EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,683
Ni hasira tu zimekupelekea kunena uliyoyanena zikiisha hasira utarudi kuwaza kama wanawake wengine
Tabasamu...Mrblue
Hahahaa ndo hapo sasaSure.
Nashangaa hivi mwenye hela ye ana moyo wa jiwe?, Lol
Mawazo ya watu bwana.
Kama wanaume wanavong'ang'aniza kuwa wanawake wote wanapenda pesa....hivi kweli hakuna mwanamke mwenye moyo wa nyama?? Teh teh
Mkuu nahisi kabisa mimi ntakufaa maana hata siku 2 hazitoisha utakua ushajifia kwa stress za kukosa pesa😀😀Mimi masikini ila nataka mwanamke mpenda pesa anipege stress nikufe!
Ewaaaa we utanifaa kweli maana nataka mpk wiki ikifika niwe nishazikwaga kabisa 😄Mkuu nahisi kabisa mimi ntakufaa maana hata siku 2 hazitoisha utakua ushajifia kwa stress za kukosa pesa😀😀
Well kwanza mleta uzi aache generalization si wanaume wote wenye pesa wana tabia mbaya! Kuna wengine akipata pesa anazitumia na familia yake vizuri,so Ni baadhi tu kama ilivo hata kwa wanawake wenye vipato vyao pia.CreditAnalyst
financial services
Hawa ni wataalamu wa masuala ya fedha ngoja watupe maoni yao kitaalamu yahusuyo fedha kwenye mahusiano pengine yatatusaidia
Basi tufanye jambo mkuu! Stress ya kwanza itakua nataka uninunulie Gari kali BMW X3 na mfukoni una buku tu mbona utakonda mkuu😀Ewaaaa we utanifaa kweli maana nataka mpk wiki ikifika niwe nishazikwaga kabisa 😄
Kwa namna hii kweli hata siku 2 sitoboi kudadeki🤣Basi tufanye jambo mkuu! Stress ya kwanza itakua nataka uninunulie Gari kali BMW X3 na mfukoni una buku tu mbona utakonda mkuu😀
Ukisikia paaah......Pole ya nn
Hahaa! Nakutania mkuu😀😀Kwa namna hii kweli hata siku 2 sitoboi kudadeki🤣
Wala usijali mpendwa 😁Hahaa! Nakutania mkuu😀😀
Merry Xmas sis,Kila la kheri.
Merry x-mass dear.Merry Xmas sis,
Anaowapenda mtoa mada wapo wengi mbona wala haikuhitaji hili tangazo lake
Kauli ya meanaume mcha Mungu ni mfu.True kabisa.....akipata pesa mwanaume ndo Tabia yake ya kweli hudhihirika
Ukiona umeanza kuelewa nini anahitaji mwanamke basi hiyo ni dalili ya kuwa umekaribia kufa!
Sio wote lakini, wapo wanaume wenye pesa na wana mapenzi ya dhati + wanaheshimu wanawake wao.
Kuna wanaume wamepaukaa ila kwa kiburi na dharau hawajambo, so hizo ni tabia tu za mtu binafsi, haihusiani na hela