P maana kuna isafi kidogo ila kulala chini kama kawaida.

Cha mdingi ni kukubaliwa tu dhamana, hapo utaripoti asubuhi kama kwa wiki hivi na ndio imetoka hio, ila kama kesi yako ni nzito utaitwa tu mahakamani.

Hata nikiingia Leo selo ntachukulia kawaida tu nina uzoefu nayo ola hofu yangu ni kwenda gerezani huko unaweza kukaa hata mwezi ukiwa mahabusu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom