kama unatafuta mume wa uhakika, ni pm. Usitume picha.
Ulikua hujuiMbona hilo jina la 'kidume' hivi?
tuna msgsijaelewa pm ndiyo nini acha mafumbo tukusaidie wazee
mmmh! jamani dunia inazidi kupinduka!
mimi nipo tayari upo serious?
mimi nipo tayari upo serious?
humu wasanii wengi be care! wengine wanatafuta dem wanaandika wanatafuta mke/wake sijui wabongo vp sie?. tuache jamani tabia ya kucheza na akili za watu. kama upo serious ndio uweke post hiyo ya kutafuta mke/mume.
Inamaana wewe ni domo zege?Kama unatafuta mume wa uhakika, ni pm. Usitume picha.
Kama domo zege mlete tukutilie nenoInamaana wewe ni domo zege?Kama unatafuta mume wa uhakika, ni pm. Usitume picha.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us
Thread starter | Title | Forum | Replies | Date |
---|---|---|---|---|
A | Nahitaji mke sitanii tafadhali! | Love Connect | 19 | |
A | Natafuta binti wa kuoa, niko serious sitanii | Love Connect | 5 |