Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 25,942
- 68,027
Rudi sitimbiAiendi Tena๐คฃ๐๐๐๐, watu Wana vuta sigata Kwenye vinu๐๐๐คฃ๐
Rudi sitimbiAiendi Tena๐คฃ๐๐๐๐, watu Wana vuta sigata Kwenye vinu๐๐๐คฃ๐
Nusu albinoRudi sitimbi
๐ nyie ndio wachawiDah ๐๐คฃ๐๐ค, yaani Nilikuwa nacheka. watu Wanavyo cheza๐คฃ๐.
Ume fufua mada ๐คฃ๐๐๐, kenge weye๐ nyie ndio wachawi
Nilikua sijasoma hiyo komendiUme fufua mada ๐คฃ๐๐๐, kenge weye
Wakuu naandika huu uzi inshort nmeridhika sahivi sina hta nyege ya ku apply kazi yotote ile kama kutafuta kazi nmetafuta nimechoka na upper second nzuri tu lakin ndo hvo nmeenda kila kona patupu, nmeenda taasisi zote unazozijua wewe hapa dar patupu, nimefanya kila naloweza fanya nipate hta connection patupu, sisi watoto wa wakulima ambao hatuna ndugu huko maofisin iwe bahat yako tu, nimeshangaa hapa mtaani mtoto wa mtu mkubwa tu hana kazi tunacheza ps wote kitaa.
Sasa sahiv me si apply kazi kama ipo, ipo tu siforce mambo huwez jua mungu ananiepusha na nini, utakuta mtu anatafuta kazi anaandika uzi humu Jf lijitu linatoka wapi lina comment shit eti jiajir how wkt sina pesa, ukisema uende bank unakutana na collaterals mwingine anakwambia uza mchicha, nyanya hivi msom wa chuo auze nyanya gengen kwel?? Au mwingine anakwambia uza karanga wtf??. Afu wa form4 afanye nn??
Nashukuru mungu wazaz wangu ni wazma wote nakula, nakunywa wanajua hali halis sina kaz wananihidumia. Nikiamka asbh nakunywa chai fresh, mchana nakula usik nakula maisha yanatak nn kwangu. Nikichoka naenda seblen kuchek movie sina habar life linaenda nimepoteza pesa nyingi kutafuta kaz bila mafanikio sasa nimeamua kutuliza akili. Kama biashara nilianza ikafa utanambia nn nifanye?.
Wale jobseekers wenzangu tusikate tamaa kama ipo ipo tu usiforce mambo. Wanaokwambia fanya biashr unakuta yy anakaz na mikopo anayo. Trust nobody except your parents and Live your life.
Tafsiri maana ya Elimu na hiyo upper nini?Wakuu naandika huu uzi inshort nmeridhika sahivi sina hta nyege ya ku apply kazi yotote ile kama kutafuta kazi nmetafuta nimechoka na upper second nzuri tu lakin ndo hvo nmeenda kila kona patupu, nmeenda taasisi zote unazozijua wewe hapa dar patupu, nimefanya kila naloweza fanya nipate hta connection patupu, sisi watoto wa wakulima ambao hatuna ndugu huko maofisin iwe bahat yako tu, nimeshangaa hapa mtaani mtoto wa mtu mkubwa tu hana kazi tunacheza ps wote kitaa.
Sasa sahiv me si apply kazi kama ipo, ipo tu siforce mambo huwez jua mungu ananiepusha na nini, utakuta mtu anatafuta kazi anaandika uzi humu Jf lijitu linatoka wapi lina comment shit eti jiajir how wkt sina pesa, ukisema uende bank unakutana na collaterals mwingine anakwambia uza mchicha, nyanya hivi msom wa chuo auze nyanya gengen kwel?? Au mwingine anakwambia uza karanga wtf??. Afu wa form4 afanye nn??
Nashukuru mungu wazaz wangu ni wazma wote nakula, nakunywa wanajua hali halis sina kaz wananihidumia. Nikiamka asbh nakunywa chai fresh, mchana nakula usik nakula maisha yanatak nn kwangu. Nikichoka naenda seblen kuchek movie sina habar life linaenda nimepoteza pesa nyingi kutafuta kaz bila mafanikio sasa nimeamua kutuliza akili. Kama biashara nilianza ikafa utanambia nn nifanye?.
Wale jobseekers wenzangu tusikate tamaa kama ipo ipo tu usiforce mambo. Wanaokwambia fanya biashr unakuta yy anakaz na mikopo anayo. Trust nobody except your parents and Live your life.