Sitamani kufuga kuku tena.

Jitaidi kufanya usafi mara kwa mara kwenye banda mwagia na majivu
 
Kama powder tajwa hapo juu ni gharama,chukua magazeti/makaratasi washa kama mwenge wa uhuru then pitisha kwenye kuta na sakafu yote ya banda.Hajawahi kubaki utitiri kwa zoezi hilo.
Ila kama unataka kutibu na kuku,basi powder itakuhusu
 
Ingekuwa kila mtu ana mawazo kama yako basi watu wengi wangeshaacha kufuga kuku.
Kuna changamoto nyingi sana za ufugaji hiyo yako ni ndogo sanaaa
 
Utitiri wanatokana na uchafu wa banda. Tumia akheri powder au dawa yoyote katika dawa za madawa ya mifugo zitasaidia
 
Nilitamani kufuga kuku wa kienyeji ili nivune mazao yao.

Changamoto ninayoipata ni wadudu jamii ya utitiri. Yaani ukienda kuwafungulia banda lao unakumbana na utitiri wa kufa mtu.

Hapa nilipo mwili mzima unawashwa kwa sababu ya kung'atwa na hivi vijidudu, nimevipangusa kutoka mwilini zaidi ya 100. Mwili umevimba kwa kujikuna, sitaki tena hawa kuku wa kienyeji bora niendelee kununua mayai.

Kama kuna mtu anajua dawa/mbinu ya kuwaangamiza hawa wadudu anisaidie.
Naleta na picha ya jinsi nilivyojikuna, hadi nguo zote nimevua

.View attachment 1087682

Mkuu hiyo miguu ni yako?
 
Nilitamani kufuga kuku wa kienyeji ili nivune mazao yao.

Changamoto ninayoipata ni wadudu jamii ya utitiri. Yaani ukienda kuwafungulia banda lao unakumbana na utitiri wa kufa mtu.

Hapa nilipo mwili mzima unawashwa kwa sababu ya kung'atwa na hivi vijidudu, nimevipangusa kutoka mwilini zaidi ya 100. Mwili umevimba kwa kujikuna, sitaki tena hawa kuku wa kienyeji bora niendelee kununua mayai.

Kama kuna mtu anajua dawa/mbinu ya kuwaangamiza hawa wadudu anisaidie.
Naleta na picha ya jinsi nilivyojikuna, hadi nguo zote nimevua

.View attachment 1087682
Jogoo hafi kwa utitiri! Komaa mkuu
 
Unaacha mradi kwasababu tu ya utitiri?

Mbona dawa za kuwamaliza zipo nyingi madukani kwa bei nafuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom