Sitakuacha; maneno ya ahadi kwa mke wangu mtarajiwa

GOLDGREEN9

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
351
216
Siku ya kwanza tulipokutana high school sikujua kama unamoyo wa namna ile,nilikuchukulia kama mwanamke kama wanawake wengine ,kumbe ulikuwa na kitu cha ziada moyoni mwako.

Mimi niligundua hili nilipokuwa nikifanya speculation kwa wenzangu ulinifanya kutafiti mambo ya ziada kuhus MAPENZI kwa sababu ULINIPENDA SANA ila hukuniambia.

Niligundua siku uliyoumia pale nilipougua na kuonesha UPENDO kwangu.Nilisema bila kusita "NAKUPENDA SANA ,NITAFURAHI KAMA UTAKUWA MKE WANGU BAADA YA MIAKA KUANZIA MINNE BAADAYE" uliponikubalia nimekuahidi watoto wawili tu!!

Kisha nilisema "kuwa huru mim sikulazimishi kuolewa na mim ,ukimpata mwanaume unayefikiri atakuwa bora zaidi ya mimi basi kuwa huru mwambie akuoe".

Then nilikuomba usisite kuniacha pale utakapobadili maamuzi ya kunipenda,Ila Mimi SITAKUACHA mpaka pale pumzi Yangu inakata,Na ukibadili maamuzi ,Olewa tu BUT utabaki kuwa MKE WANGU IMAGINARY because your soul & my soul have been linked by Golden chain (wew ni mwanamke wa kwanza kumpenda SIKUACHI na sitaki kutafuta mwingine baada ya wewe kuniacha ).

Haya ni maneno ya ahadi kwa MKE WANGU MTARAJIWA .
 
1467566059570.jpg
 
mimi naamini Mtu ukimpenda kwa dhati
kutoka moyoni mwako kabisa
huwezi kumwacha
huwezi kumwacha apate shida, huwezi kumwacha aolewe ukaridhia kabisa huku umekaa kimya..
hakuna kitu kama hicho uta fight mpaka uone mwisho wake
huo ndo upendo wa kweli nnao ujua..
ila hio ya kusema eti ukipata mume olewa
umependa nusu nusu.
 
maneno ya juu ya vifua hayo.. mkiwa chumban nyege zinawaongoza mtaambiana kila maneno...

mtapeana ahadi hata za kufa pamoja...kupeana figo mmoja akiumwa..

balaa linaanzia mkishavaa nguo zenu tu na kutoka nje ya nyumba... ahadi zote mnaziacha vyumbani..

au binti apate mimba sasa.. na jamaa maisha yanabana.. ahadi zote zinatupwa kapuni
 
mimi naamini Mtu ukimpenda kwa dhati
kutoka moyoni mwako kabisa
huwezi kumwacha
huwezi kumwacha apate shida, huwezi kumwacha aolewe ukaridhia kabisa huku umekaa kimya..
hakuna kitu kama hicho uta fight mpaka uone mwisho wake
huo ndo upendo wa kweli nnao ujua..
ila hio ya kusema eti ukipata mume olewa
umependa nusu nusu.


Hahahaa! Uhuru ni njia ya kupima uaminifu kwa mpenz, mie sipendi kuumizwa wala kuumiza ,ni bora kujiandaa kisaikolojia kabla ya mabadiliko ya maamuzi ya mke wangu so kama hupendi Uhuru achaaaa!!! mie sipendi kubembeleza!!!!!
 
Msimamo mzuri mdogo wangu,kama ukiyaishi haya kamwe hukondeshwi na mapenzi.
It was my rule sijawahi kuteswa.


Hahahaa! Uhuru ni njia ya kupima uaminifu kwa mpenz, mie sipendi kuumizwa wala kuumiza ,ni bora kujiandaa kisaikolojia kabla ya mabadiliko ya maamuzi ya mke wangu so kama hupendi Uhuru achaaaa!!! mie sipendi kubembeleza!!!!!
 
mimi naamini Mtu ukimpenda kwa dhati
kutoka moyoni mwako kabisa
huwezi kumwacha
huwezi kumwacha apate shida, huwezi kumwacha aolewe ukaridhia kabisa huku umekaa kimya..
hakuna kitu kama hicho uta fight mpaka uone mwisho wake
huo ndo upendo wa kweli nnao ujua..
ila hio ya kusema eti ukipata mume olewa
umependa nusu nusu.
Hapo panaleta ukakasi kweli.... Sipendi nimpende mtu afu asijiamini kwangu
 
Hapo panaleta ukakasi kweli.... Sipendi nimpende mtu afu asijiamini kwangu

ahah! mie sipendi kumfualutia mke wangu kwa mambo yake binafsi sab mie napenda kuishi bila stress za mke wangu ,Na kama unapenda kufuatiliwa basi wewe hufai kuwa mke wa mtu labda uwe unatania tuu!!
 
ahah! mie sipendi kumfualutia mke wangu kwa mambo yake binafsi sab mie napenda kuishi bila stress za mke wangu ,Na kama unapenda kufuatiliwa basi wewe hufai kuwa mke wa mtu labda uwe unatania tuu!!
Umenielewa kweli?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom